Karibuni Songea

Karibuni Songea

Hoja gani unataka?? Kwani ktk huu uzi umeona watu wana compare na sehemu ingine? Hapa tupo wakunyumba na wanaoishi hapa tunazungumzia sehemu yetu.

Nyie ambao mna sehemu zenu nzuri, na za kijanjaa sisi sio shida zetu.

Kwahiyo kwa kuwa kwetu bushi na hakuna cha maana (km ambavyo mnadai) bas tusipazumgumzie? Kheeeh na nye mkazungumzie hizo sehemu zenu nzuri na za kijanja. Wala hakuna anae wazuia.

Mtuachee bhana.
Sijasema kwetu pazuri, Soma tena nilichoandika ndiyo vitu ambavyo niliviona nilipokuja huko

Wewe ujaona nimempa point 3 bibie Fetty wa Mfaranyaki hapo? Nimazur pia niliyoyaona ila vingine kama nimeandika vibaya ndiyo uje upinge
 
Sijasema kwetu pazuri, Soma tena nilichoandika ndiyo vitu ambavyo niliviona nilipokuja huko

Wewe ujaona nimempa point 3 bibie Fetty wa Mfaranyaki hapo? Nimazur pia niliyoyaona ila vingine kama nimeandika vibaya ndiyo uje upinge
Bas sawaah
 
Hahaha eti Litui Limamu Mgazini majina mengine bhana... Coca unapajua kwa diss?
Limamu nishawah fika uko ni njia moja ka unaenda Lusewa nilienda kwa ishu ya kununua mahindi miaka ya 2005
 
Hahaha eti Litui Limamu Mgazini majina mengine bhana... Coca unapajua kwa diss?
Litisha, magagula, ngahokora, namatuhi, ndongosi, magwamila, nambendo, muhukuru, matimira, mpitimbi, mpandangindo.
upoooo?
 
Back
Top Bottom