Karibuni Songea

Karibuni Songea

@

Nenda kwa mzee kajomela kule mshangano/chandarua huukosi msimu wote
Nimepewa direction maeneo ya Lipupuma s/msingi kwa mzee nani sijui ila nitauliza nifike, anao wa kutosha by badae naenda kuzimua mkuu
 
Jamani huku mnakunywa pombe khaaa!!

Mbinga kila kona bar au banda la kitimoto

Na hii ya kuwa na ma lodge/gest kila kona ni wazi kuwa wadau wanapenda kunyanduana
 
Jamani huku mnakunywa pombe khaaa!!

Mbinga kila kona bar au banda la kitimoto

Na hii ya kuwa na ma lodge/gest kila kona ni wazi kuwa wadau wanapenda kunyanduana
Hebu ngoja mawardat , vp kwanza pale kwa Malumba sijui Mwalumba pembeni ya Makita sec ile baa/kilabu bado kipo?
 
Jamani huku mnakunywa pombe khaaa!!

Mbinga kila kona bar au banda la kitimoto

Na hii ya kuwa na ma lodge/gest kila kona ni wazi kuwa wadau wanapenda kunyanduana
Songea mjini hasa pembezoni, bombambili had msamala, guest had za buku 3 zipooo

Famchezo nn.
 
Wee jamaa umenikumbusha mbali sana. Nimeiona mitaa ya home umeitaja hapo furahastoo hahaaa. Kanisa la biblia pale tulikuwa tunaiba sana faraj faraj enzi zetu. Na kule kwa masista misheni ya st alois iba sana ndizi.

Disko paradise kwa ngongi, mbicu au kahawa club kiwandani na ruvuma inn. Hahaaa. Sasa hivi naskia imebadilika sana sijaenda like 20yrs asee.
Ulikuwa na unaishi mahenge kalibu na Juma pandu??
 
kipindi cha kiangazi kama ni mtu wa peku peku funza unao.
Ila kitimoto ya songea ni tamu balaa unakula nyama unasikia harufu ya nguruwe, sio dar unakula nyama uku unasikia harufu ya panadol
 
Umemaliza nashangaa wangoni wanavyojisifia hapo juu

Nimekaa Wiki mbili huko kwa kishamba sana, kiwanja ni La charz tu kwahy watu wote mji uwo utawakuta hapo afu ni sehem ndogo

Mji hauna mishe mishe, mishe hadi misimu ya mazao

Hapo ukiwaondoa Wanajesh kamb za chabruma sijui Ruhuwiko na kamb zingine zile km unaenda mbinga na ishu ya makaa ya mawe panakuwa Dormant town.

Maana wanaume wa huko wanashindwa kulipa Bill wakiingya kwenye kumbi za starehe coz hawana cash.

Kama Hapo Lacharz inajaza askar na watumishi wengine siyo wenyeji na ukimuona mgeni ameingiya la charz ujue anunui bia anaingy amelewa kutoka nje.

Kuhusu totoz hatari, where you are Fetty wa mfaranyaki? demu flani anajua hatari, ila amechuja itakuwa maana anagawa vibaya mno

Kiwanja changu kilikuwa Eliza Liquor store. Nilichukua chumba sehem flan wanaita zwangendaba
Ni kweli haijachangamka Songea haina majengo mazuri wala starehe nyingi..ila binafsi nimependa utulivu,hali ya hewa safi ,ardhi nzuri yenye rutuba y, kutosha na utafutaji wa maisha kama ukiwa na connection Dar unachomoka haraka.
 
Back
Top Bottom