ndalibanyo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 430
- 427
@
😂 😂 😂 😂 😂 Nenda kwa mzee kajomela kule mshangano/chandarua huukosi msimu woteulanzi mie nagema mwenyewee, mbeta natengeneza mwenyewee. Nikaa chini kunywa aaah mdogo mdogo, robo zinakata tyuuh hadi dumla 2 fyaaa.





, vp kwanza pale kwa Malumba sijui Mwalumba pembeni ya Makita sec ile baa/kilabu bado kipo?