Sawa bwa shemeji yaishe ..jannaino salama peKalaga baho shehe naona unajitekenya na kucheka mwenyewe...
Kwanza kuhusu uteuzi na brand unazungumzia wapi humuhumu JF au? Maana tupo jf kumbuka siyo mkutanoni hapa
Pili kuhusu hicho unachomsapoti mwenzako mbona nimeshakielezea humo ndani kwamba inaendelea kwa kasi kwa juhudi za Mbunge
Tatu juu ya kucompare Ruangwa na kwingine kwani me nimesema kupo kama Hon kong? Someni kwa uelewa Acheni kukariri
Nne maswala mengine yote umejijibu mwenyewe chini
Sana Siyo kuloga tu Pia wanaoneana wivu wenyewe kwa wenyeweTatizo mikoa ya kusini ina laana na uchawi umezidi,mnarogana sana,hayo unayoita maendeleo ukicompare na maeneo mengine ni takataka tu,kusini haitakuja kuendelea kamwe
Ruangwa ni jehanamu ndogo nliishi miaka miwili sitamani tena kurudi uko asee...
1. Maji shida ya kwenye visima vya kuvuta na kamba Tena ya jumvi maji ya mamlaka ya maji yanatoka mara moja kwa wiki.
2. Gharama za maisha ziko juu mfano vitu vinasafirishwa kutoka mtwara na masasi nakumbuka kuna siku nimezunguka wilaya nzima hakuna mkate wilaya haina ata kiwanda cha mkate kweli ni wilaya hii? Bei ya nyama kilo moja tu iko juu sana around 8000
3. Hakuna fursa zozote zaidi ukiacha kilimo cha ufuta na korosho wilaya ya ruangwa iko nyuma sana yaani ata uanzishe kitu apo kitakufa maana muitikio ni mdogo sana na mzunguko wa pesa ni mdogo kupita kiasi..apo kuna kiji lodge kimoja ndio kinaogopwa kua nicha kisasa.
4. Usafiri wa shida kwakua hakuna miundombinu mizuri rami iliyopo ni km azizid 8 uku udongo mwekundu ukitaradadi pamoja na ukame...kampuni zaMabasj azifiki ata 6 maana nakumbuka kuna SB, Shivu, Mashallah na vicosta costa ambapo vinakuja baada ya masaa 2 ndio vinapatia na kurudi vijijini .
5. Majungu na fitina ukitaka usitoboe nenda kwa wamwela asee aufanikiwi utaanza pigwa figusu na majungu balaa hautafanikiwa na biashara yako wao wanapenda majungu , unafiki kufatilia maisha ya mtu binafsi pasipo kufatilia biashara yako wana muattack mtu direct.
Kuna mengi zaidi ya haya, mfano kuabudu watu ukiwa unafahamiana na mtu fulani mkubwa unaogopeka sana ata kama mtu kavunja sheria kisa anajuana na mtu fulani basi anaogopwa,
7. Halmashauri haina mapato nakumbuka kampuni flani ilikua inadai kama 3M ilichukua miaka 4 na sidhan mpk mda huu kama imelipwa.
Watumishi wengi walikua wanaacha kazi na kuomba uhamisho kuhama kwasababu wanaishi maisha ya dhiki sana just imagine shule inawanafunzi 200 walimu 3 hakuna huduma bora za kukidhi viwango nyumba za walimu tu ziko katika hali mbaya.
8. Elimu kwa wakazi ni ndogo sana kijana anakomaa akijua soma na kuandika basi inatosha anakua boda boda vijana wengi hawapendi shule kabisa, ata shule za Advance zenye ubora hakuna ipo shule Moja tu ya Advance Mbekenyela wilaya nzima hakuna shule ya advance ata private ni hatari hii...
Neno zuri sn mkuuNADHANI KATIKA KUCHAGUA VIONGOZI WETU TUWE TUNAANGALIA PANDE NYINGI SANA MTU MBINAFSI HATUFAI KABISA KWA SABABU MBINAFSI HUJITAJIRISHA YEYE BINAFSI NA SI WALIOMCHAGUA UKIMPATA KIONGOZI NAYE AKAWA ANALETA MAENDELEO JIMBONI KWAKE NA KWA WATU WAKE KWA JUMLA HAKIKA HUYO NDIYE KIONGOZI SAFI, hongera sana mb,kassim majaliwa
Wivu na uchawi/ulozi ni mapachaSana Siyo kuloga tu Pia wanaoneana wivu wenyewe kwa wenyewe
Kale katabia ka kupenda kupumzika zaidi mmekaacha siku hizi au bado kapo. Maana mitaa hiyo kazi ngumu ngumu hatutaki.Wananchi na wakazi wa Ruangwa tuna bahati sana na iwapo tutatumia bahati hiyo basi tutanufaika sana katika level ya mtu mmoja mmoja, vikundi, vyama mashirika na hata taasisi nk.
Mtumishi wa Ruangwa atakayeshindwa kuishi (kufanyia kazi katika wilaya ya) Ruangwa basi huyo hawezi kwenda kwingine akafanikiwa.
Mishemishe zilizopo Ruangwa mjini zimekaa kitown town sana mpaka raha. Cheki bodaboda wanavyorun kazi zao, cheki mama ntilie cheki machinga cheki wenye biashara zao tofauti na hizo cheki... yaani mwenyewe utakubali.
Ruangwa ina fursa nyingi sana kubwa kubwa kwa ndogo ndogo. Siwezi kuzitaja zote hapa lakini wewe fika tu ujionee fursa hizo katika sekta zote ikiwemo kilimo (ufuta na korosho), biashara (kubwa na ndogo) na madini (dhahabu, bunyu nk).
Yote hayo pongezi ziende moja kwa moja kwa Mbunge wetu Mzee Kasim Majaliwa (kwangu yeye ni Mzee sawa na mzee wangu (yaani baba)). Mzee huyu ameufanyia haki ubunge wake haswaa na mimi binafsi nakiri ni mara ya kwanza kuona mwanasiasa (mbunge) akijitoa kiasi hiki kwa wananchi wake waliomchagua.
Ruangwa ile si Ruangwa hii, kama unatafuta mahala penye fursa za kupiga hela basi jisogeze tu Ruangwa na wala hutojutia, na kama uliikimbia hapo nyuma kwa sababu fulani fulani ndugu yangu rudi nyumbani kumenoga!
Hatukatai kuhusu changamoto kwani hakuna kizuri kikakosa kasoro (isipokuwa MwenyeziMungu). Namaanisha kuna changamoto kadhaa pia wilayani Ruangwa lakini za kawaida na binafsi nimeshazipeleka sehemu husika hivyo sitaziongelea hapa kwani sijajia hilo leo nimekuja kumwaga uzuri wa Ruangwa tu!.
Napenda niwaambie tu Wanaruangwa wenzangu na wengineo ni kwamba huyu kiongozi wetu (mbunge) kwa mambo aliyoyafanya Ruangwa hii basi ikitokea mtu anamzungumzia vibaya basi ni kwa vile hajui tu au anafuata mkumbo.
Laiti ingekuwa siyo 'kila kitu na muda wake' basi Mzee Majaliwa angeendelea kuwa kiongozi wetu tu mpaka Mungu mwenyewe atakapopenda maana sidhani kwa mazuri haya kama kuna ambaye angeweza kuchuana naye.
Kuna wanaosema eti kigezo (cha maendeleo haya) ni uwaziri ila nawapinga vikali kwakuwa yeye si waziri wa kwanza!
Wewe ambaye upo Ruangwa watafutie 'wanaokuhusu' maeneo na kazi za kufanya katika wilaya hii ili baadae msije kujuta. Kizuri kula na nduguyo ndugu zangu watanzania mimi nimeshamaliza kwa upande wangu kazi ibaki kwenu msije kusema sikuwaambia! Naiona Ruangwa ya kipekee sana miaka kuanzia mitano ijayo. Changamkieni fursa.
KARIBUNI RUANGWA!
hiki kitakua ni kijiji cha Primitive Communalism
Ishu ya wafanya kazi wa kiume kung'oa mademu kirahisi ipo hata huku usukumani aisee wadada wa huku washamba sana wanatudharau sisi mafundi seremala ila wenzetu wanang'oa.Mtoa mada amezani kua hatujawai kuishi uko, mkuu na kwambia pale ni hatari mtu anaefanya kazi halmashauri Masijala anaogopwa sana kuliko ata mtendaji wa kijiji na ukiwa unafanya kazi CRDB au NMB maana bank zipo izo mbili tu utatafuna wanawake wote maana wao wamekalili watu ao ndio wanapesa ...
Trafik wanakimbizana na Boda boda maana wilaya nzima ata wanaomiliku magari private hawafiki 35 utamkamata nani kila mtu anajuana na mkubwa
Kuna gold ore reserve kubwa sana Ruangwa,unapoisikia Namungo yote hio inanuka dhahabu...hujaenda vijij kama mibure n.kJazia jazia nyama hapo kwenye dhahabu mkuu.
Kwamba wanawaona wana kuliko wachimbaji wa Namungo??Mtoa mada amezani kua hatujawai kuishi uko, mkuu na kwambia pale ni hatari mtu anaefanya kazi halmashauri Masijala anaogopwa sana kuliko ata mtendaji wa kijiji na ukiwa unafanya kazi CRDB au NMB maana bank zipo izo mbili tu utatafuna wanawake wote maana wao wamekalili watu ao ndio wanapesa ...
Trafik wanakimbizana na Boda boda maana wilaya nzima ata wanaomiliku magari private hawafiki 35 utamkamata nani kila mtu anajuana na mkubwa
Ilikua mwaka gani mkuu,kwamba Ruangwa Lami haifiki Km 8 ok huenda upo sawa,kuhusu shule za advance zipo zaidi ya hio idadi...Kitu cha ukweli ulichoongea hapo ni kuhusu majungu ya wamwera tena bro bora Ruangwa mjini ukizama vijijin ndo utajua hujui,wanapenda majungu kuliko kulaRuangwa ni jehanamu ndogo nliishi miaka miwili sitamani tena kurudi uko asee...
1. Maji shida ya kwenye visima vya kuvuta na kamba Tena ya jumvi maji ya mamlaka ya maji yanatoka mara moja kwa wiki.
2. Gharama za maisha ziko juu mfano vitu vinasafirishwa kutoka mtwara na masasi nakumbuka kuna siku nimezunguka wilaya nzima hakuna mkate wilaya haina ata kiwanda cha mkate kweli ni wilaya hii? Bei ya nyama kilo moja tu iko juu sana around 8000
3. Hakuna fursa zozote zaidi ukiacha kilimo cha ufuta na korosho wilaya ya ruangwa iko nyuma sana yaani ata uanzishe kitu apo kitakufa maana muitikio ni mdogo sana na mzunguko wa pesa ni mdogo kupita kiasi..apo kuna kiji lodge kimoja ndio kinaogopwa kua nicha kisasa.
4. Usafiri wa shida kwakua hakuna miundombinu mizuri rami iliyopo ni km azizid 8 uku udongo mwekundu ukitaradadi pamoja na ukame...kampuni zaMabasj azifiki ata 6 maana nakumbuka kuna SB, Shivu, Mashallah na vicosta costa ambapo vinakuja baada ya masaa 2 ndio vinapatia na kurudi vijijini .
5. Majungu na fitina ukitaka usitoboe nenda kwa wamwela asee aufanikiwi utaanza pigwa figusu na majungu balaa hautafanikiwa na biashara yako wao wanapenda majungu , unafiki kufatilia maisha ya mtu binafsi pasipo kufatilia biashara yako wana muattack mtu direct.
Kuna mengi zaidi ya haya, mfano kuabudu watu ukiwa unafahamiana na mtu fulani mkubwa unaogopeka sana ata kama mtu kavunja sheria kisa anajuana na mtu fulani basi anaogopwa,
7. Halmashauri haina mapato nakumbuka kampuni flani ilikua inadai kama 3M ilichukua miaka 4 na sidhan mpk mda huu kama imelipwa.
Watumishi wengi walikua wanaacha kazi na kuomba uhamisho kuhama kwasababu wanaishi maisha ya dhiki sana just imagine shule inawanafunzi 200 walimu 3 hakuna huduma bora za kukidhi viwango nyumba za walimu tu ziko katika hali mbaya.
8. Elimu kwa wakazi ni ndogo sana kijana anakomaa akijua soma na kuandika basi inatosha anakua boda boda vijana wengi hawapendi shule kabisa, ata shule za Advance zenye ubora hakuna ipo shule Moja tu ya Advance Mbekenyela wilaya nzima hakuna shule ya advance ata private ni hatari hii...
Hivi unachosema ni kweli Manispaa ya Lindi kuwa na shule moja ya advance??Ruangwa inapokonya miradi ya wilaya zingine ndani ya mkoa. Miradi Mingi ya kimaendeleo iliyopangwa kufanyika katika wilaya zingine za Lindi hiyo mirdi inahamishwa inapelekwa ruangwa. Leo hii manispaa ya Lindi ina shule moja ya advance Ila ruangwa ina shule 6 za advance hii inatokana na kuhamisha miradi ya mabweni kama 40 na kupeleka ruangwa . Miradi ya taa za barabarani ambazo zilitakiwa kiwekwa na world bank manispaa wamehamisha mradi umeenda ruangwa leo hii manispaa ina taa 30. Ila ruangwa Wana taa 450 barabarani. Leo hii miradi ya soko la kisasa .stendi ya kisasa inapelekwa ruangwa. Soft loans zote zinaenda ruangwa . Uneven distribution of resources haitaisha Tanzania
Uliyoyaongea ukweli kabisa sina la kuongezaRuangwa ni jehanamu ndogo nliishi miaka miwili sitamani tena kurudi uko asee...
1. Maji shida ya kwenye visima vya kuvuta na kamba Tena ya jumvi maji ya mamlaka ya maji yanatoka mara moja kwa wiki.
2. Gharama za maisha ziko juu mfano vitu vinasafirishwa kutoka mtwara na masasi nakumbuka kuna siku nimezunguka wilaya nzima hakuna mkate wilaya haina ata kiwanda cha mkate kweli ni wilaya hii? Bei ya nyama kilo moja tu iko juu sana around 8000
3. Hakuna fursa zozote zaidi ukiacha kilimo cha ufuta na korosho wilaya ya ruangwa iko nyuma sana yaani ata uanzishe kitu apo kitakufa maana muitikio ni mdogo sana na mzunguko wa pesa ni mdogo kupita kiasi..apo kuna kiji lodge kimoja ndio kinaogopwa kua nicha kisasa.
4. Usafiri wa shida kwakua hakuna miundombinu mizuri rami iliyopo ni km azizid 8 uku udongo mwekundu ukitaradadi pamoja na ukame...kampuni zaMabasj azifiki ata 6 maana nakumbuka kuna SB, Shivu, Mashallah na vicosta costa ambapo vinakuja baada ya masaa 2 ndio vinapatia na kurudi vijijini .
5. Majungu na fitina ukitaka usitoboe nenda kwa wamwela asee aufanikiwi utaanza pigwa figusu na majungu balaa hautafanikiwa na biashara yako wao wanapenda majungu , unafiki kufatilia maisha ya mtu binafsi pasipo kufatilia biashara yako wana muattack mtu direct.
Kuna mengi zaidi ya haya, mfano kuabudu watu ukiwa unafahamiana na mtu fulani mkubwa unaogopeka sana ata kama mtu kavunja sheria kisa anajuana na mtu fulani basi anaogopwa,
7. Halmashauri haina mapato nakumbuka kampuni flani ilikua inadai kama 3M ilichukua miaka 4 na sidhan mpk mda huu kama imelipwa.
Watumishi wengi walikua wanaacha kazi na kuomba uhamisho kuhama kwasababu wanaishi maisha ya dhiki sana just imagine shule inawanafunzi 200 walimu 3 hakuna huduma bora za kukidhi viwango nyumba za walimu tu ziko katika hali mbaya.
8. Elimu kwa wakazi ni ndogo sana kijana anakomaa akijua soma na kuandika basi inatosha anakua boda boda vijana wengi hawapendi shule kabisa, ata shule za Advance zenye ubora hakuna ipo shule Moja tu ya Advance Mbekenyela wilaya nzima hakuna shule ya advance ata private ni hatari hii...
YMkuu usiamn yot advance zlo nyingi mbekenyera n arts (pure arys) ,nkowe high school (pure science i e PCM,pCB,CBG), hpo hawa mchopa, hipo majali ruangwa high school ,nk hzo data zake n za mwaka 70s .Hivi unachosema ni kweli Manispaa ya Lindi kuwa na shule moja ya advance??
Kama ni kweli tz bado tuna safari ndefu sana
wakati kata ninayotoka ina shule za advance mbili.
Mwaka huu nilikuwa na NGO moja ambayo nilizunguka nayo Jimbo la Mchinga (Mabebery yameshanusa gesi). Katika safari zetu tukafika kijiji kimoja kinaitwa Rutamba. Nikiwa pale nikabahatika kufika hadi kwa Mzee Membe kwa sababu sio mbali na Rutamba ingawaje kule kwa Membe hakukuwa kwenye mpango wetu. Nilitamani sana nifike hadi Ruangwa manake nilioneshwa barabara ya Ruangwa lakini inaonekana barabara ile gari nyingi hazifiki Ruangwa. Je, hivi sasa kuna magari ya kufika Ruangwa? Naulizia hivyo kwa sababu kuna kitu nimekipenda pale Rutamba na nina mpango mwaka huu wakati wa likizo niende tena pale. Ningefurahi sana nikikamilisha mishe mishe zangu pale Rutamba, basi niende hadi Ruangwa ili nako nikacheki fursaWananchi na wakazi wa Ruangwa tuna bahati sana na iwapo tutatumia bahati hiyo basi tutanufaika sana katika level ya mtu mmoja mmoja, vikundi, vyama mashirika na hata taasisi nk.
Kama ndivyo, basi Katelephone nae ni fisadi mwingine manake hai-make sense mkoani pawe na shule moja tu wakati wilayani, tena wilaya ya pembezoni na ya juzi juzi tu hapa wawe na shule 6! Lakini siwezi kushangaa manake nasikia hata Bohari ya Madawa ipo Ruangwa wakati Ruangwa yenyewe ipo kushoto kabisa.Ruangwa inapokonya miradi ya wilaya zingine ndani ya mkoa. Miradi Mingi ya kimaendeleo iliyopangwa kufanyika katika wilaya zingine za Lindi hiyo mirdi inahamishwa inapelekwa ruangwa. Leo hii manispaa ya Lindi ina shule moja ya advance Ila ruangwa ina shule 6 za advance hii inatokana na kuhamisha miradi ya mabweni kama 40 na kupeleka ruangwa . Miradi ya taa za barabarani ambazo zilitakiwa kiwekwa na world bank manispaa wamehamisha mradi umeenda ruangwa leo hii manispaa ina taa 30. Ila ruangwa Wana taa 450 barabarani. Leo hii miradi ya soko la kisasa .stendi ya kisasa inapelekwa ruangwa. Soft loans zote zinaenda ruangwa . Uneven distribution of resources haitaisha Tanzania