Karibuni Ruangwa

Karibuni Ruangwa

Mi wa kusini lakin napachukia 7babu ya ayo Mambo ya uchawi jah akibless kule sirud Tena nakomaa apa apa nilipo
 
Tatizo mikoa ya kusini ina laana na uchawi umezidi,mnarogana sana,hayo unayoita maendeleo ukicompare na maeneo mengine ni takataka tu,kusini haitakuja kuendelea kamwe
Huu ndio ukweli ila mtoa mada ni Kama anatafuta brands na teuzi ...maendeleo haya anayosema leo yalitakiwa yawepo miaka mingi huko nyuma ...kwa mtu aliyetembea hawezi kuwa biased hivi...Ruangwa imebarikiwa Sana kwa kila kitu ardhi potential,madini ,,water source yaan ukichimba mita chache kwenda chini maji hayoo!!!

Pm anajitahidi Sana kuja jimboni kwake ..

Eliimu bado Sana
Maji bado tupo Zama za foleni
Barabara nayo bado japo inajengwa kwa kasi..
PM aendelee kujitoa tu walau wananchi wasogee kimaendeleo..
 
Upendeleo kivipi boss kwani hao wawekezaji wameshikiwa bunduki kwamba wasiende kwingine!? Mwambie Mbunge wako ajitahidi kuwavutia watamuelewa tu wala hakuna uchawi katika hili
WaTz buana hatari sana!

Inamaana haujamuelewa mtoa comment, hata kidodo alichokusudia!

Anamaanisha kwamba usijivunie sana hayo maendeleo unayoongelea kwa sababu, hayo mema unayoyaona yapo kiupendeleo zaidi.

Yasingelipatikana kwa haraka namna hiyo bila ya kudra kwa wilaya hiyo kutoa kiongozi wa kitaifa, yaani waziri mkuu.

Maeneo yote yanayotoa viongozi wa kitaifa, kumekuwa na tamaduni za upendeleo maalumu wa kukimbiza haraka haraka maendeleo sehemu zao,ili hata akitoka madarakani anakuwa alishawavusha ndugu zake.
Hiyo Ruangwa kabla ya Majaliwa kupata madaraka nani alikuwa anaielewa hata kwenye ramani imekaa sehemu gani na ina impact gani kitaifa!

Kumbuka kwamba, kiongozi huyo akitoka madarakani eneo husika husahaulika haraka ingawa panakuwa palishapiga hatua ya maana.
 
''Fanyeni kazi'' huku kwao kukistawi kwa upendeleo hii ni hatari sana kisiasa na kitaifa maendeleo muhimu lakini si kwa sababu ya fursa ya upendeleo,taifa hili limefika hapa kwa miiko ya kiungozi.Sasa hivi kumshika mkono kipofu wakati wa kula ni kawaida tena hata wenye kuona wanashikwa!
 
Huu ndio ukweli ila mtoa mada ni Kama anatafuta brands na teuzi ...maendeleo haya anayosema leo yalitakiwa yawepo miaka mingi huko nyuma ...kwa mtu aliyetembea hawezi kuwa biased hivi...Ruangwa imebarikiwa Sana kwa kila kitu ardhi potential,madini ,,water source yaan ukichimba mita chache kwenda chini maji hayoo!!!

Pm anajitahidi Sana kuja jimboni kwake ..

Eliimu bado Sana
Maji bado tupo Zama za foleni
Barabara nayo bado japo inajengwa kwa kasi..
PM aendelee kujitoa tu walau wananchi wasogee kimaendeleo..
Kalaga baho shehe naona unajitekenya na kucheka mwenyewe...

Kwanza kuhusu uteuzi na brand unazungumzia wapi humuhumu JF au? Maana tupo jf kumbuka siyo mkutanoni hapa

Pili kuhusu hicho unachomsapoti mwenzako mbona nimeshakielezea humo ndani kwamba inaendelea kwa kasi kwa juhudi za Mbunge

Tatu juu ya kucompare Ruangwa na kwingine kwani me nimesema kupo kama Hon kong? Someni kwa uelewa Acheni kukariri

Nne maswala mengine yote umejijibu mwenyewe chini
 
Ile Lami imemalizika pale mjini? Maji bado utata kupatikana!..anyways ..hali ya hewa nzuri! mengine yanavumilika tu!
Hali ya hewq kvp mkuu, kwwn kuna joto kali kama misri au barki kal kama milima ya nepal. Welcm boe kuzur san kule
WaTz buana hatari sana!

Inamaana haujamuelewa mtoa comment, hata kidodo alichokusudia!

Anamaanisha kwamba usijivunie sana hayo maendeleo unayoongelea kwa sababu, hayo mema unayoyaona yapo kiupendeleo zaidi.

Yasingelipatikana kwa haraka namna hiyo bila ya kudra kwa wilaya hiyo kutoa kiongozi wa kitaifa, yaani waziri mkuu.

Maeneo yote yanayotoa viongozi wa kitaifa, kumekuwa na tamaduni za upendeleo maalumu wa kukimbiza haraka haraka maendeleo sehemu zao,ili hata akitoka madarakani anakuwa alishawavusha ndugu zake.
Hiyo Ruangwa kabla ya Majaliwa kupata madaraka nani alikuwa anaielewa hata kwenye ramani imekaa sehemu gani na ina impact gani kitaifa!

Kumbuka kwamba, kiongozi huyo akitoka madarakani eneo husika husahaulika haraka ingawa panakuwa palishapiga hatua ya maana.
Hovyooooo
upendeleo kvp mkuuu
Ye n mbunge wa kule ,anatekeleza maombi ya wananch kam wabunge wengne. Au kwen mbunge wen atejelez . Kam atekelez polee sana
 
Wananchi na wakazi wa Ruangwa tuna bahati sana na iwapo tutatumia bahati hiyo basi tutanufaika sana katika level ya mtu mmoja mmoja, vikundi, vyama mashirika na hata taasisi nk.

Mtumishi wa Ruangwa atakayeshindwa kuishi (kufanyia kazi katika wilaya ya) Ruangwa basi huyo hawezi kwenda kwingine akafanikiwa.

Mishemishe zilizopo Ruangwa mjini zimekaa kitown town sana mpaka raha. Cheki bodaboda wanavyorun kazi zao, cheki mama ntilie cheki machinga cheki wenye biashara zao tofauti na hizo cheki... yaani mwenyewe utakubali.

Ruangwa ina fursa nyingi sana kubwa kubwa kwa ndogo ndogo. Siwezi kuzitaja zote hapa lakini wewe fika tu ujionee fursa hizo katika sekta zote ikiwemo kilimo (ufuta na korosho), biashara (kubwa na ndogo) na madini (dhahabu, bunyu nk).

Yote hayo pongezi ziende moja kwa moja kwa Mbunge wetu Mzee Kasim Majaliwa (kwangu yeye ni Mzee sawa na mzee wangu (yaani baba)). Mzee huyu ameufanyia haki ubunge wake haswaa na mimi binafsi nakiri ni mara ya kwanza kuona mwanasiasa (mbunge) akijitoa kiasi hiki kwa wananchi wake waliomchagua.

Ruangwa ile si Ruangwa hii, kama unatafuta mahala penye fursa za kupiga hela basi jisogeze tu Ruangwa na wala hutojutia, na kama uliikimbia hapo nyuma kwa sababu fulani fulani ndugu yangu rudi nyumbani kumenoga!

Hatukatai kuhusu changamoto kwani hakuna kizuri kikakosa kasoro (isipokuwa MwenyeziMungu). Namaanisha kuna changamoto kadhaa pia wilayani Ruangwa lakini za kawaida na binafsi nimeshazipeleka sehemu husika hivyo sitaziongelea hapa kwani sijajia hilo leo nimekuja kumwaga uzuri wa Ruangwa tu!.

Napenda niwaambie tu Wanaruangwa wenzangu na wengineo ni kwamba huyu kiongozi wetu (mbunge) kwa mambo aliyoyafanya Ruangwa hii basi ikitokea mtu anamzungumzia vibaya basi ni kwa vile hajui tu au anafuata mkumbo.

Laiti ingekuwa siyo 'kila kitu na muda wake' basi Mzee Majaliwa angeendelea kuwa kiongozi wetu tu mpaka Mungu mwenyewe atakapopenda maana sidhani kwa mazuri haya kama kuna ambaye angeweza kuchuana naye.

Kuna wanaosema eti kigezo (cha maendeleo haya) ni uwaziri ila nawapinga vikali kwakuwa yeye si waziri wa kwanza!

Wewe ambaye upo Ruangwa watafutie 'wanaokuhusu' maeneo na kazi za kufanya katika wilaya hii ili baadae msije kujuta. Kizuri kula na nduguyo ndugu zangu watanzania mimi nimeshamaliza kwa upande wangu kazi ibaki kwenu msije kusema sikuwaambia! Naiona Ruangwa ya kipekee sana miaka kuanzia mitano ijayo. Changamkieni fursa.

KARIBUNI RUANGWA!
Ruangwa inapokonya miradi ya wilaya zingine ndani ya mkoa. Miradi Mingi ya kimaendeleo iliyopangwa kufanyika katika wilaya zingine za Lindi hiyo mirdi inahamishwa inapelekwa ruangwa. Leo hii manispaa ya Lindi ina shule moja ya advance Ila ruangwa ina shule 6 za advance hii inatokana na kuhamisha miradi ya mabweni kama 40 na kupeleka ruangwa . Miradi ya taa za barabarani ambazo zilitakiwa kiwekwa na world bank manispaa wamehamisha mradi umeenda ruangwa leo hii manispaa ina taa 30. Ila ruangwa Wana taa 450 barabarani. Leo hii miradi ya soko la kisasa .stendi ya kisasa inapelekwa ruangwa. Soft loans zote zinaenda ruangwa . Uneven distribution of resources haitaisha Tanzania
 
Ruangwa inapokonya miradi ya wilaya zingine ndani ya mkoa. Miradi Mingi ya kimaendeleo iliyopangwa kufanyika katika wilaya zingine za Lindi hiyo mirdi inahamishwa inapelekwa ruangwa. Leo hii manispaa ya Lindi ina shule moja ya advance Ila ruangwa ina shule 6 za advance hii inatokana na kuhamisha miradi ya mabweni kama 40 na kupeleka ruangwa . Miradi ya taa za barabarani ambazo zilitakiwa kiwekwa na world bank manispaa wamehamisha mradi umeenda ruangwa leo hii manispaa ina taa 30. Ila ruangwa Wana taa 450 barabarani. Leo hii miradi ya soko la kisasa .stendi ya kisasa inapelekwa ruangwa. Soft loans zote zinaenda ruangwa . Uneven distribution of resources haitaisha Tanzania
Do you have a concrete evidence to prove what you are talking about?
 
Kati ya viongozi wakubwa wa nchi hii wanaoongoza kutotendea Haki Jimbo analotoka basi MEMBE anaongoza.

Mpaka anastaafu ubungena kuamua kugombea Urais Jimbo la mtama liko hovyo pamoja na jina kubwa la viongozi iliyowazalisha kuanzia aliyepita (MEMBE ) na hata huyu wa sasa Nape hakuna cha maana alichofanya Hadi sasa..Mtama sijui wanafeli wapi asee

Hongera Wana Ruangwa Kwa maendeleo

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
NADHANI KATIKA KUCHAGUA VIONGOZI WETU TUWE TUNAANGALIA PANDE NYINGI SANA MTU MBINAFSI HATUFAI KABISA KWA SABABU MBINAFSI HUJITAJIRISHA YEYE BINAFSI NA SI WALIOMCHAGUA UKIMPATA KIONGOZI NAYE AKAWA ANALETA MAENDELEO JIMBONI KWAKE NA KWA WATU WAKE KWA JUMLA HAKIKA HUYO NDIYE KIONGOZI SAFI, hongera sana mb,kassim majaliwa
 
Ruangwa inapokonya miradi ya wilaya zingine ndani ya mkoa. Miradi Mingi ya kimaendeleo iliyopangwa kufanyika katika wilaya zingine za Lindi hiyo mirdi inahamishwa inapelekwa ruangwa. Leo hii manispaa ya Lindi ina shule moja ya advance Ila ruangwa ina shule 6 za advance hii inatokana na kuhamisha miradi ya mabweni kama 40 na kupeleka ruangwa . Miradi ya taa za barabarani ambazo zilitakiwa kiwekwa na world bank manispaa wamehamisha mradi umeenda ruangwa leo hii manispaa ina taa 30. Ila ruangwa Wana taa 450 barabarani. Leo hii miradi ya soko la kisasa .stendi ya kisasa inapelekwa ruangwa. Soft loans zote zinaenda ruangwa . Uneven distribution of resources haitaisha Tanzania
Nafikiri mambo mengi ya kimaendeleo pia hufanyika kutokana na ukubwa wa eneo husika zipo wilaya ndogo sana za wastani na kubwa sana sasa kwa hapa mahitaji yake ni lazima yatofautiane kuzingatia ukuwa wa wilaya.
 
Back
Top Bottom