Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,528
- 93,098
Mwanakijiji yupo humo na ndio mwenye hii ID alioanzishia hii thread. hapo ndio huwa nashindwa kumuelewa huyu Mwanakijiji amepewa pesa kiasi gani na mtu ambaye yuko nyuma ya chama hiki.Swali lamsingi kabisa hilo unasema la kipuuzi? nnahisi yumo lakini kama "kawa" anajifanya hayumo.