Karibuni Chato Zoo and Hotel

Karibuni Chato Zoo and Hotel

Sir John Deere

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
14,190
Reaction score
27,356
Ni hoteli ya kisasa ambapo mtalii unaweza kujionea wanyama mbalimbali kama swala pala, zebra , nyumbu ngiri na jamii ya wanyama wengi wala majani.

Ipo katika eneo lenye takribani hekta 1200.

N:B Msiniulize mmiliki ni nani maana simjuwi.
20211112_191458.jpg
Screenshot_20211112-190241_WhatsApp.jpg
20211112_191521.jpg
20211112_191547.jpg
 
Ni hoteli ya kisasa ambapo mtalii unaweza kujionea wanyama mbalimbali kama swala pala, zebra , nyumbu ngiri na jamii ya wanyama wengi wala majani.

Ipo katika eneo lenye takribani hekta 1200.

N:B msiniulize mmiliki ni nani maana simjuwi.View attachment 2008177View attachment 2008178View attachment 2008179View attachment 2008180
Mkuu kuanzisha zoo haina shida mtu yeyote anaweza kuanzisha tu bila shida na hao wanyamapori unauziwa kawaida kwa maana utapewa kibali ni biashara rasmi ndani ya Tanzania na kama kuna Mtanzania anahitaji kufanya hii biashara aende Wizara ya Maliasili na Utalii atapewa utaratibu mzima so kuwa Chato au mmiliki katoka wapi sio issue labda useme vibali sio sahihi.
 
Back
Top Bottom