Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,353
- 31,475
Kweli kabisa, japo kwa mfumo wetu wa maisha ulivyo hatuwezi kuwatendea wajukuu zetu vile tulivyotendewa!hahaha ni zamu yetu sasa kurudisha those good days kwa wajukuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa, japo kwa mfumo wetu wa maisha ulivyo hatuwezi kuwatendea wajukuu zetu vile tulivyotendewa!hahaha ni zamu yetu sasa kurudisha those good days kwa wajukuu
zimefikaKaribuni sana na salami nyingi kwa mother house
hivyo hivyo sasa ili mradi na wao waje kusimulia mazuri ya old timers wao!Kweli kabisa, japo kwa mfumo wetu wa maisha ulivyo hatuwezi kuwatendea wajukuu zetu vile tulivyotendewa!
Ile kesi yako ulimalizana vipi na yule kaka uliye kuwa una mtongoza kwa lazima🤣🤣🤣🤣🤣Kuna uzi maalum wa vyakula tu, huwa tunapost mambo kama haya kila siku.
Kwanini u create new threads kujaza server.
Huyu inaonekana ana k tam
Shikamo babuEti umesemaje?
And happy new iya
Nampenda sana yule mwanamke yaani kwake nimekuwa kama mtoto wa mwisho....... bibi's last bornhii ndio raha ya kuwa na bibi, utakula na kusaza na kingine unafungiwa take away kabisa
asante bibi.
Jamaa wamebeba wali mchuzi kula kwenye ndege ni hatariHuyo mzungu wa jirani naona ajutia kupanda hiyo ndege.
Maana hapo ni kelele nyingi za maongezi, kelele za vijiko na za hao walaji na harufu kali ya chakula khasa huo mchuzi ambao huyo mama ameuleta kwenye ndege.
Hapa itakuwa msibani
Nakuibia hii