Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,030
- 111,617
Unaniletea wapi au hapa sudanUsijari nakuletea.
Unaniletea wapi au hapa sudanUsijari nakuletea.
Nsio wavae akirt bwana ndio watapa na mabwana wakuwaoa....veta unaenda kwa purpose mbili,ujuzi na kusaka mumeUna shauri wanafunzi wa kike wa VETA wavae skirt badala ya suruali?
Mitaa yangu hiyo, huko kwa bibiUmejuajee?
Bas nikipishana nao njiani pale karibu na gate lao na zile sare zao, yaan nachoka kabisaa.
![]()
Kumbe ulikwepo kule bhas inawezekana nimeshakuzagamua bila kujua mana nmechakaza sana kule wakat nasomaNdiyooo.![]()