Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,996
- 7,366
Vipi mfano unaweza kufunga camera nyumbani kwangu na mkewangu asijue?
InawezekanaVipi mfano unaweza kufunga camera nyumbani kwangu na mkewangu asijue?
Contact & Location please720,000/=
Hizo hatunaZile kama balbu na memory card hapo bei gani
Unapatikana wapi?360,000/=
Si ndio?HD ikifika usiku tunaona black and white
Niko Dar ,kama una ndugu hapa dar unaweza kumpa hela akaja kuchukua ofisini au wewe utoe maelekezo unataka uipate kwa njia ipiUnapatikana wapi?
Mimi niko Mbeya.
Naipataje??
#YNWA.
#YANGA_BINGWA
Haina shida nduguJiran yangu Atosha
Nb
Utan lakn usje kunichukia ndugu yangu
Mawasiliano yako, yakiambatana na last offer.Niko Dar ,kama una ndugu hapa dar unaweza kumpa hela akaja kuchukua ofisini au wewe utoe maelekezo unataka uipate kwa njia ipi
😹😹🙌🏾 Bhana napenda night nione kama daySi ndio?
Au unataka kamera za make up😂
Last offer 350k ,namba ya simu ni 0764308320Mawasiliano yako, yakiambatana na last offer.
300k UNACHUKUA?
#YNWA.
#YANGA_BINGWA
Haieezekani sasa mrembo😹😹🙌🏾 Bhana napenda night nione kama day
Haiwezekena mbona Kwa wenzetu vinawezekanaHaieezekani sasa mrembo
0764308320, Dar posta houseContact & Location please
Kizuri gharama, wewe ununue kameza za 500,000 unataka ulingane na wa 10M?Haiwezekena mbona Kwa wenzetu vinawezekana
Ndio Kwan nilisema sitoi gharama Ata nikiambiwa izo camera zaidi bei ntalipia cause nachopenda kidisplay nahitaj kukiona sio niambiwe HD day and night afu iwe black and whiteKizuri gharama, wewe ununue kameza za 500,000 unataka ulingane na wa 10M?
Tajiri katika ubora tukuka😂Ndio Kwan nilisema sitoi gharama Ata nikiambiwa izo camera zaidi bei ntalipia cause nachopenda kidisplay nahitaj kukiona sio niambiwe HD day and night afu iwe black and white
Naomba unipe hiyo kazi .nikufungie camera ufurahie kuona picha angavu mchana na usiku kisha uje utoe mrejesho hapa jf.Ndio Kwan nilisema sitoi gharama Ata nikiambiwa izo camera zaidi bei ntalipia cause nachopenda kidisplay nahitaj kukiona sio niambiwe HD day and night afu iwe black and white