Karibu ujipatie huduma ya cctv camera

Karibu ujipatie huduma ya cctv camera

Viagio

Member
Joined
Sep 13, 2024
Posts
56
Reaction score
47
Imarisha ulinzi wa nyumba ,ofisi au sehemu ya biashara kwa kufunga Cctv camera. Tunazo camera zenye ubora zinaonyesha picha angavu( HD) hata usiku. Pia unaweza kuangalia matukio yote kupitia kwenye simu yako ya mkononi ukiwa popote. Bei zetu ni nzuri na tunao mafundi wazuri wenye uzoefu wa kutosha. Karibuni sana .
 

Attachments

  • IMG-20250319-WA0016.jpg
    IMG-20250319-WA0016.jpg
    233.7 KB · Views: 19
  • IMG-20250319-WA0025.jpg
    IMG-20250319-WA0025.jpg
    196.9 KB · Views: 17
Imarisha ulinzi wa nyumba ,ofisi au sehemu ya biashara kwa kufunga Cctv camera. Tunazo camera zenye ubora zinaonyesha picha angavu( HD) hata usiku. Pia unaweza kuangalia matukio yote kupitia kwenye simu yako ya mkononi ukiwa popote. Bei zetu ni nzuri na tunao mafundi wazuri wenye uzoefu wa kutosha. Karibuni sana .
kianzio bei gani. Camera 3
 
Dvr ya njia nne full na camera (colourVu) zake bei gani? Gharama Isihusishe na ufungaji.
 
Ujaelewa tumefunga izo HD as you proclaim ila usiku zinakua black and white so Ata kueka zingine jau kweli Tena hikvision iyo iyo
Pole sana kwa hiyo changamoto bosi shida ni kuwa aliyewafungia hakuwaeleza ukweli kuwa ziko camera za HD ambazo usiku inakuwa black and white na zipo ambazo zinaonyesha HD usiku na mchana . Toka tumeanza kufunga camera zaidi ya miaka 10 hatuajawahi kulalamikiwa kuhusu ubora wa picha mida ya usiku au mchana . Naomba uniamini tuje tukufungie kama usiku zitaonyesha black and white nakutudishia hela yako. Sisi tunapofunga camera tunafunga camera zenye quality ili kuepuka malalamiko ya wateja na kuitwa site kila wakati kwani kwetu ni gharama. Hizo za black and white wakati wa usiku tulishaachana nazo muda mrefu. Karibu tukuhudumie.
 
Sawa ntakaribia
Nitafurahi sana kukuhudumia bosi wangu na hautojutia kupata huduma yetu. Naomba usiwe na wasiwasi kazi zetu ni za uhakika tutakufungia camera zenye night vision ambayo hufanya picha zionekane na rangi muda wa usiku hivyo mambo ya black and white hutayaona . Ukitaka tuunganishe camera na simu yako ya mkononi ili uweze kuona matukio yote ukiwa mahali popote pia tunafanya kwa ubora wa hali ya juu. Kama una swali lolote usisite kunipigia 0764308320.
 
Gharama za vifaa pamoja na ufundi kwa camera 3 itakuwa 580,000/=. Unaweza pia kunipigia kupitia namba 0764308320 kwa maelezo zaidi. Karibu sana tukuhudumie.
Camera 2 za kuweka ofisini,na niwe naona matukio kupitia simu yangu ni gharama yake ikoje?
 
Unachukia kuitwa Boss?
Sasa hiyo si ndio maana ya mteja mfalme ama?
Kwa hiyo wewe unapendelea wale wafanyabiashara jeuri ambao wanakujibu hovyo?
Kwanini neno la heshima ni boss tu? Mimi ni mteja na nitafurahi kuitwa mteja. Na zaidi: hata uitwe majina mazuri namna gani interaction na huduma kwa mteja ndiyo kila kitu. Unadhani sijatembelea sehmu kama Kariakoo ambako kila mteja huitwa boss lakini huduma ni mbovu kabisa? Mimi huu utamaduni wa Bongo kuita watu amajina kama ''anko, anti, shangazi, bosi, mzee'' siupendi tu.
 
Back
Top Bottom