Karibu sana TALKTEL Communications

..mbinu za kibepari hizo, amini usiamini!

Hapana mkuu, ni mbinu za kikomunisti wanaotaka kutumia the guise of free market to gain monopoly eg. Putin and his gang in Russia, the Communist party in China etc. Lakini ubepari haitaki hivyo na Marekani kuna Anti trust law na committee maalum inayohakikisha kwamba hakuna situation inayojitokeza ya monopoly.
Naomba niulize kama Talktel ndiyo hiyo ya HITS maana hiyo ndo iko Mwalimu house ghorofa ya 10 na walikuwa na press conference miezi kadhaa iliyopita. Mwenyekiti wa Bodi ni mtoto wa Rais Mwinyi (siyo waziri). So there's interest in there as well. Ni kampuni ya waarabu.
 
Hapana mkuu, ni mbinu za kikomunisti wanaotaka kutumia the guise of free market to gain monopoly eg. Putin and his gang in Russia, the Communist party in China etc. Lakini ubepari haitaki hivyo na Marekani kuna Anti trust law na committee maalum inayohakikisha kwamba hakuna situation inayojitokeza ya monopoly.
Naomba niulize kama Talktel ndiyo hiyo ya HITS maana hiyo ndo iko Mwalimu house ghorofa ya 10 na walikuwa na press conference miezi kadhaa iliyopita. Mwenyekiti wa Bodi ni mtoto wa Rais Mwinyi (siyo waziri). So there's interest in there as well. Ni kampuni ya waarabu.


..nami ndio naisikia!

..ngoja tupate nyeti zaidi.
 
Hapana mkuu, ni mbinu za kikomunisti wanaotaka kutumia the guise of free market to gain monopoly eg. Putin and his gang in Russia, the Communist party in China etc. Lakini ubepari haitaki hivyo na Marekani kuna Anti trust law na committee maalum inayohakikisha kwamba hakuna situation inayojitokeza ya monopoly.
Naomba niulize kama Talktel ndiyo hiyo ya HITS maana hiyo ndo iko Mwalimu house ghorofa ya 10 na walikuwa na press conference miezi kadhaa iliyopita. Mwenyekiti wa Bodi ni mtoto wa Rais Mwinyi (siyo waziri). So there's interest in there as well. Ni kampuni ya waarabu.

kampuni iliyoko mwalimu house ni excellent coms, wanajenga miundombinu zao kwa kutumua kampuni ya wachina inayoitwa huwaei technologies.hii project inaitwa hits

kuna fununu kuwa kuna kampuni ya kimarekani inayokuja sijajua jina lake labda ndo hiyo talktel?
 
Phil,

Kasheshe ni wa kufundishwa sana, kuna topic moja nimemfundisha namna ya kusoma.
Mvumilie.

Kampuni mpya ya simu niijuayo inaitwa HITS. Kama kuna hiyo yenu hapo juu sijaisikia.

Ghorofa ya 5, 6 na saba Mwalimu House ni kampuni ya Huawei Technologies

Ghorofa ya Nane ni kampuni ya HITS.

Inawezekana kuna hiyo talkatel.....

Labda

Fairplayer
 
Phil,

Kasheshe ni wa kufundishwa sana, kuna topic moja nimemfundisha namna ya kusoma.
Mvumilie.

Kampuni mpya ya simu niijuayo inaitwa HITS. Kama kuna hiyo yenu hapo juu sijaisikia.

Ghorofa ya 5, 6 na saba Mwalimu House ni kampuni ya Huawei Technologies

Ghorofa ya Nane ni kampuni ya HITS.

Inawezekana kuna hiyo talkatel.....

Labda

Fairplayer

hits ni project name ya excellent coms, i mean project ikiisha wakiwasha mitambo yao wataitwa jina la kibiashara kama excellent coms.

hits project is managed by huwaei kama main contractors, huwaei pia ndo wajenzi wa minara ya zantel under project name -zantel gsm turnkey project

hits/huwae/excellent coms haina uhusiano na kampuni ya talktel inayozungumziwa hapo juu.

kuna kampuni ya kimarekani ipo nchini na tayari inaannza kujenga minara siifahamu jina, naitafuta sana kwa ajili ya business reasons.

na uhakika na ninachoandika hapa kwa kuwa mimi ni mdau kwenye hii business
 
hits ni project name ya excellent coms, i mean project ikiisha wakiwasha mitambo yao wataitwa jina la kibiashara kama excellent coms.

hits project is managed by huwaei kama main contractors, huwaei pia ndo wajenzi wa minara ya zantel under project name -zantel gsm turnkey project

hits/huwae/excellent coms haina uhusiano na kampuni ya talktel inayozungumziwa hapo juu.

kuna kampuni ya kimarekani ipo nchini na tayari inaannza kujenga minara siifahamu jina, naitafuta sana kwa ajili ya business reasons.

na uhakika na ninachoandika hapa kwa kuwa mimi ni mdau kwenye hii business

Asante mkuu
 
Mwikimbi, Shukrani kwa maelezo yote, maana wengine tunaona kijuujuu habari za sekta hii sasa majina yanatuchanganya, mara Celtel ni Zain, MIC inakuwa Mobitel alafu BUzz alafu Tigo, haya majina yanabadilika kila siku.
Sasa labda hii ya Talktel ni ya nani? Wamarekani? Asante.
 
Kitu cha msingi nilicho kiona kwenye taarifa hii , ni kuwepo kwa maombi ya kampuni nyingine ya Simu, ambayo itakuwa Pinzani na VODACOM, hivyo kuna juhudi za wazi au za kufichika ili kukwamisha maombi ya hiyo kampuni Nyingine.
Kwa faida ya wachache.
Maana kitu kikubwa si bei bali kuwepo kwa mpinzani, ambaye anaweza kumpiku VODA

Nchimbi J umeongea kama kada .Mimi naitwa Lunyungu huwa sina habari za kuunga unga na kama u mgeni hapa ubaoni tafadhali tulia utajua sisi ni watu wa nyeti .Wale wote wenye hizi info na wamezimwaga asanteni .Kampuni ina anza October na kazi yake itaonekana baada ya Lowasa na RA kuipinga sana nma kutumia TCRA kuzuia leseni .Mchanganuo wa Nchimbi ni wa kipuuzi sana anatufanya wengine wote wajinga .Sikutaka kuja na mchanganuo wa kitaalam maana chini ya Uongozi wa Kikwete utalaam hauna maana ila rushwa ina nafasi kubwa .
 
Jamani Taltel Communications si ya waarabu bali ni American .Hawa jamaa wamesha pigwa chini kwa roho mbaya ya Lowasa na walikuwa taabani.Mungu ni mwema TCRA walikuwa waoga wa Lowasa nao wakawa wana kaza uzi wakiomba rushwa kubwa huku wakijua kwamba Lowasa anakataa for Vodacom.Sasa wana elekea kupewa kibali next week ila TCRA bado wanaumia roho maana kuna watu wamewapandia juu kwa juu .

Talktel iko bize na inaanza kazi Oct .Kama una sifa omba kazi maana wanakuja kufunika kampuni zote kuanzia kutoa huduma hadi kulipa mishahara .CV yako itasema na utapata kazi hakuna longo longo .

Nilipotoa habari hii nilijua italeta utata na hasa kwa wanaa kama Kasheshe na wengineo ila hawakujua kwamba hapa ni JF watu hawalali wana kila aina ya info .

Talktel yaja jamani .
 
Karib talktel msipokuwa mafisadi naamia kwenu kabisaaaaaaaaaaaa na vi chip vingine vyote natupa
 
Nguvu za RA na Lowasa muda wote tangia JK aingie madaraka zimekuwa tishio sana .Majuzi naongea na mtu mmoja ndani ya CCM anabainisha kwamba kuna tenda ilitoka na ikawa inaliliwa na Lowasa na RA basi hata CCM na serikali walishindwa na matokeo yake Manji na hawa watu wamechukua tenda .

Nikiwa niko hapa hapa Dodoma mwana CCM mmoja anasema kwamb ana furaha kuona kwamba baada ya Lowasa kutoka pale sasa Tanzania inaweza kupata huduma za simu za bei ya chini zaidi ambazo muda wote kampuni hiyo imekuwa ikiwatishia maisha yao marafiki zao na hasa Vodacom ambayo muda wote imebebwa na Lowasa.

Taltel yaja , baada ya a very long struggle ya kibali kuzuiliwa na TCRA na Lowasa binafasi kwa shinikizo la Lowasa .Kisa jamaa wanakuja na bei nafuu sana za matumizi ya simu , pamoja na TV services toka US .Pinda kazana na fanya kama ulivyo amua kuhakikisha kibali kinatoka baada ya TCRA na Lowasa na Vodacom yao kuwekea ngumu kampuni hii .

Watanzania wanawaweza kupata nafuu ya gharama za simu .

By the way Mkuu Lunyungu hawa jamaa watakuwa ni matapeli. I looked up there website na kwa kweli i think i can do a better job. Niliingia kwenye website yao (will post website in a few hrs kama bado hamjaipata) from the website nikajaribu kupiga simu iliokua listed na haikupatikana...in short haifanyi kazi. I believe this is another RICHMOND!!!!!!!!!
 
By the way Mkuu Lunyungu hawa jamaa watakuwa ni matapeli. I looked up there website na kwa kweli i think i can do a better job. Niliingia kwenye website yao (will post website in a few hrs kama bado hamjaipata) from the website nikajaribu kupiga simu iliokua listed na haikupatikana...in short haifanyi kazi. I believe this is another RICHMOND!!!!!!!!!

Jibabaz,

Hata mimi niliangalia website yao, mmmhhh!!! nikaamua nikae kimya.

Bahati nzuri mimi ni mdau wa miaka mingi sana kwenye hii sector kwahiyo naweza kuona pale kunapokuwa na dalili za deals.

Tatizo la Afrika kwasasa ni kama mahali pa kuchumia, maadili ya kazi ambayo yanatawala hii sector ya telecom yanapuuzwa.

Quality ya mawasiliano TZ inazidi kwenda chini. Huko nyuma ilikuwa ukiongea na TZ kila kitu kiko clear lakini sasa nafikiri wanashindana kwenye price na hivyo kushusha quality kwa kiasi kikubwa.

Pia kweli ni muhimu kila kampuni kuweka milingoti yake? Hapo hiyo board ya mawasiliano inatakiwa waje na njia nzuri zaidi ya kuondoa tatizo. Kwa mfano ingefika mahali milingoti yote iwe chini ya kampuni moja na wengine wote wawe wana kodi kutumia hiyo milingoti.

Pia tusifurahia sana kushuka kwa bei maana inaweza kushuka mpaka ikafikia mahali ambapo quality yake tena sio acceptable.
 
Habari za saa hii wana mkeka. Ni kweli hii kampuni inakuja Tanzania, nimepata kuwasiliana na baadhi ya viongozi wao jana

Mtanzania, ni kweli kampuni bado ni ndogo sana. Kwa hapa US wanaweza kuwa na ushindani na watu kama Cricket au boost. Lakini kuanzia mwakani wanaanza kuexpand market share yao kwenye miji kama Houston, Texas.

Market kama ya US ni very satured, na hii business ni high velocity business. Hivyo new entrents can't compete with rivals like T-mobile or sprit. Kwa hiyo njia ya kuexpand ni kwenda mahala ambapo utaweza kushindana, aunaweza kuchukua nichie yako easy.

Hawa jamaa wana focus watu wanaoitaji simu, tv and internet. So, utaona kwa Tanzania wanaweza kushindana na Voda na wengineo.
 
Habari za saa hii wana mkeka. Ni kweli hii kampuni inakuja Tanzania, nimepata kuwasiliana na baadhi ya viongozi wao jana

Mtanzania, ni kweli kampuni bado ni ndogo sana. Kwa hapa US wanaweza kuwa na ushindani na watu kama Cricket au boost. Lakini kuanzia mwakani wanaanza kuexpand market share yao kwenye miji kama Houston, Texas.

Market kama ya US ni very satured, na hii business ni high velocity business. Hivyo new entrents can't compete with rivals like T-mobile or sprit. Kwa hiyo njia ya kuexpand ni kwenda mahala ambapo utaweza kushindana, aunaweza kuchukua nichie yako easy.

Hawa jamaa wana focus watu wanaoitaji simu, tv and internet. So, utaona kwa Tanzania wanaweza kushindana na Voda na wengineo.

Mtanganyika,

Asante kwa taarifa. Ni kweli kwa USA na nchi za West sio rahisi kwa new players kuingia kwenye telecom market kwasababu ya entry barriers (Porter's five forces).

Hata mimi naona inakoenda TZ inatakiwa kampuni ambayo wataweka mkazo kwenye vitu vyote yaani internet, simu na TV. Huawei wana technology nzuri kwenye vitu vyote hivyo vitatu hivyo Zantel kama wako makini huenda wakafanikiwa. Tatizo la Huawei ni kwamba wameweka nguvu kubwa kwenye price kuliko quality. Inaweza kusaidia kwa muda mfupi lakini kama kampuni ina mipango ya muda mrefu, inaweza jikuta inatumia hata pesa zaidi kubadilisha mitambo kila mara.

Wasiwasi wangu na haya makampuni kwasasa ni juu ya quality ambayo imeanza kushuka sana kwa sasa. Unampigia mtu simu, unasikia maneno chini ya asilimia 50 na hiyo ni hatari kwenye mazungumzo ya maana au ya kibiashara. Imagine kuna mtu anakufanyia interview kwenye simu, inaweza kuwa balaa.

Naona ajira kwa vijana wa telecom zitaongezeka sana. Kama una contacts zao hao jamaa, naomba nitumie kwenye PM.
 
Mtanganyika,

Asante kwa taarifa. Ni kweli kwa USA na nchi za West sio rahisi kwa new players kuingia kwenye telecom market kwasababu ya entry barriers (Porter's five forces).

Hata mimi naona inakoenda TZ inatakiwa kampuni ambayo wataweka mkazo kwenye vitu vyote yaani internet, simu na TV. Huawei wana technology nzuri kwenye vitu vyote hivyo vitatu hivyo Zantel kama wako makini huenda wakafanikiwa. Tatizo la Huawei ni kwamba wameweka nguvu kubwa kwenye price kuliko quality. Inaweza kusaidia kwa muda mfupi lakini kama kampuni ina mipango ya muda mrefu, inaweza jikuta inatumia hata pesa zaidi kubadilisha mitambo kila mara.

Wasiwasi wangu na haya makampuni kwasasa ni juu ya quality ambayo imeanza kushuka sana kwa sasa. Unampigia mtu simu, unasikia maneno chini ya asilimia 50 na hiyo ni hatari kwenye mazungumzo ya maana au ya kibiashara. Imagine kuna mtu anakufanyia interview kwenye simu, inaweza kuwa balaa.

Naona ajira kwa vijana wa telecom zitaongezeka sana. Kama una contacts zao hao jamaa, naomba nitumie kwenye PM.

....Mtanzania, sasa ushindwe mwenyewe tu kaka!!! sababu na vizingiti vyote naona vimepata utatuzi..... CV yako itawashangaza hao jamaa, ninauhakika watakutumia ticket na container la foot40 kabisaaaa kukata mzizi wa fitna..... lol
 
za asubuhi wakuu jamvini, wengine sijui itakuwa jioni au ndo mnaamka kwa kuwa kwenye sayari hii ya Mungu jua huwa hailtuii.

leo nieamkia huko mamlaka ya mawasiliano, nikamvaa mate wangu pale kwa level ya ukurugenzi na haya ndo majibu

1. talk tel bado kusajiliwa, kwa kuwa eti technology wanayotaka kuingia nayo sokoni haieleweki ni mpya mno

2. wana mkataba na gsm associations ya kuwa wali-share kuiunda hiyo technology kwa hiyo waki-anza ku-operate italeta competition na gsm na ikaleta badala

3. market share ya talk tel huko ulaya na marekani ni ndogo mno kama 1% hivyo inazidi kuwapa wasiwasi

4. wanakana kuburuzwa na lowasa na rostam aziz, tena wanadai kama ni kuburuzwa siku nyingi wangekuwa wamewapa kibali, kwani talk tel niwapenzi wa jk

ameminmaliza nguvu kwa kuniambia kuwa mwakilishi wa talk tel hapa nchini ni yule kiongozi wa upinzani bungeni, mbunge wa cuf, anaitwa hamad, nilipokumbuka kuwa kikwete au sijui mkapa aliwahi kumteua kuwa mbunge mteule , ndipo nikamwaga kuelekea mahali kupata supu

naomba kuwakilisha
 
za asubuhi wakuu jamvini, wengine sijui itakuwa jioni au ndo mnaamka kwa kuwa kwenye sayari hii ya Mungu jua huwa hailtuii.

leo nieamkia huko mamlaka ya mawasiliano, nikamvaa mate wangu pale kwa level ya ukurugenzi na haya ndo majibu

1. talk tel bado kusajiliwa, kwa kuwa eti technology wanayotaka kuingia nayo sokoni haieleweki ni mpya mno

2. wana mkataba na gsm associations ya kuwa wali-share kuiunda hiyo technology kwa hiyo waki-anza ku-operate italeta competition na gsm na ikaleta badala

3. market share ya talk tel huko ulaya na marekani ni ndogo mno kama 1% hivyo inazidi kuwapa wasiwasi

4. wanakana kuburuzwa na lowasa na rostam aziz, tena wanadai kama ni kuburuzwa siku nyingi wangekuwa wamewapa kibali, kwani talk tel niwapenzi wa jk

ameminmaliza nguvu kwa kuniambia kuwa mwakilishi wa talk tel hapa nchini ni yule kiongozi wa upinzani bungeni, mbunge wa cuf, anaitwa hamad, nilipokumbuka kuwa kikwete au sijui mkapa aliwahi kumteua kuwa mbunge mteule , ndipo nikamwaga kuelekea mahali kupata supu

naomba kuwakilisha
 
....Mtanzania, sasa ushindwe mwenyewe tu kaka!!! sababu na vizingiti vyote naona vimepata utatuzi..... CV yako itawashangaza hao jamaa, ninauhakika watakutumia ticket na container la foot40 kabisaaaa kukata mzizi wa fitna..... lol

SteveD,

Kwi kwi kwi!!! CV gani hiyo? Kama wanatafuta mtu wa kuwasaidia kubeba hizo antenae zao, mimi niko tayari na maana nina uzoefu mkubwa wa kubeba mabox.

Inabidi tuanze kuchangamkia hizo kazi ili akina Lunyungu wasifaidi peke yao.
 
Back
Top Bottom