Lunyungu FIX....anafahamika muda mrefu...kwa sie wazoefu hapa wala hatupati shida nae. Always akija na data kuweni makini sana....ni vema mkamdadisi zaid alete uthibitisho wa anayoyaongea.
Mzee P Mikael nae alikuja kwa povu kubwa...kujifanya kujua...wakati mtu wakijiweni!!! eti Kampuni anaijua...ipo Mwalim House Gorofa ya 10...nae huyu akija na data kuweni makini...atleast tutumie njia za udadisi ili waweze weka uzuri taarifa zao...
Wadau isije kufikia mahala tunaogopa VIVULI vyetu...huku kuwapandisha chat EL/RA...whatever tunajijengea mazingira ya KHOFU na kuacha AKILI zifikiri kuwa tunaweza. Najua TZ kila mtu kila eneo alipo anataka kula....lkn tusifike mahala hao wachache wakaonekana ndio vizingiti....
Mzee P Mikael nae alikuja kwa povu kubwa...kujifanya kujua...wakati mtu wakijiweni!!! eti Kampuni anaijua...ipo Mwalim House Gorofa ya 10...nae huyu akija na data kuweni makini...atleast tutumie njia za udadisi ili waweze weka uzuri taarifa zao...
Wadau isije kufikia mahala tunaogopa VIVULI vyetu...huku kuwapandisha chat EL/RA...whatever tunajijengea mazingira ya KHOFU na kuacha AKILI zifikiri kuwa tunaweza. Najua TZ kila mtu kila eneo alipo anataka kula....lkn tusifike mahala hao wachache wakaonekana ndio vizingiti....