Karibu Sana Mh. Halima Mdee Ndani ya JF

Karibu Sana Mh. Halima Mdee Ndani ya JF

Status
Not open for further replies.

JF Marketer

Member
Joined
Jan 3, 2009
Posts
80
Reaction score
34
Wana JF,

Rejea hii taarifa yangu hapa chini:

.....Nipende kuwafahamisha, Mh. Mdee ameitika ombi lenu. Baada ya shughuli zilizomtinga toka mwezi mmoja uliopita na baada ya shughuli za msiba huu atajitokeza hapa hadharani na kwa Jina lake halisi.
JF Marketer

Leo nachukua nafasi hii tena rasmi kuwajulisha kuwa, muda mchache uliopita, Mh. halima Mdee amekamilisha taratibu za kujiunga rasmi hapa JF kwa majina yake halisi.

Napenda kumshukuru Mh. Mdee kwa kuwa muungwana na mkweli kwa ahadi yake. Kwa niaba ya Jamii Media, ninamuahidi ushirikiano kama tufanyavyo kwa Wanachama wetu wote.

Karibu Mh. Mdee uweze kuendeleza ushiriki wako katika mijadala kwa maslahi ya taifa letu pendwa-Tanzania

404330_10150587808323069_599863068_9003880_1185309930_n.jpg

JF Marketer
 
Karibu Halima, feel at home! We have been anxiously waiting for you.
 
karibu sana jembe letu la kawe na tanzania kwa ujumla. Mungu akupe hekima, busara na uvumilivu kwenye jamii forum kwani kuna wakati mtu inatokea ukawekwa kikaangoni! Usijali jembe hayo yatakua maisha yetu huku jf. Kumbukumbu kubwa iwe kama R Mtema!
Welcome jembe letu, feel at home!
 
asilete ubabe hapa. yeye bando njuka jf so anapaswa akajitambulishe jukwaa la utambulisho. hamna kumsemea mwingine. akileta mchezo anapigwa ban vilevile. ahakikishe anafuata sheria na kanuni za jf. ntamkaribisha akipiga hodi kama nnavyo wakaribisha wengine lakini ntafurahi sana kama kweli kajiunga. ova
 
lakini mh mdee ni mtu anapenda privacy'sijui kama hii taarifa ina ukweli!
 
Yaani povu lote sijui kwa sababu ipi? Mbona kila kitu kipo wazi sana, hakuna sehemu wasiyoenda bila sheria, kanuni na taratibu.
asilete ubabe hapa. yeye bando njuka jf so anapaswa akajitambulishe jukwaa la utambulisho. hamna kumsemea mwingine. akileta mchezo anapigwa ban vilevile. ahakikishe anafuata sheria na kanuni za jf. ntamkaribisha akipiga hodi kama nnavyo wakaribisha wengine lakini ntafurahi sana kama kweli kajiunga. ova
 
jamani bdo hatujamuona au mimi tu sijamuona?nakumbuka mhe Mdee akihojiwa na kipindi cha leo tena cha CLOUDS FM alisema asingekuwa mwanasheria labda angekuwa mwana IT!hivy natumaini upenzi wake kwa IT unogeshe uwepo wake hpa JF!
 
lakini mh mdee ni mtu anapenda privacy'sijui kama hii taarifa ina ukweli!
True that, Mkuu na mi nitashangaa sana kama hii ni kweli, manake yule dizaini zake sio type za kuja kujichora hapa while all others enjoy their sweet privacy. How can u be invited to unravel your identity by someone calling themselves "JF market"! Incredible double standard.
 
Swali kwa dada halima.
hivi karibuni wanafunzi waliofukuzwa na Mwalimu mkuu wa Ndanda kwa shindikizo la kanisa amaeamriwa awarudishe shuleni. lkn hadi sasa mwalimu mkuu huyo wa shule ya serekali amekaidi amri . waislam sasa wanapanga kuvuruga mtihani. njia hii hakuna tafauti na hatua wanazochukua Chadema ktk kudai haki zao, mfano Arusha na mauji ya wanachama wenu.
swali. unaonaje Mwalimu mkuu kwa kuwa anapewa nguvu na kanisa anakuwa na ujeuri wa kukataa Amri ya serekali?
Hivi kwanini Chadema hawataki na kuona waislam wanadai haki zao kama wanavyofanya Chadema kwa kusaidiwa na kanisa katoliki?
 
Swali kwa dada halima.
hivi karibuni wanafunzi waliofukuzwa na Mwalimu mkuu wa Ndanda kwa shindikizo la kanisa amaeamriwa awarudishe shuleni. lkn hadi sasa mwalimu mkuu huyo wa shule ya serekali amekaidi amri . waislam sasa wanapanga kuvuruga mtihani. njia hii hakuna tafauti na hatua wanazochukua Chadema ktk kudai haki zao, mfano Arusha na mauji ya wanachama wenu.
swali. unaonaje Mwalimu mkuu kwa kuwa anapewa nguvu na kanisa anakuwa na ujeuri wa kukataa Amri ya serekali?
Hivi kwanini Chadema hawataki na kuona waislam wanadai haki zao kama wanavyofanya Chadema kwa kusaidiwa na kanisa katoliki?

Unamuuliza swali mtu hujamuona. Kweli ukichaa sio lazima uvue nguo. Au unataka lisijibiwe uanze kusema kaogopa watanzania kwakutafutiana ubaya hamjambo
 
dada halima sijui kama ataweza changamoto. changamoto kubwa kuhusu Chadema na udini ambao wanajf hasa wa cdm hapa wanafeli. wanaonyseha hasira za waziwazi juu ya dini ya kiislam nchini
 
amenipm kumbe yuko humu muda mlefu tu..kule chitchat..
 
Nampongeza kujoin jf. Marehemu mtema alikuwa sharp kuwajulisha kinachoendelea wananchi hasa wakt wa maandamano ya cdm.endeleza gurudumu ili mh mdee
 
Halima Mdee kwani ni nani hasa? Naomba mwongozo tafadhali.
 
Acha masihara we kadakabilike kama humjui halima mdee nend jimbo la kawe kaulize mbuge wenu ni nani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom