Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,297
- 122,384
acha kunitamanisha bhasi,,sungwi na michembeSawa ila wamenipa michembe na sungwi nikuletee
acha kunitamanisha bhasi,,sungwi na michembeSawa ila wamenipa michembe na sungwi nikuletee
Mwanza kuzuri sana. Ila tu vipanya vingi mnoo
Ukitaka kuliona hilo jengo nenda kama unaelekea mjini Kati maeneo ya mkuyuni mkuu nisahihishe ni sawa
HAPANA. Hiyo hotel ya akitalii chini ya NSSF ipo jirani na MWANZA CLUB au MWANZA TENNIS.. AU CHUO CHA BOT-MWANZAUkitaka kuliona hilo jengo nenda kama unaelekea mjini Kati maeneo ya mkuyuni mkuu nisahihishe ni sawa
Au kapripointHAPANA. Hiyo hotel ya akitalii chini ya NSSF ipo jirani na MWANZA CLUB au MWANZA TENNIS.. AU CHUO CHA BOT-MWANZA
Kabisa aisee kwa vibarabara hivyo, foleni itahusika tuHuu mji utakuja kuwa na foleni ya kufa mtu.Time will tell.
Muongo😂panachoniudhi mwanza mjini wanaongea kisukuma ova wote wanaelewa hyo lugha😏😏..mimi wakiniongeleshaga najibu kiswahil kwakweli
panachoniudhi mwanza mjini wanaongea kisukuma ova wote wanaelewa hyo lugha..mimi wakiniongeleshaga najibu kiswahil kwakweli
California sehemu gani?hiko ni kama kijiji cha city niishio mimi...ila ahsante vipi nauli yake ni mia ngapi?
kutoka huku calfonia niishiko mimi...na vipi usafiri wake ni malori au bajaji?
Mimi mtaa wa Rufiji mkabala na Uhuru...Sijawahi sikia pia.Kuwa mtu mzima halafu ukawa muongo muongo sio tabia njema kabisa.Mi nimeishi mwanza sijawahi kuona hiyo tabia tena nilikuwa naishi town kabisa mtaa wa uhuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hee...naona unazurura na mm nikiwa mwanzaKuwa mtu mzima halafu ukawa muongo muongo sio tabia njema kabisa.Mi nimeishi mwanza sijawahi kuona hiyo tabia tena nilikuwa naishi town kabisa mtaa wa uhuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Stress mby snMuongo
Wewe ulienda kwimba au misungwi then unakuja kuongea ujinga hapaStress mby sn
MxiewWewe ulienda kwimba au misungwi then unakuja kuongea ujinga hapa