Karibu Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro

SUA tunabanduana wenyewe kwa wenyewe! sasa unataka mademu waende nje ya chuo kwani umesikia hakuna wanaume?

Nyie kama mnashindwa kuwabandua mademu zetu hadi msaidiwe, poole! Hapa SUA tunapiga kitabu mkijisikia unawapiga exile wenzako mnakila tunda halafu mnaendelea na kitabu, hakuna muda wa kupoteza! Ukitaka kwenda Kaumba, Mziwanda, Mriti au Chilakale ni wewe tu! Huwakuti mademu zetu huko
 
Mm pia ni alumni wa SUA kusema kweli pale naona watu wana-bond (uhusiano) wanafunzi kwa wanafunzi hii ni kutokana na masomo na ubize wa assignments, practicals and presentation kwa sana, watu ni wako bize kwa sana, wapo wanaochapa umalaya lakini sio wengi kama ujuavyo tena mambo ya umalaya ni kipaji kingine ambacho watu hawakitambui. Anyway social life pale SUA sio kwa sana km vyuo vingine i.e. Mzumbe, IFM, CBE, UD etc etc.
 
Mtake msitake ugumu wa shule una kawaida ya kupunguza tabia za kimalaya. Shule ya SUA ni ngumu kasoro kozi ya BARD (BA Rural Development). SUA kuna pass 50% kuna ASTERIK (nadharia na vitendo ufaulu kivyake: UE na CA upasi kivyake) ambayo ndiyo shughuli kuliko shughuli yenyewe.

chezea SUA wewe
 
buku linaweza kupunguza, ila tabia ni kama moshi huwezi ificha, hata havard kuna malaya sembuse sua..
 
Chazea kujua aina 1000 za minyoo na magonjwa yao kwa banadamu na mimea na aina za mimea na magonjwa yake kuna kitu anaitwa BVM. Chazea sua wewe kuna profesa wa sisimizi.
 
Wanakuwa na harufu ya mifugo na madawa ya mifugo na harufu ya kilimo, hawana mvuto kwa mapedeshee
 
SUA tunabanduana wenyewe kwa wenyewe! sasa unataka mademu waende nje ya chuo kwani umesikia hakuna wanaume?

Nyie kama mnashindwa kuwabandua mademu zetu hadi msaidiwe, poole! Hapa SUA tunapiga kitabu mkijisikia unawapiga exile wenzako mnakila tunda halafu mnaendelea na kitabu, hakuna muda wa kupoteza! Ukitaka kwenda Kaumba, Mziwanda, Mriti au Chilakale ni wewe tu! Huwakuti mademu zetu huko

Ila mademu wenu wanaandamwa na njaa si kitoto ya ukimpata dem pale anakugeuza loan Board (HESLB)
 
kiukweli S[B said:
UA huwezi fananisha na vyuo vingene TZ kwanza pass mark yao ni 50%[/B] yaani ukiwa na 49.999% imekula kwako muda wote ni kitabu na mitihani




mmmh...hata Mzumbe pass mark ni 50% na kuna kozi ya Sayansi ya Uchumi..hiyo si mchezo lol. umalaya ni tabia ya mtu binafsi haisababishwi na chuo wala mkoa
 
cku moja ktk pitapita zangu nkawa kule mazimbu hostel nakuta bibabu na viwalaza vyao wengine wanarukia panzi vichakani wengine wanachezea udongo na matope..wanakatakata majani wengine juu ya miti kama nyani vile...NKAULIZA HII NAYO NI KAMBI YA MACHIZI NKAAMBIWA WALE WOTE MI MAPROFESSOR WANAGONGA RESEARCH.....nkaona daaaah SUA bwana
 
cjazungumzia ubora mkuu,nimezungumzia umaarufu,mfano..vijana weng wanaomalza kdato cha 6,hukimbilia mzumbe,ifm nk 7bu kubwa ikiwa ni kwamba vyuo hvo ni maarufu au lugha nyingne unaweza kusema vina majina huku mtaani,so swali langu ni kwamba kwa nini sua imezidiwa umaarufu na vyuo vichanga kama mzumbe,ifm na vingne?
mkuu naona kama bado hujielewi, kwa hizo coment ilikubidi uwe ulishaelewa. gd tym
 
unajua mkuu udsm nje ya nchi haijulikani lkn kwa sua wewe nenda belgium,switz hili jina si geni kwao. SUA nje ya nchi inatisha sana ktk maswala ya research lkn kwakuwa nchi yetu tumewekeza kwenye siasa basi kila siku utawaona akina bana, prof safari, mukandara kwenye tv wakipiga siasa wakati SUA wakifanya uvumbuzi wa kisayansi usitegemee kuona taarifa yao itv,clouds, tbc. Mimi taarifa za sua huwa nazisoma media za nje na ktk world scientific journals



mkuu udahili wa mzumbe hapo tusidanganyane kabisaaaa... mzumbe wapo chini sana 3.5 pts unaingia (source marafiki wangu) labda kama unamanisha BAF, mzumbe is nothing outside tz boarder

well said, mkuu mimi ni mmoja wa wahitimu wa SUA,kwa masuala ya tafiti sua wakoo juu, most of professors pale wana researches zao wamepublish kwenye scientific journal na zingine ziko kwenye google utazikuta ziko kibao
they deserve for it,
 
Ukitaka kujua ubora na umaarufu wa SUA uje kusoma ndio utajua kuna vitu gani,trust me SUA is one of the best places to be!
 
mbona COET-Udsm,inajulikana na wkt wao nao wanapga sciance,tena sciance ile pure kuliko hyo ya sua ilyochakachuliwa?

Mkuu umarufu wa coet umetokana na umri ilionao hapa tz na uwepo ma machine zilizoletwa na german ambozi almost East Africa nzima hazipo, hope umeelewa.
 
Aisee ni nani anasema SUA hakina umaarufu? M naona hujui tu! Kozi zinazopatikana pale ni hotcake kwa sasa na ndio chuo kwa sasa kinaongoza foreigners ku graduate pale fanya utafiti ndio uongee m cjasoma pale ila nilienda kufanya utalii wa ndani pale Apopo, aisee wapo juu. Namkumbuka prof. SWAi pale SUASA counter aisee...
 
Back
Top Bottom