MANAKE MKARI
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 321
- 268
Natoa changamoto kwa wahitimu wote wa SUA kwenye convocation council ya mwaka huu wakati wa Graduation waje na hoja ya kubadili jina la chuo kutoka Sokoine University of Agriculture kuja kwenye jina lolote ali mradi neno Sokoine na neno University yabakie. Hicho kitu kinaitwa Agricultue kiwe deleted permanently mpaka kwenye recycle bin.
Dhambi kubwa ya kunyanyapaliwa ma graduate wa SUA ni jina la chuo chao tu wala si uwezo wao wa kufanya mitihani na kupasi kwa viwango vya juu, ninajua uwezo wa maprofesa wao na tafiti mbalimbali kama vile kutumia panya katika kutambua mabomu ya ardhini, kutumia panya katika kutambua vimelea vya ugonjwa wa TB kwenye makohozi. Kimsingi hata malecturer wa vyuo vingine kama Mzumbe wanasoma pale PHD zao mbalimbali. Kinachotakiwa ni kwenda na wakati, wasipotoa hilo neno SUA wataendelea kuwatesa wahitimu wao milele.
Nani anayewanyanyapaa?Ni mwajiri gani anayehitaji agricultural engineer akamchukua mtu wa sociollogy au lawyer??Mbona kuna watu kibao tu street waliosoma hivyo vyuo manavyoviita maarufu??