Karibu: Chuo cha Maji Ubungo, Dar es Salaam

Karibu: Chuo cha Maji Ubungo, Dar es Salaam

Naomba kuuliza watu wanaosoma access course wanasoma topic gani katika hayo masoma matatu
 
dume ni wa irigarion eng tena atamuoa huyo wa baed bila kipingamizi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli tupu...watu wengine huwa wanachagua chuo kizuri na sio program nzuri itakayompa maisha mazuri just after graduation.....

Kama umechagua water resources and irrigation engineering... Big up coz it is the best selection
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli tupu...watu wengine huwa wanachagua chuo kizuri na sio program nzuri itakayompa maisha mazuri just after graduation.....

Kama umechagua water resources and irrigation engineering... Big up coz it is the best selection
Mkuu me nimechaguliwa hydrology and meteorology
 
Mkuu me nimchaguliwa kupiga apo kpiga bachalor vip khusu hostel zipo au majanga tuuu
Jombaa hostel ni majanga tu nmewaulza wakuu wanasema huwa inatokea baht kwa watu bachelor kupata hostel....kama vipi ni pm tufanye mchakato wa geto maana hakuna njia nyingine zaid ya kupanga
 
Mkuu me nimchaguliwa kupiga apo kpiga bachalor vip khusu hostel zipo au majanga tuuu
Kaka me mwenyewe first year Sema wanatoa accommodation ila Kwa jinsi nilivyoisoma ni 20000 Kwa mwez. Kwa maelezo ya ziada download joining instructions ipo kwenye website Yao. Ingawa nahisi mpaka Sasa zitakuwa zimejaa. Ni kujiandaa tu
 
kwa mfano umechaguliwa udsm Bed na mwingine irrigation eng wdmi nan dume?
Acha kulinganisha udsm na huo upuuzi wa maji! Halafu nyie mnaojifanya wanasayansi wa Tanzania mmegundua nini cha kulisaidia taifa? Kwa taarifa yako wengi wanaosona udsm baed/bed wana credit za maana za masomo ya sayansi o- level kuliko nyie vilaza! Eti d mbili unachukuliwa! Ndio nini hiyo kama siyo mapuuza.
 
UDSM ni wachumba wote kidogo civil aongee.wengine wote geto block F krb na kwamchina tulipo jenga crane ya chips.
 
Harafu ni watu wanaopiga kitabu kweli sio kama UDSM misifa kibao lakin wanaosoma ubungo maji wametulia sana hadi raha kwakweli
 
Jombaa hostel ni majanga tu nmewaulza wakuu wanasema huwa inatokea baht kwa watu bachelor kupata hostel....kama vipi ni pm tufanye mchakato wa geto maana hakuna njia nyingine zaid ya kupanga
 
Back
Top Bottom