Karibu: Chuo cha Maji Ubungo, Dar es Salaam

Karibu: Chuo cha Maji Ubungo, Dar es Salaam

Kwa upande wa hydogeology ishu nyingi zipo bonde la ruvuma na pwani ya kusini pamoja na bonde la tanganyika.so itategemea mwanao akifaulu interview atapangiwa wapi na katibu wa wizara ......Mimi kwetu nafasi zilikuwa nne alafu waombaji 41....na zikatoka hizohizo nne... wengine inaoneokana wapo kwenye kanzidata ya sekretariet ila sijui lini watapangiwa vituo
jiwe angavu
Bora umepata kazi maana ulikuwa chawa wa CCM hatari
 
Ishu ipo kwenye interview za kazi mpka upenye PSRS lazima uwe na bahati,haiba na akili maswali yao NI simple ila yanahitaji uwe mjanja kwa kuwa nimefaulu najua tips za kusaidia mtu afaulu oral interview zao.
Habari mkuu, je unaweza kunipa sample za maswali yanayoulizwa kwenye written na oral interview kazi ya HYDROLOGY.
 
Mna maoni ya jioni ktk kipengele cha Water installation, yaani wale mafundi bomba wa majumbani wale ktk ngazi ya chini?
 
Habari mkuu, je unaweza kunipa sample za maswali yanayoulizwa kwenye written na oral interview kazi ya HYDROLOGY.
1.explain water cycle
2.mention parameters of weather
3.mention method of measuring discharge na hapa uzijue na nyingine ambazo incase kama current meter imezingua site basi ujue alternative mfano float method,buoyancy method,crane

4.ujue pia vifaa vya kupima water level apart from gauge....mfano rod,stick



5.apllication ya hydrophilic majibu yake yapo kwemye duties and responsibilities za kazi..


Kila la kheri karibu katika utumishi water resources
 
Water Development and Management Institute (WDMI) ama chuo cha usimamizi na maendeleo ya Maji, zamani Water Resources Institute (WRI) kilianzishwa mwaka 1974 kama kitengo ndani iliyokuwa wizara ya maji na nishati mnamo mwaka 1974.

Lengo kuu la uanzishwaji wa chuo hiki ilikuwa kukidhi mahitaji ya wataalamu wa maji wa ngazi ya kati katika uliokuwa mpango mkubwa wa miaka 20 wa program ya usambazaji maji nchini Tanzania kati ya (1971-1991).

Ilipofika mwaka 1980, chuo kilibadilisha jina na kuitwa Taasisi ya Rasilimali za Maji ya Rwegarulila ama Rwegarulila Water resources Institute. Chuo kimelenga katika kuandaa wataalamu mbali mbali wa sekta ya maji kupitia program zake za mafunzo, ushauri na tafiti chini ya sera husika ya wizara ya Maji, kwa sasa chuo kinatambulika rasmi kama Chuo cha Usimamizi na Maendeleo ya Maji, Water Development and Management Institute.

Chuo kinatambuliwa na TCU, kwa sasa chuo kinatoa kozi moja tu ya ngazi ya degree, ambayo wanafunzi wake, wanapata mkopo kutoka HESLB.

Bachelor degree in Water Resources and Irrigation engineering

Chuo ni cha Serikali, chini ya Wizara ya Maji, kozi zote za diploma zinazotolewa na chuo hiki, zinatambuliwa kwa usajili wa NACTE.

1. Diploma in Irrigation engineering

2. Diploma in Meteorology and hydrology
3. Diploma in Hydrology and water well drilling
4. Diploma in water supply and sanitation engineering
5. Diploma in water quality laboratory

Chuo kinatoa kozi mbali mbali za ngazi ya cheti. Chuo kwa kushirikiana na serikali, wanaandaa mkakati ili wanaomaliza masomo yao katika chuo hiki, waajiriwe moja kwa moja na serikali kupitia wizara ya Maji.


Chuo kina scholarship/sponsorship kwa watanzania katika ngazi ya diploma, kupitia WATER TECHNICIAN FUND, ofisi zao zipo ndani ya chuo cha Maji Ubungo.

Chuo kipo Dar es salaam, eneo la Ubungo, kutoka barabara ya Sam Nujuma kuelekea barabara ya chuo kikuu, inayopitia geti Maji.

Karibu Chuo cha Maji Ubungo, Dar es salaam.
Ni wakati sasa umefika chuo hiki kinatakiwa kianze kujiandaa kutoa stashada ya juu kwa sababu kuna baadhi ya walimu hapo wanasoma PhD
 
1.explain water cycle
2.mention parameters of weather
3.mention method of measuring discharge na hapa uzijue na nyingine ambazo incase kama current meter imezingua site basi ujue alternative mfano float method,buoyancy method,crane

4.ujue pia vifaa vya kupima water level apart from gauge....mfano rod,stick



5.apllication ya hydrophilic majibu yake yapo kwemye duties and responsibilities za kazi..


Kila la kheri karibu katika utumishi water resources
Shukrani sana Mhandisi, tarehe 4 mwezi ujao tunaingia kwenye oral, nafasi ya Hydrology II, pia ningependa kuuliza tena je haya maswali naweza kukutana nayo kwenye written au oral, au kote oral na written
 
Shukrani sana Mhandisi, tarehe 4 mwezi ujao tunaingia kwenye oral, nafasi ya Hydrology II, pia ningependa kuuliza tena je haya maswali naweza kukutana nayo kwenye written au oral, au kote oral na written
Hayo sanasana kwenye oral ila usikariri sometimes wanaruka kbs hydrology wanaenda kwenye supply..ujue pia type of pipes, standard of water WHO,TYPE OF PUMP
 
Kumbe chuo kinafyatua wataalamu wa maji tangu 1974, ndio maana hakuna tatizo la maji nchini!
 

Water Development and Management Institute (WDMI) ama chuo cha usimamizi na maendeleo ya Maji, zamani Water Resources Institute (WRI) kilianzishwa mwaka 1974 kama kitengo ndani iliyokuwa wizara ya maji na nishati mnamo mwaka 1974.

Lengo kuu la uanzishwaji wa chuo hiki ilikuwa kukidhi mahitaji ya wataalamu wa maji wa ngazi ya kati katika uliokuwa mpango mkubwa wa miaka 20 wa program ya usambazaji maji nchini Tanzania kati ya (1971-1991).

Ilipofika mwaka 1980, chuo kilibadilisha jina na kuitwa Taasisi ya Rasilimali za Maji ya Rwegarulila ama Rwegarulila Water resources Institute. Chuo kimelenga katika kuandaa wataalamu mbali mbali wa sekta ya maji kupitia program zake za mafunzo, ushauri na tafiti chini ya sera husika ya wizara ya Maji, kwa sasa chuo kinatambulika rasmi kama Chuo cha Usimamizi na Maendeleo ya Maji, Water Development and Management Institute.

Chuo kinatambuliwa na TCU, kwa sasa chuo kinatoa kozi moja tu ya ngazi ya degree, ambayo wanafunzi wake, wanapata mkopo kutoka HESLB.

Bachelor degree in Water Resources and Irrigation engineering


Chuo ni cha Serikali, chini ya Wizara ya Maji, kozi zote za diploma zinazotolewa na chuo hiki, zinatambuliwa kwa usajili wa NACTE.

1. Diploma in Irrigation engineering
2. Diploma in Meteorology and hydrology
3. Diploma in Hydrology and water well drilling
4. Diploma in water supply and sanitation engineering
5. Diploma in water quality laboratory

Chuo kinatoa kozi mbali mbali za ngazi ya cheti. Chuo kwa kushirikiana na serikali, wanaandaa mkakati ili wanaomaliza masomo yao katika chuo hiki, waajiriwe moja kwa moja na serikali kupitia wizara ya Maji.

Chuo kina scholarship/sponsorship kwa watanzania katika ngazi ya diploma, kupitia WATER TECHNICIAN FUND, ofisi zao zipo ndani ya chuo cha Maji Ubungo.

Chuo kipo Dar es salaam, eneo la Ubungo, kutoka barabara ya Sam Nujuma kuelekea barabara ya chuo kikuu, inayopitia geti Maji.

Karibu Chuo cha Maji Ubungo, Dar es salaam.

Sawa
 
Back
Top Bottom