Mwenye kujua tuition fees chuo cha maji ubungo wdmi kwa degree naomba anijuze
Wakuu kwa wale wanaokifahamu au waliochaguliwa kwenye chuo hiki. mimi nina mdogo wangu kachaguliwa hapo wdmi. Nisaidieni Gharama kwa ujumla au fee structure. Pia ningependa kujua chuo kinafunguliwa lini.. Na je utaratibu kwa wale wanaochaguliwa na serikali kama yeye (kahitimu kidato cha nne mwaka jana) kachaguli kozi inaitwa WS (SIJAIFAHAMU BADO) Gharama zao zinakuaje?
Natanguliza shukrani.