Karibu: Chuo cha Maji Ubungo, Dar es Salaam

Karibu: Chuo cha Maji Ubungo, Dar es Salaam

WS ni course ya Ordinary Diploma in Water Supply Eng, miaka mitatu.Kwa ninavyojua waliochaguliwa na serikali wanakuaga na program inaitwa costs sharing, serikali inamlipia some percentage ya ada na inampa hela ya kula, ila sijui exactly ammount.

Ikiwa private anajilipia total Tsh mil 1.2 hivi kwa mwaka include hostels kasoro tu hela ya kula anajitegemea.

Kama unataka info zaidi uliza.
Ahsante sana mkuu Mad Max
 
Last edited by a moderator:
first year diploma ndio wameanza access course, masomo rasmi yanaanza mwezi Nov
 
Hakuna certificat apo chuon

Certificate ipo, Mwaka mmoja, ukitaka diploma unaongeza miwili so jumla mitatu.

BTW Kwanini usome certificate na sio dip wakati ufaulu wa kujiunga pale ni mdogo sana?

  1. Kuingia, unaweza ingia either direct or through access course (indirect). 1.Kwa direct, ufauhuru minimum ni CDD kwa masomo ya Phy Che, Bio, Geo, na Math. Ila usiwe na F ya Math.
  2. Kwa indirect, kwa kupitia Access course, uwe na atleast D mbili katika hayo masomo. Kitakachotakiwa wewe utaenda pale utapigwea msasa wa hiyo course kwa miezi mitatu utakua unasoma basics za masomo ya Phy Math na Chem then utafanya mtihani kama ulikua unazingatia masomo utafahuru officially kuanza masomo.
 
Ada ni kiasi gani


Ada kwa mwaka ni Tsh Mil 1.07 bila hostel,

Hostel ni laki 2 kwa mwaka.

Tembelea website yao Home hafu kuna sponsorships mbali mbali, sizikumbuki vizuri ila moja ni ya wanawake tu, ya pili inatolewa na wdtf unaiomba ukipata admission na ya tatu ni ya serikali, ila hii ni kwa wale tu ambao wanavomaliza form 4 walichagua kujiunga na chuo cha maji badala ya kwenda form 5 so serikali inawalipia asilimia flani na hela ya kula inawapa pia (bumu)
 
vp bro kuhusu mkopo kwa watu walio apply direct maana naskia wa access course wamesha maliza ku apply mikopo
 
habari wanaJF samahani naitaji msaada kwa wenye experience kuhusu course yenye uwanja mkubwa wa ajira tokea chuo cha maji kati ya
1Water supply and sanitation Engineering the
2program Hydrology & Meteo rology 3Hydrology & Water Well Drilling 4Irrigation Engineering
5Water Quality Laboratory Techn ology
 
1. Water supply eng
2.Water Lab
3.Hydrogeology and water well drilling.

Kumbuka kozi namba tatu ni nzuri sana kwa kujiajiri, namba moja ajira ni nyingi na unakua na technics zote za civil engineer na ajira zake huitaji watu wengi na kozi namba 2 ni rahisi kupata ajira kwani wasomi wa hii kozi ni wachache.
Note:
Water lab ni kozi ngumu kutokana na unoko wa walimu wengi wa kike na HGD ni kozi rahisi sana kuhitimu kwani walimu wake sio wanoko kabisa.
 
Dear, become a competent GIS Analyst, Developer, Programmer, Manager or User. Join Master of Science in Geographical Information Systems (MSc. GIS), which is new in Tanzania. It is 18 months- long, EVENING programme at the University of Dar es Salaam - Department of Geography.

1. Qualification: GPA of at least 2.7 or its equivalent from ANY FIELD OF STUDY. Non-degree applicants with an Advanced Diploma (second class or higher) and Postgraduate Diploma are eligible.

2. Fees for the whole programme is Tsh. 6,875,000.00/= (exclusive of Dissertation project costs)

3. Application Deadline: 20th October, 2015.

4. Call 0767 004 280, Request for Application Forms from Email: johnbaitani@gmail.com

5. For more details please click this link: https://www.udsm.ac.tz/node/520

6. Please circulate to all!!

Kind Regards,

--------
Baitani J.
Convocation Liaison Officer,
Advancement Office,
University of Dar es Salaam
 
1. Water supply eng
2.Water Lab
3.Hydrogeology and water well drilling.

Kumbuka kozi namba tatu ni nzuri sana kwa kujiajiri, namba moja ajira ni nyingi na unakua na technics zote za civil engineer na ajira zake huitaji watu wengi na kozi namba 2 ni rahisi kupata ajira kwani wasomi wa hii kozi ni wachache.
Note:
Water lab ni kozi ngumu kutokana na unoko wa walimu wengi wa kike na HGD ni kozi rahisi sana kuhitimu kwani walimu wake sio wanoko kabisa.
na ukimaliza unaajiriwa serikalin au.....?
 
Back
Top Bottom