arif chudy
Member
- Mar 14, 2017
- 5
- 0
Jamani nilikuwa nauliza kuwa kwa mtu wa diploma anaweza akaomba mkopo
Je mwanafunzi mwenye ufaulu wa O level chemistry CAnaweza kusoma course ya Hydrogeology and Well Drilling au Hydrology and Meteorology.
Ada na michango mingine unaweza kuipata kwa kudownload form katika website ya Chuo.
Course zote ni miaka mitatu.
Asante.
Kwanini hiki Chuo kilibadilisha jina na kuitwa Taasisi ya Rasilimali za Maji ya Rwegarulila ama Rwegarulila Water resources Institute(mwaka 1980)?Water Development and Management Institute (WDMI) ama chuo cha usimamizi na maendeleo ya Maji, zamani Water Resources Institute (WRI) kilianzishwa mwaka 1974 kama kitengo ndani iliyokuwa wizara ya maji na nishati mnamo mwaka 1974.
Lengo kuu la uanzishwaji wa chuo hiki ilikuwa kukidhi mahitaji ya wataalamu wa maji wa ngazi ya kati katika uliokuwa mpango mkubwa wa miaka 20 wa program ya usambazaji maji nchini Tanzania kati ya (1971-1991).
Ilipofika mwaka 1980, chuo kilibadilisha jina na kuitwa Taasisi ya Rasilimali za Maji ya Rwegarulila ama Rwegarulila Water resources Institute. Chuo kimelenga katika kuandaa wataalamu mbali mbali wa sekta ya maji kupitia program zake za mafunzo, ushauri na tafiti chini ya sera husika ya wizara ya Maji, kwa sasa chuo kinatambulika rasmi kama Chuo cha Usimamizi na Maendeleo ya Maji, Water Development and Management Institute.
Chuo kinatambuliwa na TCU, kwa sasa chuo kinatoa kozi moja tu ya ngazi ya degree, ambayo wanafunzi wake, wanapata mkopo kutoka HESLB.
Bachelor degree in Water Resources and Irrigation engineering
Chuo ni cha Serikali, chini ya Wizara ya Maji, kozi zote za diploma zinazotolewa na chuo hiki, zinatambuliwa kwa usajili wa NACTE.
1. Diploma in Irrigation engineering
2. Diploma in Meteorology and hydrology
3. Diploma in Hydrology and water well drilling
4. Diploma in water supply and sanitation engineering
5. Diploma in water quality laboratory
Chuo kinatoa kozi mbali mbali za ngazi ya cheti. Chuo kwa kushirikiana na serikali, wanaandaa mkakati ili wanaomaliza masomo yao katika chuo hiki, waajiriwe moja kwa moja na serikali kupitia wizara ya Maji.
Chuo kina scholarship/sponsorship kwa watanzania katika ngazi ya diploma, kupitia WATER TECHNICIAN FUND, ofisi zao zipo ndani ya chuo cha Maji Ubungo.
Chuo kipo Dar es salaam, eneo la Ubungo, kutoka barabara ya Sam Nujuma kuelekea barabara ya chuo kikuu, inayopitia geti Maji.
Karibu Chuo cha Maji Ubungo, Dar es salaam.
Binti yangu amechaguliwa kuja kusoma diploma ya usanifu maji maabara. Naomba kujua future ya hii kozi ni nini hasa. Hali ya ajira ikoje hapo baadae.Asanteni Wadau wetu wa Chuo cha Maji kwa maoni na Maswali mbalimbali. Mnaweza kuuliza zaidi maswali hapa tukasaidiana kujibu.
Me nipo hapahapa nasubiri majibuBinti yangu amechaguliwa kuja kusoma diploma ya usanifu maji maabara. Naomba kujua future ya hii kozi ni nini hasa. Hali ya ajira ikoje hapo baadae.
Nahitaji kufahamu japo kwa ufupi ili tuweze kufanya maamuzi.
Asante.
Wote majikekwa mfano umechaguliwa udsm Bed na mwingine irrigation eng wdmi nan dume?
Kapige WATER LABO..hutojutia mkuuVp humu...nnaombeni kuuliza apo chuo cha maji ni course gani iko vizuri.
Vp kuhusu hydrology and meteorology hii course ikoje ni course yenye soko au ikoje.Kapige WATER LABO..hutojutia mkuu
Mkuu, kwa matokeo hayo itakuwa shida sana kupata.. maana ana miswaki ya Math na Phys hali ya kuwa wanaangalia sana masomo hayo mawili....Jaman hiki chuo nahitaj nimpeleke ndgu yang bt cjajua alama gn znahitajika ili kusomea moja ya koz tano zilizoainishwa, biology D, chemistry D, physics F, math F yalobak yote ni C&D so nijuzeni ka ataweza kusoma na Kama itawezekana malipo ya koz hususa ni kias gn
Water resourx and irrgat engir unasoma t3na ni bachelorJe mwanafunzi mwenye ufaulu wa O level chemistry C
Physics C
Bios C
Math D
Yalio baki yote ni D
Na A level ana ufaulu ufuatao
Advanced Physics D
Chemistry D
Advanced math E
GS E ana weza kusoma course gani apo?
Binti yangu amechaguliwa kuja kusoma diploma ya usanifu maji maabara. Naomba kujua future ya hii kozi ni nini hasa. Hali ya ajira ikoje hapo baadae.
Nahitaji kufahamu japo kwa ufupi ili tuweze kufanya maamuzi.
Asante.
Jaman hiki chuo nahitaj nimpeleke ndgu yang bt cjajua alama gn znahitajika ili kusomea moja ya koz tano zilizoainishwa, biology D, chemistry D, physics F, math F yalobak yote ni C&D so nijuzeni ka ataweza kusoma na Kama itawezekana malipo ya koz hususa ni kias gn
Water resourx and irrgat engir unasoma t3na ni bachelor
But wanahitaj watu wachach ety 70
Ko compettn itakucost
Karibu kwa Maswali utajibiwa.Nnaombeni kwa yoyote anayesoma WDMI Anitumie message kwenye hii namba0712034356 ntampigia nnahitaji nimuulize maswali kidogo kuhusu chuo cha maji mm nimepangiwa apo Hydrology and meteorology.Ahsante.