Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 584
dogo nakuheshimu 7bu someone hinted that you attended TBR school. Ningekutoa shoo. Nimesoma pale miaka 6 usiangushe shule ile.haijawah kutoa kituko.nimefuata aina ya kozi cjafuata jina la chuo. Nataka nikimaliza niitwe engineer. Ww utaitwa nani? Nimeangalia future ya irrigation naona ipo na ni eneo ambalo ntatoe mchango wangu vzuri ktk ujenzi wa taifa langu ipo damuni. Naheshimu machaguo ya wengine ukiwemo ww mdogo wngu. By the way mi ni kakako mkubwa sn .
Salimia muccobs.
Dah hata kuandika hujui unatuaibisha wana TABORA SCHOOL ,