Karibu: Chuo cha Maji Ubungo, Dar es Salaam

Karibu: Chuo cha Maji Ubungo, Dar es Salaam

Nmechaguliwa hapo diploma of water supply and sanitation engineering,kupata hostel inakuaje kwa 1 year
 
Niko tayari kwa maswali yenu
kuhusu water development and management institute(WDMI) kilichopo
ubungo karibu na UDSM.

Kwa nini chuo hiko kinafuga waliofeli form four?mfano kuna mshkaj namjua alipata phy-E,Math-E,Chem-E,Lang-D na akawa admitted.
 
Kwa nini chuo hiko kinafuga waliofeli form four?mfano kuna mshkaj namjua alipata phy-E,Math-E,Chem-E,Lang-D na akawa admitted.

Hy labda n pre-entry n hawez chaguliwa coz lazma uwe n D y math,n kama amechaguliwa hatosoma degree kuna v2 atamic,E kama F,mwambie aache labda akasome veta NTA level 3,akishapata ndo arudi kusoma au arisiti.
 
Mkuu Edwin hostel zipo priority ni kwa first year na third year cha msingi kuwahi chuo.
 
Mkuu Fungi chuo ni cha serikali na kipo chini ya NACTE na TCU hivyo minimum qualifications zinafanana na vyuo vingine.
 
Mkuu dot64 hakuna pre-entry ya degree,samahani kwa kuchelewa kukujibu
 
Kwa tulio chaguliwa WDMI pamoja na wakubwa zetu wa mwaka wa kwanza, pili mpaka wa nne tunaomba mtujuze kuhusu trh ya kuingia chuo, kuhusu mkopo vp kama heslb watatupa, accomodation kama zipo available chuoni na mengine mengi. Natanguliza shukrani
 
Kwa wale tulio chaguliwa kujiunga na masomo ngazi ya shahada kwa mwaka wa masomo 2014/2015, naomba tufahamiane hapa nakama lipo la kujuzana tuambizane wakuu. Natanguliza shukrani.
 
kwa anae kifahamu hiki chuo wajamen.......
maana kuna dogo angu wa kike amechagulia hapo na kwa stor zilizopo n kwamba chuo hakina hostel....
sasa huwa wana kaa wap ??????
kama ntaweza pata namba za kiongoz yeyote wa chuo itakuwa afadhar kidogo
msaada wa jamen........
 
hostel zipo kibao,asidanganywe na wajinga,then hicho chuo ni cha serikali na ni kikongwe so sio cha kubabaisha kabisa
 
maana kwenye joining instructn zao walivyoandika
wamesema degree watatakiwa watafute their own accomodation ...palitustua kdogo
chupu chupu aandike barua ya kuhama tcu maana
 
kwa anae kifahamu hiki chuo wajamen.......
maana kuna dogo angu wa kike amechagulia hapo na kwa stor zilizopo n kwamba chuo hakina hostel....
sasa huwa wana kaa wap ??????
kama ntaweza pata namba za kiongoz yeyote wa chuo itakuwa afadhar kidogo
msaada wa jamen........

ni PM namba za simu za huyo mdogo wako nimuelekeze cz mimi nipo hapa chuoni now!
 
chuo unafanya nin sasa??
kwa faida ya wengne kama ungeweka mambo hapa hapa hazaran ingekuwa vzur
 
hostel zipo kibao,asidanganywe na wajinga,then hicho chuo ni cha serikali na ni kikongwe so sio cha kubabaisha kabisa

Wewe kama hujui mambo,you better stay quiet..., hostel zilizopo Wdmi ni kwa ajili ya watu wa OD tu,watu wa bachelor wanatakiwa kutafuta malazi nje ya chuo!!!
 
Back
Top Bottom