kanisa halichomwi.Ndugu yangu Ritz inaonekana huko mbali sana na mitaa hiyo.Waambie hao jamaa kama wameamua kuchoma moto makanisa kwa kitendo cha kuukojolea msahafu na ile filamu ya kumtusi Mtume basi wachome makanisa ya kiyahudi yanayoitwa Sabato.Hawa jamaa ni wachokozi sana.Tangu kuingia haya makanisa imekuwa tabu.Na kama ni kwa suala la kufanyiwa dhulma ndani ya Tanzania kwa kuwekewa vikwazo vya elimu na ajira basi waanze na yale ya wakatoliki.
Watz tujue tu kuwa nchi inasheria na inauwezo wa kudeal na yeyote alimradi hataki kufuata sheria halali za nchi,makamanda wakekula kiapo cha utii kulinda nchi na mipaka yake so kama watz tutambue kuwa si busara hata kidogo kuchokonoa amani tulonayo.
Wote ambao wanadhani wapo maeneo yenye vurugu na hawahusiki ni vema wakaondoka jeshi la polisi na vyombo vingine havina wa kumuonea haya endapo yupo katika maeneo hayo.
haya ndio mambo uliyokuwa unayatakaNipo kwenye gari lakini macho yangu yamepatwa na moshi wa mabomu kwa kweli tunapoelekea tusipokuwa makini tutakuwa kama Gaza.
Mods are acting very poor!!!
Wameshaenda muda tu,, hao ni kikosi cha 34 cha pale lugalo, huwa wako standby daily..,
Wanaingilia majukumu yasiyo yao. Siamini kama jeshi la polisi wameshindwa kutekeleza majukumu yao.wapo hapa kariakoo wanatawanywa watu warudi majumbani kwao na wametanda kariakoo.
chanzo changu makini kimeniambia polis wamezidiwa kariakoo na sasa wameomba msaada kwa wanajeshi na wanajiandaa kwenda kutuliza ghasia
naskia helikopta za polisi zinazunguka, je ni kwa nini/