KUCHITIMBO1970
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 482
- 221
Amri ya mpende jirani yako kama nafsi yako,hii ndo amri itakayo waangusha wengi kuuona ufalme wa Mungu,huyo ni Askofu anayekula na kusaza wakati majirani zake wanashindia mlo mmoja na pahala pengine wanashindia na kulalia uji,then yeye anakuja na kusema kuna nafuu??????????????.Labda kwake na watu wa aina yake siyo kwangu na raia ninao ishi nao huku mitaani.