Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,796
- 20,035
......Nimekaa hapa home kwenye buswati nakunywa kahawa na kashata nasoma huu uzi nacheka peke yangu.
......Mnama upo Mkuu Christmas njema
......Nimekaa hapa home kwenye buswati nakunywa kahawa na kashata nasoma huu uzi nacheka peke yangu.
......Padre Mapunda yupo huru sana kuongea anachokiamini ila sio huyo.
Niwe wa dhehebu lipi ?kama usemacho ni kweli si uwe mkristo sasa ndio utajigunduwa ulikuwa ni mjinga kiasi gani kwa kwa kukalilishwa ujinga.
......Waroman ndio zao raisi ikiwa mwenzao kila kitu safi walimsema mwinyi sana na jk.
Hapa ndipo nilionapo kundi lenu kuwa ni wenye mitazamo isiyofaa kabisa, kama ndo matunda ya mti wenu, nahisi ni heri kuipanda michongoma. Kwann mnakosa uwezo wa kufiri vizuri ninyi? Viongozi wote hata wakiwa wa upande wako we binafsi usipojishughulisha itakusaidia nn? Hivi kati ya mabilionea wakubwa Tz wa kundi lipi ni wengi? Watu wanajadili maswala muhimu ya kitaifa, unaleta sumu za kidini. Uislamu umeundwa ktk kulaumu tu hata vitabu vyao Mungu wao ni wa kulaumu tu. Hivi kwann mnaongelea dini 2 tu hapa nchini wakati kwanza zina watu wachache hata nusu ya watz haifiki, ktk dini zote za kigeni. Mbona wenye dini za asili, tena ndo dini zenye asili ya nchi hii, hawalalami?PengO hana akili. Aache mambo kis.enge
Hivi anajua ugumu wa maisha.
Labda anamaana awamu hii kuna unafuu wa maisha ya kikristo maana MAGUFULI AMEWAWEKA WAKRISTO WENGI ZAIDI KWENYE UONGOZI (MORE THAN 92%) KULIKO AWAMU ZINGINE ZOZOTE
Sio Congo tu pia Afrika Kusini na Kenya viongozi wa dini walikuwa mstari wa mbele kupiigania haki za wanyonge.We should treat the remarks with the contempt that they deserve.Maaskofu wa kweli wapo Congo na ndio wameokoa nchi isiingie vitani, Tanzania ni rahisi kwa kibaka kwenda mbinguni kuliko hawa maaskofu.
Be careful with this Men of God.
......Tuwe wakweli tu hamna mtumishi
Mna nipo nasikia maisha yamekuwa nafuu sana tofauti na utawala uliopita mnama kweli? Umechinja mbuzi wangapi mnama.......
......Mnama upo Mkuu Christmas njema
Leo wakati najiandaa kwenda kanisani ibada ya pili nikasema ngoja niweke redio yetu tumaini.
Baba Askofu akitoa salamu za xmas kwa waumini alisema kuwa yeye anaona maisha yana nafuu sana, labda kwa wale ambao walizoea kupata fedha ambazo si halali ndio wanaolalamika, kukazia hilo akasema mavuno ya mwaka huu waliweka target ya kukusanya kiasi kikubwa cha fedha, watu watatu wakamfuata wakati akitangaza malengo hayo na kumuuliza hizo hela zitapatikanaje wakati watu hawana hela baba askofu?
Anasema yeye hakuwajali na akawaambia fedha zitapatikana na kweli zikapatikana sasa leo anasema akisikia watu wanalalamika anashangaa wakati malengo yao yalitimia.
Akaendelea kusema kuwa awamu hii kwake ni nafuu sana kwani akipanda ndege kwenda kwao kwa shirika la ATCL ni karibu nusu ya nauli ambayo mashirika mengine yanatoza, kwa hiyo awamu hii yeye anaona ina unafuu sana.
Basi nikazima redio kwa upole na kuelekea zangu kanisani huku nikiwaza ule ukali wa maaskofu haupo tena awamu hii?