Uchaguzi 2020 Karatu, Manyara: Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu (Sept 29, 2020)

Watawala, kaeni mkijua wananchi mmechoka. Mnayoyafanya ni kuwatia wananchi hasira na kumpandisha Lissu. Polisi, Tiss, Tume ya Uchaguzi, na Msajili. Rudini kwa wananchi kabla ya muda kuisha. Mtajuta sana kwa madhambi yenu maana mwaka huu hakuna kuiba kura

Siku ya kufa kwa nyani kila mtu unateleza. CCM yangu naichinja rasmi kutokana na manyanyaso niliyoyapata chini ya CCM, Polisi na Magufuli...

Hiyo yomi ni ya 1925.....lol
Tatizo wanadhani upinzani ni wabunge na viongozi kumbe wapinzani halisi ni wananchi wenyewe ambao huwezi kuwanunua
 
Hawezi kusuffer heart attack ,kama ww ambaye huna ufahamu wa mathematics. Katika watu waliohudhuria ni1.Wangapi watapiga kura?2.Wangapi wamejiandikisha?3.Wangapi ,watapigia cdm?Kuwa na mahesabu mkononi,kwa kuwa hizi no issue za hesabu tu.Kama ulisoma history ndio matatizo ya kudai wot e no wapiga kura was cdm.
Huo sasa ndio upumbavu wenyewe milionao nyie inzi wa kijani. Yaani watu wanaohudhuria mikutano ya upinzani wengi wanakuwa sio wapiga kura na hawajajiandikisha lakini wanaohudhuria mikutano yenu ndio wapiga kura.

Sijui unatumia kipimo gani kujua hawa ni wapiga kura na wale si wapiga kura.

Hivi watoto wa shule mnaowalazimisha wahudhurie mikutano yenu ni wapiga kura?

Kama mnadhani mnapendwa hivi kwanini sasa mnasomba watu kutoka maeneo ya mbali na eneo la mkutano kuja kuhudhuria hiyo mikutano?

Mbona sasa hamuishi kuandaa fiesta ya wasanii kila mkutano?

Ina maana hakuna namna mnaweza kuwashawishi watu wahudhurie bila kutumia matamasha?

Yaani mnachokifanya ni sawa na kujitekenya halafu unaanza kucheka mwenyewe. Mnazidanganya nafsi zenu wenyewe, poor you.
 
Huo sasa ndio upumbavu wenyewe milionao nyie inzi wa kijani. Yaani watu wanaohudhuria mikutano ya upinzani wengi wanakuwa sio wapiga kura na hawajajiandikisha lakini wanaohudhuria mikutano yenu ndio wapiga kura.

Sijui unatumia kipimo gani kujua hawa ni wapiga kura na wale si wapiga kura.

Hivi watoto wa shule mnaowalazimisha wahudhurie mikutano yenu ni wapiga kura?

Kama mnadhani mnapendwa hivi kwanini sasa mnasomba watu kutoka maeneo ya mbali na eneo la mkutano kuja kuhudhuria hiyo mikutano?

Mbona sasa hamuishi kuandaa fiesta ya wasanii kila mkutano?

Ina maana hakuna namna mnaweza kuwashawishi watu wahudhurie bila kutumia matamasha?

Yaani mnachokifanya ni sawa na kujitekenya halafu unaanza kucheka mwenyewe. Mnazidanganya nafsi zenu wenyewe, poor you.
Acha kupotosha ndugu.Pia acha propoganda mfu.Leo tulikuwa hapa Makambako.Wamekuja watu wengi tu .Na wengine wamedhuiliwa kuingia .Sasa hayo malori yametoka wapi?Wanafunz wametoka wapi?Halafu kudai kuwa wanaoudhuria mikutano ,ya Lissu ,no wapiga kura was cdm,sio kweli.Nikuulize cdm INA wanachama wangap?Pili nikwambia wanaokuja kwenye mikutano ya lissu wengi wanakuja kumshangaa tu,vyuma vyake mwilini.
 
Nimeona msafara wa Tundu Lissu akisindikizwa na police jioni hii kutoka karatu kwenda Moshi aisee.

Speed ya magari ni kubwa mno naomba Rais wetu mtarajiwa usalama wake uangaliwe kwa umakini.

Wasije kumtengenezea ajali maana maadui ni wengi mno na walishamtishia kwenye simu kumfanyia kitu kibaya kingine.

Rais wetu ashauriwe vizuri wanaotembea naye magari yapunguze mwendo maana mwendo unakuwa mkali mno.

Usalama wa Rais unakuwa mdogo sana nashauri uangaliwe utaratibu mzuri wa yeye kuwai anakoenda usalama ni muhimu kuliko kitu chochote.
 
Wapiga kura wanajulikana siku zote na hiyo karatu imeongozwa na Chadema miaka 25 yote lakini hamna walichofanya lakini ndani ya miaka MITANO ya Rais Magufuli Karatu wamepata Hospitali, Ongezeko la bajeti ya Dawa na vifaa tiba vimeongezeka, Elimu bure na miundombinu mbalimbali vimetolewa bila kuangalia uchama.
 
Nimeona msafara wa Tundu Lissu akisindikizwa na police jioni hii kutoka karatu kwenda Moshi aisee.

Speed ya magari ni kubwa mno naomba Rais wetu mtarajiwa usalama wake uangaliwe kwa umakini.

Wasije kumtengenezea ajali maana maadui ni wengi mno na walishamtishia kwenye simu Kumfanyia kitu kibaya kingine.

Rais wetu ashauriwe vizuri wanaotembea naye magari yapunguze mwendo maana mwendo unakuwa mkali mno.

Usalama wa Rais unakuwa mdogo Sana nashauri uangaliwe utaratibu mzuri wa yeye kuwai anakoenda usalama ni muhimu kuliko kitu chochote.
Rais wa JamiiForums, Twitter, Facebook, Instra
 
Back
Top Bottom