ficha upeo finyu wa akili yako, kwa hoja hizi mnazidi kumdidimiza JPMKwanza mnayo hiyo hela ya kuwalipa TBC wawaonyeshe live? Jana Iringa waliojaa pale ni wanafunzi na watoto?
Hujawai kuwa na akili huwezi chochote una watoto watatu wote umewapata kwa chupa za wachina so hatuwezi kukushangaa wewr ni jinga jinga kweli wacha GSM waendelee kukurumishaLeo lissu kashindwa kufanya mikutano Arusha na Hai mmeamua kuja na picha ya kuchakachua
Tunamdidimiza wapi? Kila alilofanya JPM kila mtanzania mwenye akili analiona, nyinyi wenye akili fupi ndo hamuoni. Ndo maana hatuhitaji kupiga porojo kama nyinyi, uchaguzi huu tunakamilisha tu haki ya kidemokrasia lakini mshindi ameshajulikana.ficha upeo finyu wa akili yako, kwa hoja hizi mnazidi kumdidimiza JPM
ok, ila hoja hupima akili ya mtu, hivyo wakati mwingine jibu hoja kwa kutumia akili na siyo makama.siTunamdidimiza wapi? Kila alilofanya JPM kila mtanzania mwenye akili analiona, nyinyi wenye akili fupi ndo hamuoni. Ndo maana hatuhitaji kupiga porojo kama nyinyi, uchaguzi huu tunakamilisha tu haki ya kidemokrasia lakini mshindi ameshajulikana.
tunataka mabadilikoWatawala, kaeni mkijua wananchi mmechoka. Mnayoyafanya ni kuwatia wananchi hasira na kumpandisha Lissu. Polisi, Tiss, Tume ya Uchaguzi, na Msajili. Rudini kwa wananchi kabla ya muda kuisha. Mtajuta sana kwa madhambi yenu maana mwaka huu hakuna kuiba kura
Siku ya kufa kwa nyani kila mtu unateleza. CCM yangu naichinja rasmi kutokana na manyanyaso niliyoyapata chini ya CCM, Polisi na Magufuli...
Hiyo yomi ni ya 1925.....lol
Azoom nguo zake ili ajione kinyeo.Zoom nguo zako
Eleza ni nini, unatetemeka tuJaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom
Bwana yule ame data hadi anawapigia magoti watoto wa umri wa miaka 18 kuwaomba kura, kweli Lissu anatisha.Mikutano ya watu wazima. Watoto wako nyumbani, tofauti na kule kijani.
Hoja ipi nimejibu ambayo sikutumia akili? Akili kubwa inawezaje kushindana na akili ndogo? Yaani mlete hoja za kipuuzi halafu mtegemee kujibiwa kwa hoja za maana.ok, ila hoja hupima akili ya mtu, hivyo wakati mwingine jibu hoja kwa kutumia akili na siyo makama.si
Leo nimeamini kumbe picha mnategeneza! Nilikuwepo Karatu hakuna umati wa watu kama hawa sanasana kulikuwa na waendesha pikipiki wanapita mitaani kweli nyinyi ni kiboko kwa kuedit picha. Nilikuwa nasikia tu kuwa huwa mnatengeneza picha leo nimehakikisha mwenyewe!Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu
Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481
View attachment 1584489
View attachment 1584502
Kweli leo nimeamini mnatengeneza picha!Bwana yule ame data hadi anawapigia magoti watoto wa umri wa miaka 18 kuwaomba kura, kweli Lissu anatisha.
Nimenyoosha mikono mnajua kuedit picha. Nilikuwepo Karatu hakuna watu wengi hivyo! Kweli Magufuli ameshashinda anasubiri kuapishwa. Karatu nilikuwepo hakuna watu kama hao wewe muongo mkubwa!Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu
Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481
View attachment 1584489
View attachment 1584502
Sio picha tu.. hata wewe ukiinama tunakutengeneza.Kweli leo nimeamini mnatengeneza picha!
Kweli mnajua kutegeneza ndiyo maana Wabelgiji wamemtengeneza Msaliti Lissu.Sio picha tu.. hata wewe ukiinama tunakutengeneza.