Uchaguzi 2020 Karatu, Manyara: Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu (Sept 29, 2020)

Na hapo alikuwa anapita tu njiani... Mwezi WA kumi naona nchi itatikisika....mikoa yote iliyosalia mwendo Ni huu na zaidi... Hii hali inatia hamasa na kahamisha Sana hata waliokata tamaa watajitokeza kwa wingi kupiga kura
 
Leo lissu kashindwa kufanya mikutano Arusha na Hai mmeamua kuja na picha ya kuchakachua
Hujawai kuwa na akili huwezi chochote una watoto watatu wote umewapata kwa chupa za wachina so hatuwezi kukushangaa wewr ni jinga jinga kweli wacha GSM waendelee kukurumisha
 
ficha upeo finyu wa akili yako, kwa hoja hizi mnazidi kumdidimiza JPM
Tunamdidimiza wapi? Kila alilofanya JPM kila mtanzania mwenye akili analiona, nyinyi wenye akili fupi ndo hamuoni. Ndo maana hatuhitaji kupiga porojo kama nyinyi, uchaguzi huu tunakamilisha tu haki ya kidemokrasia lakini mshindi ameshajulikana.
 
Tunamdidimiza wapi? Kila alilofanya JPM kila mtanzania mwenye akili analiona, nyinyi wenye akili fupi ndo hamuoni. Ndo maana hatuhitaji kupiga porojo kama nyinyi, uchaguzi huu tunakamilisha tu haki ya kidemokrasia lakini mshindi ameshajulikana.
ok, ila hoja hupima akili ya mtu, hivyo wakati mwingine jibu hoja kwa kutumia akili na siyo makama.si
 
Watawala, kaeni mkijua wananchi mmechoka. Mnayoyafanya ni kuwatia wananchi hasira na kumpandisha Lissu. Polisi, Tiss, Tume ya Uchaguzi, na Msajili. Rudini kwa wananchi kabla ya muda kuisha. Mtajuta sana kwa madhambi yenu maana mwaka huu hakuna kuiba kura

Siku ya kufa kwa nyani kila mtu unateleza. CCM yangu naichinja rasmi kutokana na manyanyaso niliyoyapata chini ya CCM, Polisi na Magufuli...

Hiyo yomi ni ya 1925.....lol
tunataka mabadiliko
 
Hii imeakaaje wadau
IMG-20200929-WA0013.jpg
 
ok, ila hoja hupima akili ya mtu, hivyo wakati mwingine jibu hoja kwa kutumia akili na siyo makama.si
Hoja ipi nimejibu ambayo sikutumia akili? Akili kubwa inawezaje kushindana na akili ndogo? Yaani mlete hoja za kipuuzi halafu mtegemee kujibiwa kwa hoja za maana.
 
Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu

Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481

View attachment 1584489

View attachment 1584502
Leo nimeamini kumbe picha mnategeneza! Nilikuwepo Karatu hakuna umati wa watu kama hawa sanasana kulikuwa na waendesha pikipiki wanapita mitaani kweli nyinyi ni kiboko kwa kuedit picha. Nilikuwa nasikia tu kuwa huwa mnatengeneza picha leo nimehakikisha mwenyewe!
 
Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu

Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481

View attachment 1584489

View attachment 1584502
Nimenyoosha mikono mnajua kuedit picha. Nilikuwepo Karatu hakuna watu wengi hivyo! Kweli Magufuli ameshashinda anasubiri kuapishwa. Karatu nilikuwepo hakuna watu kama hao wewe muongo mkubwa!
 
Back
Top Bottom