Karasha ya kokoto ya Wachina hapa Singida hatimaye wamefunga kazi zao Ijumaa iliyopita wakidai kushindwa kutokana na kodi kubwa pamoja na tozo mbali mbali.
Raia hao wa Kichina, waliajiri Watanzania 47 ambao wanarudi mtaani. Tukumbuke karasha ilikuwa inatoa ajira nyingine kwa waendesha malori kwa mamia ambao walikuwa wanakuja kununua kokoto za mashine na pia ikitumiwa na mikoa ya jirani ikiwemo Dodoma, Singida, Tabora etc.
Raia hao wa Kichina, waliajiri Watanzania 47 ambao wanarudi mtaani. Tukumbuke karasha ilikuwa inatoa ajira nyingine kwa waendesha malori kwa mamia ambao walikuwa wanakuja kununua kokoto za mashine na pia ikitumiwa na mikoa ya jirani ikiwemo Dodoma, Singida, Tabora etc.