The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Mhhh TB kwani hormones zimefanyaje tena hapo
kama alivyosema emt
lifestyle inafanya hormones zipungue au kuongezeka
mazoezi ni muhimu
Mhhh TB kwani hormones zimefanyaje tena hapo
kwa tiba zingine watafute wamasai.1.karanga
2. asali
3. pweza
4. maziwa
5. sijui na konyagi
6. Grants
7. Kahawa
8. Mkongora
Pole sana Ground Zero, Vipi gari lako limeshakuwa la kusukuma hadi unaanza kutafuta nyenzo? Mimi nilidhani hilo jina ni ID tu ya JF, kuna tafsri yake ni kwamba kwenye kwenye mashine umeshakuwa Ground Zero? Pole sana nduguHabari za wikendi ndg wanajf. Ninawaomba msaada wanasayansi mliopo humu pamoja na wale wenye subjective experince juu ya karanga hasa mbichi na suala la mapenzi. Je ni kweli kwamba karanga inaongeza hamu au ni dhana tu. Maana huku mitaani kuna mitazamo kwamba mwanaume akinunua karanga basi ujue ana mechi, kwa kiasi fulani soko limeathirika kutokana na hili. Naombeni mnielimishi.
GZ
kunywa asali mbichi na mdalasini kama unauliza kijanja na usisahau kuchanganya na maziwa