Karafuu ina madhara na faida

Faida Ya Mafuta karafuu ni dawa kwa ajili ya kuchua misuli, wakati mwingine inatumika kama kiungo kwenye chakula na chai lakini pia karafuu ambayo hajasagwa inaweza kutumika kama dawa ya tumbo, meno, uji pia

inachangia kuleta harufu nzuri inapochangaywa kwenye chakula. Kwa hiyo nakushauri utumie Mafuta ya Karafuu na kuchangany na mafuta ya nazi kwa kuchuwa mwili wako unapouma usitumie kwa njia ya kujipakaa kila siku. Ukitaka kutumia Mafuta kwa ajili ya
kujipakaa tumia mafuta ya Zaituni au mafuta ya Uto au Mafuta ya nazi pia unapomaliza kuoga kila siku ni mazuri kiafya hayo mafuta ya zaituni au Uto au nazi kwa ajili ya kulainisha ngozi yako iwe nyororo.
 
Faida Ya Mafuta karafuu ni dawa kwa ajili ya kuchua misuli, wakati mwingine inatumika kama kiungo kwenye chakula na chai lakini pia karafuu ambayo hajasagwa inaweza kutumika kama dawa ya tumbo, meno, uji pia

inachangia kuleta harufu nzuri inapochangaywa kwenye chakula. Kwa hiyo nakushauri utumie Mafuta ya Karafuu kuchuwa mwili wako unapouma usitumie kwa njia ya kujipakaa kila siku. Ukitaka kutumia Mafuta kwa ajili ya

kujipakaa tumia mafuta ya Zaituni au mafuta ya Uto au Mafuta ya nazi pia unapomaliza kuoga kila siku ni mazuri kiafya hayo mafuta na kwa ajili ya kulainisha ngozi yako iwe nyororo.
Pia inatumika kutibu tatizo la harufu mbaya ya kinywa-Halitosis.
 
Hivi wewe MziziMkavu ni dokta wa tiba mbadala??au no utundu wako wa kugoogle?
Mkuu Zion Daughter Mimi ni Dokta wa Tiba Mbadala ukiona kitu nime Google nitakiweka kwa lugha ya kiingereza ukiona nimeweka kwa lugha ya kiswahili ujuwe hicho kitu ni changu mwenyewe upo hapo na mimi? Kila kitu huwezi kupata katika ku Search Google sio rahisi.
 
Last edited by a moderator:
Karafuu huwa ina faida sana kwenye meno , uimarisha meno na kuwa makakamavu ,huua vijidudu kwenye meno, huondoa harufu kali mdomoni na kutuliza meno yanayouma kama limetoboka, na pia kuzuia damu kutoka kwenye fizi...
Mimi binafsi huwa natumia karafuu kwa ajili ya meno yangu na imenisaidia sana huwa natafuna karafuu iliyokaushwa vile vimiti vyake muda wa asubuhi na jion kipindi cha kulala au wakati wa kupiga mswaki unaweza kutanguliza kutafuna karafuu then ukapiga mswaki yan baada ya hapo kinywa unakisikia safi kabsa na meno unaona yamegangamala na kuongeza kujiamini....
Hii ni tiba nzuri sana kwa meno...
 
mkuu zion daughter mimi ni dokta???????????????????? wa tiba mbadala ukiona kitu nime google nitakiweka kwa lugha ya kiingereza ukiona nimeweka kwa lugha ya kiswahili ujuwe hicho kitu ni changu mwenyewe upo hapo na mimi? Kila kitu huwezi kupata katika ku search google sio rahisi.
umecertify kabisa au ndio kama ule wa kei jei na wa majimarefu,????????????itakuwa nikudhalilisha fani yetu ya udactari
NAFIKIRI NI MGANGA WA TIBA ASILIA NA SIO DR. AISEE
 
MziziMkavu kweli wewe ni mzizimkavu,
hauchoki japo swali moja linaweza rudiwa hata mara mia, unajibu tu
hongera sana MziziMkavu
Bibie Mamndenyi watu wengi humu ndani ni wavivu kutafuta majibu ya maswali yao yamo humu humu lakini ni wavivu kutafuta sasa tutafanyaje ndio wajibu wetu kuwasaidia watu . Ninakutumia PM hutaki kunijibu ndio umeninunia kwanini kulikoni bibie? Umenibadilikia namna hivi? ahhhhhhhh
 
Siku watajua tu umuhimu wa hivi vitu.

Ile pm niliiona very late samahani kwa kuwa sikujibu,
Nitakununua wewe kweli jamani kwa kosa gani hilo?

Samahani again.

Bibie Mamndenyi watu wengi humu ndani ni wavivu kutafuta maji ya maswali yao yamo humu humu lakini ni wavivu kutafuta sasa tutafanyaje ndio wajibu wetu kuwasaidia watu . Ninakutumia PM hutaki kunijibu ndio umeninunia kwanini kulikoni bibie? Umenibadilikia namna hivi? ahhhhhhhh
 
umecertify kabisa au ndio kama ule wa kei jei na wa majimarefu,????????????itakuwa nikudhalilisha fani yetu ya udactari
NAFIKIRI NI MGANGA WA TIBA ASILIA NA SIO DR. AISEE
nivea wewe si daktari hata kama sikujui...kwani tofauti ya DR na mganga ni nini? mimi sioni tofauti zaidi ya lugha ambapo mganga ni kiswahili na dr ni kiingereza...kama ushawahi enda hospital hujawahi ona hata kwenye mlango wameandika mganga mkuu?
watanzania wengi hatuelewi kiswahili japo ni lugha yetu...dr(mganga) anaweza kuwa wa tiba asilia yaani akitumia mitishamba moja kwa moja bila kuchakachuliwa (kupitia kiwandani) au tiba hizi za artificial zinazohusisha madawa yanayopitia viwandani ktk utengenezaji wake!!!
 
Kwa ajili ya kuchua ni mafuta tu au hata unga uliosagwa unafaa pia kwa ajili ya kuchua ukichanganywa na mafuta mengine kama ya zeituni?
Ndio unafaa sana huo unga wa karafuu ukichanganya pamoja na mafuta ya Zaituni au mafuta ya nazi au mafuta alizeti pia inafaa kwa kuchuwa mwili na masaji bibie.
 
Karafuu ina madhara na faida gani endapo ikiliwa.?

Karafuu ina madhara na faida zipi endapo italiwa?

NAMNA YA KUTUMIA KARAFUU KAMA SCRUB



Kwenye leo tena tumekuwa na kitu kipya toka msimu uanze watu mbalimbali wanatoa mafunzo au tips za namna ya kutumia vitu vinavtotuzunguka kufanya jambo fulani.

KARAFUU
namna ya kutumia karafuu kusugua mwili(scrub).
Unachukua karafuu kavu iliyosagwa ule unga unauchanganya na mafuta ya nazi na liwa halafu unasugua
mwili mzima kuondoa uchafu.
Hii inaweza kumfanyia hata mumeo dada.Kuanzia usoni,mwili wote na miguu unatoa uchafu wote.


Karafuu ni dawa nzuri sana ya kuondoa uchovu au maumivu ya viungo kwani inapenya kabisa kwenye
mwili.Sio tu kuscub mwili hata kwa massage ni nzuri

Karafuu hutokana na mmea wa mkarafuu. Kiungo hiki huweza kutumika peke yake au kwa
kuchanganya na viungo vingine. Kiungo hiki husaidia kuleta hamu ya kula na
kuboresha uyeyushwaji wa chakula tumboni. Vilevile karafuu husaidia kupunguza kichefuchefu, kutapika na kuharisha.

Ni nzuri ikitumiwa katika supu, mchuzi, juisi ya matunda yenye uvuguvugu au vinywaji vingine vilivyochemshwa.


Benefits of Clove Oil:


Clove oil is derived from the clove bud, which is used as a spice in all Indian homes. When the clove buds are distilled, clove oil is extracted from them.
Clove oil is rich in calcium, iron, sodium, phosphorous, potassium and vitamins A and C. Clove oil is known for its anti-bacterial, antiseptic, antiviral and stimulating properties.



MAFUTA YA KARAFUU.jpg


Clove oil thumb


Benefits of Clove Oil:

1. Clove oil for teeth:

Clove oil is an ancient home remedy for dental care due to its germicidal properties. Clove oil is added in many dental products like mouth wash and toothpaste. It is very effective for relieving dental pain, mouth ulcers, tooth ache and sore gums.

The strong smell of cloves removes bad breath and eases throat pain. Dilute 4 drops of clove oil in a cup of warm water. Use this to gargle daily twice a day for instant relief.
However you should be careful as excessive clove oil can cause burns.


2. Infections:

Clove oil is widely popular for its antiseptic properties. It is used for wounds, cuts, fungal infections, prickly heat, and athlete's foot. One can also use it for curing insect bites and nettle stings. Dilute the clove oil by adding carrier oils like almond oil or coconut oil.
However people with sensitive skin should not use clove oil as it may cause burns.



3. Skin Care:

Many of the acne fighting skin creams and lotions contain harsh chemicals which may work but have various side effects. Clove is quite effective for curing acne as it contains a compound "eugenol", which has antibacterial properties. It can clear cystic acne and kill the infections thus reducing swelling.

Add 2-3 drops of pure clove oil in your skin cream or lotion and use it regularly, specially on the target areas. This would drastically reduce the appearance of acne but you should be very careful with the amount of clove oil used.


4. Relive Stress:

Traditionally in India, people used to indulge in special clove oil massages to relive stress and pain. Clove oil has aphrodisiac qualities which act as a stress buster. It reduces mental exhaustion, fatigue, anxiety and tensions as it has a relaxing effect on the mind.

5. Headache:

Since clove oil provides soothing effect on the mind and body, it is also very helpful for curing headaches. In 1 teaspoon of sea salt, add 2 teaspoons of almond or coconut oil and 2-3 drops of the clove oil. Combine well and use it to massage the fore head. It gives instant cooling and provides relief from headache.

6. Respiratory problems:

I am sure many of our mothers must have told us to chew a clove pod to cure sore throat. It is because clove oil has cooling and anti-inflammatory effect on the nasal cavity and the throat. It helps in clearing the nasal passage and thus is useful for respiratory problems like cough, cold, sinusitis and asthma.

7. Ear Ache:

Is regular earache troubling you for a long time? Then try clove oil home remedy to get instant relief from earaches. In 2 teaspoons of sesame oil, add 3-4 drops of pure clove oil and warm the mixture. Slowly apply this mixture inside your ears and keep for some time. This will provide you immediate soothing effect.


8. Indigestion:

Do you know why clove is such an important spice in Indian dishes? It is because clove aids in healthy digestion and thus provides relief from digestion related problems like hiccups, motion sickness, indigestion and flatulence.

9. Diabetes:

Studies have shown that pure clove oil maintains insulin levels in the blood and thus is useful in curing diabetes. It also strengthens metabolism of the body by maintaining the blood circulation and thus reduces body temperature. Clove oil also purifies the blood.


10. Cosmetics and perfumes:

Clove oil is widely used as massage oil and thus added in many skin creams and lotions. It is also added in soaps due to its antiseptic property and soothing effect. Due to its characteristic aroma, it is also used in making perfumes.
If you are familiar with any other clove oil uses, do not forget to share them with us.
 
Asante kwa zawadi MziziMkavu,
Iko wapi ile avatar niliyoizoea;

Wish you a Happy New year.

Bibie Mamndenyi watu wengi humu ndani ni wavivu kutafuta maji ya maswali yao yamo humu humu lakini ni wavivu kutafuta sasa tutafanyaje ndio wajibu wetu kuwasaidia watu . Ninakutumia PM hutaki kunijibu ndio umeninunia kwanini kulikoni bibie? Umenibadilikia namna hivi? ahhhhhhhh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom