''Upande huu ndiyo napendelea zaidi kuliko huko mbele!! Umeona sasa hata mapigo ya moyo yameanza kwenda kasi zaidi. Unaonaje tukitoka hapa twende sehemu tukamalizane kabisa?''
Yani kamkandamizia kabisa halafu tazama suluali imenyanyuka inaelekea mambo yalisha changanya na mawazo yake hayakuwa tena katika mziki sidhani kama hata alikuwa anaendana na beats!
Kama vile namuona libabu fulani hivi likitenda kosa la ku ... kwa mjuku wake kwa upande wa nyuma nyuma hivi!!!
Halafu huyu babu kama namkumbuka kwa mbali hivi;
Sio Mhe Duni Haji Duni wa kule Zenji vile, eti???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.