Hizo ni lugha za wabongo tu kama vile wanavyoiita Yanga Barcelona.Mimi nlishangazwa na watu wanakwambia Colonel Polepole eti wa jeshi la NATO
Basi sawa Tesha ni Mkombozi wetuTesha alisema Hali ya kambini kama haonjwtz walikua wanamdanganya tesha ni juu Yao kwanini hawakutumiza Hadi zao na tesha hapo sioni kosa la tesha ila nakupna wewe ni mjinga wa kutokuweza kufikiri timamu
Yes, Cap. Tesha ndio anaaminika sana tuKwahiyo Mwigulu Nchemba haaminiki?
Mimi sikusanyi videos toka vyombo vya habariWeka hiyo video hapa tuamini sio kutuandikia maandishi Kila mtu anaweza kuandika
Kwa taarifa yako, Kepten Tesha ni project ya waliomteka Polepole. Angalia zile picha za chumba ambacho Polepole alikuwa anatumia kuongelea, then linganisha na ile meza na background ya Kepteni Tesha. Zina ufanano. Pili kumbuka script aliyokuwa anaisoma Tesha, halafu linganisha na maudhui ya Polepole aliyokuwa anaongea. Ni mwandiko wa Polepole.Most likely Tesha is dead. Walimkamata akina Mafwele. Jeshi lilimtupa kwa wauaji.
Kuna wakati walikuwa naye Mtwara. Huenda wamemuua.
Captain Tesha alikuwa genuine.
Kuna siku tutajua yote.
ChaiMimi sikusanyi videos toka vyombo vya habari
Jaribu wewe kujirekodi Yale maneno hata dakika 2 tu uwaseme hao watu aliowasema tesha huku ukiwa na gwanda halafu uje hapa useme ni project nahisi unaongea kutumia makalioKwa taarifa yako, Kepten Tesha ni project ya waliomteka Polepole. Angalia zile picha za chumba ambacho Polepole alikuwa anatumia kuongelea, then linganisha na ile meza na background ya Kepteni Tesha. Zina ufanano. Pili kumbuka script aliyokuwa anaisoma Tesha, halafu linganisha na maudhui ya Polepole aliyokuwa anaongea. Ni mwandiko wa Polepole.
Kepteni Tesha aliongea tarehe 4/10 na Polepole alinyakuliwa tarehe 6/10, na hatujamsikia Kepteni Tesha tena. Watekaji walimtengenezea mtego Polepole kupitia Kepteni Tesha kama panya anavyotegwa kwa mfupa wa samaki, kisha Polepole akaingia mazima
Wewe mpumbavu sana na ndiyo maana Man U wanawapiga wanavyotaka. Kumbe fans wenyewe wa Arsenal ni kama weweJaribu wewe kujirekodi Yale maneno hata dakika 2 tu uwaseme hao watu aliowasema tesha huku ukiwa na gwanda halafu uje hapa useme ni project nahisi unaongea kutumia makalio
Mbona kama fyuzi zimekuruka mzee umelawitiwa nini?Wewe mpumbavu sana na ndiyo maana Man U wanawapiga wanavyotaka. Kumbe fans wenyewe wa Arsenal ni kama wewe
Shauri yakoChai
Mange kimambi alistahili kabisa kuwaangamiza vijana ability ya Reasoning ni ndogo sanaa eti tokeni Jeshi liko na nyinyi litawalinda kapten tesha naye nina wasiwasi naye si mtu aliyeoko Jeshini lakini pia Siyo AI pale kuna Raia alivishwa ile uniform na kuongea.Mimi nlishangazwa na watu wanakwambia Colonel Polepole eti wa jeshi la NATO
Unachojuwa ni kulawitiwa tu kwa kuwa wewe ni mtoto wa malaya na unachojuwa ni kulawitiwa tu. Maana wanamlala mama yako wanakulawiti piaMbona kama fyuzi zimekuruka mzee umelawitiwa nini?
Issue ya kinje iko biased sana. Vita ya majimaji ilidumu kwa takribani miaka miwili. Unataka kusema miaka yote hiyo watu hawakushituka?Hivi Kinjekitile Ngwale alikuwa ni shujaa kwa kuwaunganisha watu wapigane vita vya Maji Maji, au alikuwa ni mtu aliyewahadaa watu kwa kuwaambia risasi za Mjerumani zitageuka maji, watu wakapigana, wakauawa wengi sana?
Nimemfikiria Kapteni Tesha kusemwa ushujaa wake kwa muktadha wa kuwahamasisha watu wapigane vita kama vya Maji Maji.
Hili lisiwe hoja.Sijalalamika.
Hujui maana ya kulalamika?
Hiyo miaka miwili mbona midogo, watu waneshikiwa akili kwa miaka kama 6,000 na zaidi kuhusu mambo ya dini na Mungu na mpaka leo hawajastuka, ukiwaeleza ukweli wanakuwa wakali sana kutetea uongo wao.Issue ya kinje iko biased sana. Vita ya majimaji ilidumu kwa takribani miaka miwili. Unataka kusema miaka yote hiyo watu hawakushituka?
Siamini kuwa wakati ule jeshini hapakuwa moto, na bado naamini kuna moto.Sahihi kabisa