Kapteni Tesha alipotelea wapi?

Kapteni Tesha alipotelea wapi?

Tatizo la approach yako ni kwamba unashambulia watu waliomuamini Captain Tesha badala ya kuchambua mazingira yaliyomfanya ajitokeze na kutoa kauli ile.

Hii ni logical fallacy ya ad hominem, badala ya kushughulika na hoja, unashambulia watu binafsi.

Captain Tesha alifanya jambo la kipekee na la ujasiri.

Kumbuka Tesha alitumia jina lake halisi, hakujificha, na alitoa ujumbe wa matumaini kwa wananchi waliokuwa wamekata tamaa kutokana na matukio ya utekaji na mauaji.

Katika mazingira ambayo kusema ukweli kunaweza kukugharimu uhai wako, kitendo cha kujitokeza hadharani ni cha kuenziwa.

Kutorudi tena hakumaanishi alidanganya, kuna sababu nyingi za msingi zinazoweza kumfanya ashindwe kurudi, ikiwemo vitisho kwa familia yake au shinikizo kutoka vyombo vya dola.

Hizi ni sababu ambazo mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuelewa.

Ni rahisi kwako kubeza ukiwa salama nyuma ya fake ID, bila sura, bila jina, na bila familia yako kujulikana.

Lakini ni vigumu kujitokeza hadharani na kupaza sauti dhidi ya utawala unaotumia nguvu.

Mwa hiyo kubeza jitihada za Tesha naona ni unafiki kwa sababu hujafanya hata nusu ya kile alichothubutu kufanya.

Tesha ali play part yake na alitoa mchango wake wa kipekee na tunamshukuru kwa hilo kwasababu sio wote wanaweza.

Hata kama hakurudi mara ya pili, sababu zake zinaweza kuwa nzito na za msingi.

Halafu hoja yako kwamba “mapinduzi hayatangazwi kabla” haina mashiko kwa sababu historia imetuonesha mara nyingi watu waliotoa onyo au kauli za matumaini kabla ya mabadiliko makubwa.

Thomas Sankara alitoa hotuba kali kabla ya mapinduzi ya Burkina Faso, Martin Luther King Jr. alitangaza ndoto ya “I Have a Dream” kabla ya mabadiliko ya kisheria kutokea Marekani. Kauli za onyo na matumaini mara nyingi hutangulia vitendo.

Kwa hiyo, Tesha kutoa onyo hakumfanyi awe muongo, bali ni sehemu ya harakati za kuamsha hamasa na fikra za wananchi.

Hapa hoja yenye mantiki ni kwamba Tesha alitoa mchango wake na raia wengi wana appreciate so kubeza jitihada zake ni kupuuza mazingira halisi ya gharama za kisiasa katika jamii.

 
Tumuamini Mwigulu Nchemba aliesema kuna mtu amekamatwa na alilipwa bilioni tano kuandaa na kuhamasisha maandano October 29 30 na 31.
Lakini hadi leo hii huyo mtu hajafikishwa mahakamani wala kuhojiwa na inayoitwa tume huru ya kuchunguza vurugua kabla na baada ya uchaguzi.
Hapana tumwamini Cap. Tesha aliyewaingiza mkenge mpk mkaamini eti JWTZ wako upande wenu
 
Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀
It’s honestly too easy kukaa nyuma ya keyboard kubeza and label people waongo, you need to remember the credit belongs to those actually in the mud, Captain Tesha, Lissu, na Mdude are paying a price ambayo wewe huwezi kuifikiria, they are out there taking the heat huku wewe na akili zako za hovyo uko busy kubeza their efforts , sure October 29 wasn't perfect, we know that, lakini heri nusu ya shari kuliko the deafening silence of a coward, at least they stood for something
 
Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀
alishauliwa yule!
 
Hivi Kinjekitile Ngwale alikuwa ni shujaa kwa kuwaunganisha watu wapigane vita vya Maji Maji, au alikuwa ni mtu aliyewahadaa watu kwa kuwaambia risasi za Mjerumani zitageuka maji, watu wakapigana, wakauawa wengi sana?

Nimemfikiria Kapteni Tesha kusemwa ushujaa wake kwa muktadha wa kuwahamasisha watu wapigane vita kama vya Maji Maji.
kinjitikile aliingia mzigon, kwa lugha nyepesi alikua front line! tukija kwa wewe kama mfano kwenda front line hutak na unataka kuitwa shujaa
 
Tumuamini Mwigulu Nchemba aliesema kuna mtu amekamatwa na alilipwa bilioni tano kuandaa na kuhamasisha maandano October 29 30 na 31.
Lakini hadi leo hii huyo mtu hajafikishwa mahakamani wala kuhojiwa na inayoitwa tume huru ya kuchunguza vurugua kabla na baada ya uchaguzi.
Hapana
 
Tatizo la approach yako ni kwamba unashambulia watu waliomuamini Captain Tesha badala ya kuchambua mazingira yaliyomfanya ajitokeze na kutoa kauli ile.

Hii ni logical fallacy ya ad hominem, badala ya kushughulika na hoja, unashambulia watu binafsi.

Captain Tesha alifanya jambo la kipekee na la ujasiri.

Kumbuka Tesha alitumia jina lake halisi, hakujificha, na alitoa ujumbe wa matumaini kwa wananchi waliokuwa wamekata tamaa kutokana na matukio ya utekaji na mauaji.

Katika mazingira ambayo kusema ukweli kunaweza kukugharimu uhai wako, kitendo cha kujitokeza hadharani ni cha kuenziwa.

Kutorudi tena hakumaanishi alidanganya, kuna sababu nyingi za msingi zinazoweza kumfanya ashindwe kurudi, ikiwemo vitisho kwa familia yake au shinikizo kutoka vyombo vya dola.

Hizi ni sababu ambazo mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuelewa.

Ni rahisi kwako kubeza ukiwa salama nyuma ya fake ID, bila sura, bila jina, na bila familia yako kujulikana.

Lakini ni vigumu kujitokeza hadharani na kupaza sauti dhidi ya utawala unaotumia nguvu.

Mwa hiyo kubeza jitihada za Tesha naona ni unafiki kwa sababu hujafanya hata nusu ya kile alichothubutu kufanya.

Tesha ali play part yake na alitoa mchango wake wa kipekee na tunamshukuru kwa hilo kwasababu sio wote wanaweza.

Hata kama hakurudi mara ya pili, sababu zake zinaweza kuwa nzito na za msingi.

Halafu hoja yako kwamba “mapinduzi hayatangazwi kabla” haina mashiko kwa sababu historia imetuonesha mara nyingi watu waliotoa onyo au kauli za matumaini kabla ya mabadiliko makubwa.

Thomas Sankara alitoa hotuba kali kabla ya mapinduzi ya Burkina Faso, Martin Luther King Jr. alitangaza ndoto ya “I Have a Dream” kabla ya mabadiliko ya kisheria kutokea Marekani. Kauli za onyo na matumaini mara nyingi hutangulia vitendo.

Kwa hiyo, Tesha kutoa onyo hakumfanyi awe muongo, bali ni sehemu ya harakati za kuamsha hamasa na fikra za wananchi.

Hapa hoja yenye mantiki ni kwamba Tesha alitoa mchango wake na raia wengi wana appreciate so kubeza jitihada zake ni kupuuza mazingira halisi ya gharama za kisiasa katika jamii.

Huko ni kujipa moyo na kujijaza matumaini hewa.

Tesha hakuwa na mchango wowote ule zaidi ya kuwapa watu matumaini ya kufikirika tu.
 
It’s honestly too easy kukaa nyuma ya keyboard kubeza and label people waongo, you need to remember the credit belongs to those actually in the mud, Captain Tesha, Lissu, na Mdude are paying a price ambayo wewe huwezi kuifikiria, they are out there taking the heat huku wewe na akili zako za hovyo uko busy kubeza their efforts , sure October 29 wasn't perfect, we know that, lakini heri nusu ya shari kuliko the deafening silence of a coward, at least they stood for something

Wewe umetumia nini kuandika hapa? Keyboard?
 
Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀
Wale jamaa wajanja sana, ule ulikuwa mtego at high level
 
Ulitegemea kuwa angeendelea kufanya harakati au kutoa matamko na serikali imwache? HaPA NYANI UMEWAZA KAMA KILAZA SANA. NIKUULIZE. POLEPOLE YUPO WAPI?
MDUDE NYAGALI YUPO WAPI?

KIFUPI TESHA ASINGEENDELEA KUONGELEA JAMBO HILO NA PENGINE ALISHASHUGHULIKIWA.BUT IMPACT YAKE ILIONEKANA SIKU YA MAANDAMANO.

KUNA mambo unatakiwa uwaze kwa akili ya juu. Labda kama ulishakuwa na chuki naye binafsi au unatamani ionekane uliwaza kwa kuona mbali ilhali ni jambo jepesi tu la akili ya darasa la 6 au 7.




Uli
Mwanajeshi mwenye elimu ya juu kiasi cha Tesha na uzoefu hawezi kufanya mchezo ule.

Bado naamini alikuwa anatumika kama Trap
 
Huko ni kujipa moyo na kujijaza matumaini hewa.

Tesha hakuwa na mchango wowote ule zaidi ya kuwapa watu matumaini ya kufikirika tu.
Siku zote kila kitu huonekana ni rahisi kikiwa kinafanywa na mwingine.

Kama unahisi ni rahisi kufanya alivyofanya Tesha jaribu na wewe.

And then tuangalie kama kweli watanzania ni wajinga kihivyo kurubuniwa na video yako ya dakika 15
 
Siku zote kila kitu huonekana ni rahisi kikiwa kinafanywa na mwingine.

Kama unahisi ni rahisi kufanya alivyofanya Tesha jaribu na wewe.

And then tuangalie kama kweli watanzania ni wajinga kihivyo kurubuniwa na video yako ya dakika 15
Hana akili huyo anafikiri watu walitoka tu barabarani kama wamekatwa vichwa yaani hawajui wanachoandamania yaani mtu uchezee uhai huku ukiwa hujui unachokitaka
 
Siku zote kila kitu huonekana ni rahisi kikiwa kinafanywa na mwingine.

Kama unahisi ni rahisi kufanya alivyofanya Tesha jaribu na wewe.

And then tuangalie kama kweli watanzania ni wajinga kihivyo kurubuniwa na video yako ya dakika 15
Watanzania walirubuniwa na so called Kapteni Tesha!
 
Back
Top Bottom