Kapteni Mabior Garang akiwa nje ya nyumba ya Mama yake huko Jebel Sudan Kusini

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,211
4,715
Wadau hamjamboni nyote?

Pichani ni Kapteni Mabior Garang akiwa amesimama nje ya nyumba ya Mama yake huko maeneo ya Jebel karibu na Mlima Kunjur

Mabior ni mtoto wa Muasisi wa Taifa la Sudan Kusini hayati John Garang aliyefariki kwa ajali ya helicopter akitokea nchini Uganda

Mabior amewahi kuhudumu nafasi mbalimbali ikiwamo uwaziri

Niwatakie usiku mwema

1712431021020.jpg
 
Wadau hamjamboni nyote?

Pichani ni Kapteni Mabior Garang akiwa amesimama nje ya nyumba ya Mama yake huko maeneo ya Jebel karibu na Mlima Kunjur

Mabior ni mtoto wa Muasisi wa Taifa la Sudan Kusini hayati John Garang aliyefariki kwa ajali ya helicopter akitokea nchini Uganda

Mabior amewahi kuhudumu nafasi mbalimbali ikiwamo uwaziri

Niwatakie usiku mwema

View attachment 2955859
Mwafrika halisi!
 
Back
Top Bottom