Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,211
- 4,715
Wadau hamjamboni nyote?
Pichani ni Kapteni Mabior Garang akiwa amesimama nje ya nyumba ya Mama yake huko maeneo ya Jebel karibu na Mlima Kunjur
Mabior ni mtoto wa Muasisi wa Taifa la Sudan Kusini hayati John Garang aliyefariki kwa ajali ya helicopter akitokea nchini Uganda
Mabior amewahi kuhudumu nafasi mbalimbali ikiwamo uwaziri
Niwatakie usiku mwema
Pichani ni Kapteni Mabior Garang akiwa amesimama nje ya nyumba ya Mama yake huko maeneo ya Jebel karibu na Mlima Kunjur
Mabior ni mtoto wa Muasisi wa Taifa la Sudan Kusini hayati John Garang aliyefariki kwa ajali ya helicopter akitokea nchini Uganda
Mabior amewahi kuhudumu nafasi mbalimbali ikiwamo uwaziri
Niwatakie usiku mwema