Kapteni Ibrahim Traoré, kashaanza kulewa madaraka

Kapteni Ibrahim Traoré, kashaanza kulewa madaraka

Ukweli waafrika democracy hatuiwezi sasa mfano pale Uganda kwa museven utasema kuna democrasia! Au hapa bongo utasema tuna demokrasia c bora tuamue kuvunja vyama kuwe na wafalme tu
Unaposema democracy haituiwezi hii maana yake ni kwamba hatuwezi kujitawala wenyewe.
 
Hitler alikuwa mbaya kwa Germany?
Kwanini Hitler alishindwa kuwajali raia wote waliokuwa Germany ila akaona kuna wengine wanafaa zaidi kuliko wengine. Kama narrative ya Hitler ilivyo dhidi ya Jews waliokuwa wanakaa huko Germany, je ilikuwa sawa kuwaua?
 
Kwanini Hitler alishindwa kuwajali raia wote waliokuwa Germany ila akaona kuna wengine wanafaa zaidi kuliko wengine. Kama narrative ya Hitler ilivyo dhidi ya Jews waliokuwa wanakaa huko Germany, je ilikuwa sawa kuwaua?
Germany sio jews, nazungumzia kuwapenda watu wako.
Mbona JPM aliitwa dikteta, vp Kwa wananchi wake? Achana na viongozi waliomuona wanambana
 
Upo sahihi mkuu, ndo mana sasa hv Samia amewaachia upinzani kufanya mambo yao kwa uhuru, hakuna aliyefungwa wala kuumizwa 😂
Ushenzi anaofanya Samia kajifunza kwa Magufuli labda somo la uzalendo tu ndiyo amefeli.
 
Viongozi wengi wa afrika wanaaminigi watatawala milele mtu kama huyo anaongoza nchi kwa one man show akifariki nchi inarudi kulekule ilipokuwepo
Mbona UK Mfalme hachaguliwi na wananchi wa UK? Na mali zote za UK ndiye anayemiliki wakati yeye halipi kodi?

Ukoloni umewaadhiri sana nyinyi wenye akili za kupandikizwa na wakoloni.
 
Niliaambiaga watu wakaniona boya
 
Kama ilivyokuwa kwa Magufuli, aliua upinzani akiamini kuwa ndiyo maadui wake kumbe maadui alikuwa anakula nao meza moja(Paul Makonda) matokeo yake wakamuua na nchi ikarudi kwa mafisadi papa(wanamtandao).
Upinzani gani wa Mbowe
 
Mbona UK Mfalme hachaguliwi na wananchi wa UK? Na mali zote za UK ndiye anayemiliki wakati yeye halipi kodi?

Ukoloni umewaadhiri sana nyinyi wenye akili za kupandikizwa na wakoloni.
Unafananisha developed countries na poor countries
Unautimamu wa akili kweli
 
Yupo sahihi. Demokrasia ni kwa ajili ya mabepari wa magharibi. Peasant na demokrasia wapi na wapi?
 
Huwa nawashangaa sana watu ambao wamahisi binadamu aweza kufanya mambo tofauti na nature yake! Kufanya vitu perfect 100%
Kuna hulka ya kibinadamu huwezi kuitoa hata iweje.. hata ww ukiwa kiongozi saa hii huwezi kulingana kimawazo/mtazamo na maono na waTanzania wote! Hata awe nani
Na ukilijua hilo utaishi ukijua hamna mtu sahihi ni kuwa na subra na kuuishi wakati wako binafsi mpaka tamati yako! Mengineyo tutapambana
 
Back
Top Bottom