Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Hivyo vitu vidogo vidogo unavyotaja vimejengwa akiwa rais,mie nazungumzia miaka yake 20 ya ubunge zaidi ya hotel yake binafsi alifanya nini chato?CHATO imeendelea, kuna traffic light za punda kuvuka, kuna mashule, kuna uwanja wa ndege, kuna mabenki, na sasa jamaa anatamani hta BOT iende huko, ndio maendeleo hayo.!