Kapewa ujauzito na wengine, fujo ananiletea mimi

Kapewa ujauzito na wengine, fujo ananiletea mimi

Mkuu demu humjui unakula peku???
Unaweza kukataa mimba, vp ngoma???
 
We mtoto mdogo sana hujapevuka bado, kama umeona ni matusi kwanini na wewe utukane?. Uko frastulated sana, km unawaamini kaa mbali na mimi.

The level of ur foolishness is beyond my imagination! nilijua ulipitiwa kumbe sivyo! Wewe ndio upo frustrated na huyo kiokote mwenzio hadi unatukana wanawake forgetting u hv a mother and sisters who are women! Arrange urself u fool..Grow up and talk like a man!
 
Afadhali ya wewe, mm mtu wangu wa moro alinipa taarifa kwamba ana ujauzito wa miezi 7. Tulkuwa tunawasiliana tu na alkuwa hasemi, kila tendo nilitumia kinga, cha ajabu akaniambia kuna siku kinga ilipasuka ila hakunijulisha, nilipata fujo nying sana tena nikiwa mwaka wa 3 nahangaika na UE pamoja research, namshukuru Mungu siku disco masomo yangu ila alichonifanyia kmenifanya niachane nae. Mtoto alifariki siku 2 baada ya kujifungua. Wanawake nina dosari nao mpaka kesho maana aliniambia akiwa na ujauzito wa miezi 6 siku zake alkuwa akipata km kawaida japo alkuwa hajui km ni mjamzito. Pumbavu wanawake!
duuuuuuuh PUMBAVU WANAWAKE,,,hii inamaanisha pumbavu dada zako wa ukoo mzima,shemeji zako wote wa kike,mama yako mzazi,mama wakubwa na wadogo,mkeo kama unae,shangazi zako,bibi zako,walimu wote wa kike waliokufundisha,,,ama kweli kijana huna nidhamu
 
Habari zenu wandugu,

Naombeni mnisaidieni kwa hili.Kuna dada mmoja nilifahamiana nae katika pitapita za mjini kwa hulka yangu na matashi ya kimwili kuwa na matamanio nikawa nimempenda nae akawa amenielewa kwa haraka kuliko nilivyofikiri.Basi tuliyaongea tukayamaliza tukapanga meeting park at home kilichoendelea hapo tulifanya mapenzi, basi kuanzia siku hiyo akawa amenogewa sana kila siku lazima aje nyumbani.

Mahusiano yetu hayo yalidumu kwa mda wa wiki mbili na siku kama tatu hivi nikawa nimeyasitisha kutokana na majukumu yangu ya kikazi kutokwenda vyema kwa sababu yake.anataka nimuache nyumban kama mke alieolewa wakati mahusiano yenyewe hayana hata mwenzi, ilinibidi nimwambie pita zako hivi tusijuane sababu nilimlipa pesa.

Baada ya kuachana nikwa namuona mitaa flani ya kujiuza ndipo nilipogundua huyu dada ni Malaya mzoefu.Miezi miwili imepita sasa ananiambia ana mimba yangu ameng'ang'ana na kutangaza mitaani kwamba mimba yangu akija nyumbani ni fujo tu ananiletea hadi naona kero kiukweli huyu Dada simpendi nilikosea tu.

Naombeni ushauri.

Samahani mkuu wakati unato..... ulikuwa unatom.... kichunguu au mtu?
 
duh aisee chalii we nouma nimekuvulia kofia aiseee..... chaliii wiki mbili unakula kavu tena unakojolea humo humo .. kudadeki lea ili siku nyingine usione kama mangi anafaidi sana au anapata faida kubwa kuuza condom
 
Mchukue mwanamke wako mlee mimba,
Hbr kua ulimkuta anajiuza c kweli, usikimbie majukumu pia jua mimba huingia kwa bao moja, haijalish mmejuana leo wala miaka kumi nyuma.
 
Afadhali ya wewe, mm mtu wangu wa moro alinipa taarifa kwamba ana ujauzito wa miezi 7. Tulkuwa tunawasiliana tu na alkuwa hasemi, kila tendo nilitumia kinga, cha ajabu akaniambia kuna siku kinga ilipasuka ila hakunijulisha, nilipata fujo nying sana tena nikiwa mwaka wa 3 nahangaika na UE pamoja research, namshukuru Mungu siku disco masomo yangu ila alichonifanyia kmenifanya niachane nae. Mtoto alifariki siku 2 baada ya kujifungua. Wanawake nina dosari nao mpaka kesho maana aliniambia akiwa na ujauzito wa miezi 6 siku zake alkuwa akipata km kawaida japo alkuwa hajui km ni mjamzito. Pumbavu wanawake!

Ukisema "Pumbavu Wanawake" una maanisha na aliyekuzaa
 
wiki mbili ni nyingi sana kuingia mimba...............labda km ulitumia ndom
 
watu bwana.... kukondomize hamtaki af mkiambiwa mimba mnarukaaaa. utavuna ulichopanda. lea mimba acha kulia lia
 
Mkuu nahisi kabisa huyo dem ashakuingiza grid ya taifa ukipima umeme usisahau kutuletea mrejesho
 
duh aisee chalii we nouma nimekuvulia kofia aiseee..... chaliii wiki mbili unakula kavu tena unakojolea humo humo .. kudadeki lea ili siku nyingine usione kama mangi anafaidi sana au anapata faida kubwa kuuza condom
sasa kama kondom zimeisha na dukan kwa bwana Mangi mbali.nitafanya nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom