Kapewa ujauzito na wengine, fujo ananiletea mimi

Kapewa ujauzito na wengine, fujo ananiletea mimi

Afadhali ya wewe, mm mtu wangu wa moro alinipa taarifa kwamba ana ujauzito wa miezi 7. Tulkuwa tunawasiliana tu na alkuwa hasemi, kila tendo nilitumia kinga, cha ajabu akaniambia kuna siku kinga ilipasuka ila hakunijulisha, nilipata fujo nying sana tena nikiwa mwaka wa 3 nahangaika na UE pamoja research, namshukuru Mungu siku disco masomo yangu ila alichonifanyia kmenifanya niachane nae. Mtoto alifariki siku 2 baada ya kujifungua. Wanawake nina dosari nao mpaka kesho maana aliniambia akiwa na ujauzito wa miezi 6 siku zake alkuwa akipata km kawaida japo alkuwa hajui km ni mjamzito. Pumbavu wanawake!
 
Afadhali ya wewe, mm mtu wangu wa moro alinipa taarifa kwamba ana ujauzito wa miezi 7. Tulkuwa tunawasiliana tu na alkuwa hasemi, kila tendo nilitumia kinga, cha ajabu akaniambia kuna siku kinga ilipasuka ila hakunijulisha, nilipata fujo nying sana tena nikiwa mwaka wa 3 nahangaika na UE pamoja research, namshukuru Mungu siku disco masomo yangu ila alichonifanyia kmenifanya niachane nae. Mtoto alifariki siku 2 baada ya kujifungua. Wanawake nina dosari nao mpaka kesho maana aliniambia akiwa na ujauzito wa miezi 6 siku zake alkuwa akipata km kawaida japo alkuwa hajui km ni mjamzito. Pumbavu wanawake!

Don't generalize ur problems kwa kutukanawanawake wote wewe fal.a! kama mpumbavu uliyekutana nae sio wote! in every general rule there is an exceptional! reasoning yako as a graduate na mpigadebe wa msamvu ni sawa!
 
Don't generalize ur problems kwa kutukanawanawake wote wewe fal.a! kama mpumbavu uliyekutana nae sio wote! in every general rule there is an exceptional! reasoning yako as a graduate na mpigadebe wa msamvu ni sawa!

Kamanda kazini..Wanyooshe
 
Don't generalize ur problems kwa kutukanawanawake wote wewe fal.a! kama mpumbavu uliyekutana nae sio wote! in every general rule there is an exceptional! reasoning yako as a graduate na mpigadebe wa msamvu ni sawa!

We mtoto mdogo sana hujapevuka bado, kama umeona ni matusi kwanini na wewe utukane?. Uko frastulated sana, km unawaamini kaa mbali na mimi.
 
kama mimba yako yeye inamuhusu nini hadi akupigie kelele mwambie kila mtu abaki na mimba yake kama yako akuachie aondoke
 
Sasa Hivi Akija Mwambie Aiache Mlangoni Mimba Yako Utaikuta Hapohapo Ukiludi Hakuna Atakaeiba
 
Siku ya Kwanza tu Unauza Mechi? Kuna Watu Hamjionei Huruma kabisaa
 
Bado mtoto huyu ananuka maziwa, mkafanyiwe maombi haraka lasivyo milembe itamhusu kabla mwaka haujaisha

Mkuu Uliposema wanawake wapumbavu ndo ulipokosea..Kosa la mtu mmoja lisifanye ukahukumu wanawake wote
 
Mkuu Uliposema wanawake wapumbavu ndo ulipokosea..Kosa la mtu mmoja lisifanye ukahukumu wanawake wote

Iltakiwa ueleze tu kwamba nimekosea, ila usirudishe baya kwa baya. Mm sipo moro, hiyo graduate niliipata 2012 npo mwanza nakula migebuka, 'upumbavu sio kosa' hata wazee km akina mkapa wanalitumia
 
Iltakiwa ueleze tu kwamba nimekosea, ila usirudishe baya kwa baya. Mm sipo moro, hiyo graduate niliipata 2012 npo mwanza nakula migebuka, 'upumbavu sio kosa' hata wazee km akina mkapa wanalitumia

Nwei labda sio tusi..Ila still sio wote wako hivyo..Nimekuelewa btw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom