BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,693
- 17,257
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Wakuu nina swali kwa mwenye ufahamu atusaidie wana jukwaa.
Tff wanatumia vigezo gani kugundua kwamba kitendo flani kilichofanyika ni cha kishirikina na kutoa adhabu kwa mujibu wa kanuni zao?
Mfano hii issue ya Simba Sc kuukataa uwanja wa Azam Complex sio imani za kishirikina? Nini kinawafanya waukatae uwanja ambao unakidhi vigezo vyote ku host match ya level yoyote?
Mpaka wanalazimika kutaka kuvunja kanuni za Tff kutaka kucheza mechi zao za nyumbani visiwani Zanzibar wakati Azam complex ipo na wenye uwanja hawajawawekea vikwazo Simba kuutumia uwanja husika, tumeona pia wakilazamika kuingia gharama kubwa kupeleka mechi Ccm Kirumba hii yote kuukwepa Azam complex.
Nauliza kama sio imani za kishorikina ni nini kingine kinapelekea haya yote kufanyika, na je kwa mujibu wa kanuni za Tff kuhusu ushirikina hawapaswi kuiadhibu Simba badala ya kuendelea kuwachekea?
Nawasilisha.
Wakuu nina swali kwa mwenye ufahamu atusaidie wana jukwaa.
Tff wanatumia vigezo gani kugundua kwamba kitendo flani kilichofanyika ni cha kishirikina na kutoa adhabu kwa mujibu wa kanuni zao?
Mfano hii issue ya Simba Sc kuukataa uwanja wa Azam Complex sio imani za kishirikina? Nini kinawafanya waukatae uwanja ambao unakidhi vigezo vyote ku host match ya level yoyote?
Mpaka wanalazimika kutaka kuvunja kanuni za Tff kutaka kucheza mechi zao za nyumbani visiwani Zanzibar wakati Azam complex ipo na wenye uwanja hawajawawekea vikwazo Simba kuutumia uwanja husika, tumeona pia wakilazamika kuingia gharama kubwa kupeleka mechi Ccm Kirumba hii yote kuukwepa Azam complex.
Nauliza kama sio imani za kishorikina ni nini kingine kinapelekea haya yote kufanyika, na je kwa mujibu wa kanuni za Tff kuhusu ushirikina hawapaswi kuiadhibu Simba badala ya kuendelea kuwachekea?
Nawasilisha.