Kanuni za CAF zinatoa unfair competition, hivyo sioni uhalali wa kulnganisha timu mbalimbali za hapa Afrika

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,028
144,382
Kanuni za CAF zinaItumika katika michezo mbalimbali inayosimamiwa na CAF, huwa naziina haziko fair na hivyo zinaondia uhalali wa kuziweka timu katika mizani moja.

Mbali na Kanuni mbalimbali zilizopo, kilichonisukuma zaidi kuandika huu uzi ni baada ya leo kuelezwa kuwa timu ambazo ni mabingwa katika ligi za nchi zaa, hupangwa kundi moja.

Kama ni kweli, unawezeje kuweka timu ambazo ni mabingwa katika kundi moja halafu baada ya mechi za makundi kwisha, timu zote unaziweka katika kapu moja kuzipambanisha ubora wao katika hatua ya makundi.?

Kingine ambacho huwa kinanishangaza na hii ligi kuitwa ligi ya mabingwa wakati baadhi ya timu sio mabingwa katika ligi wanazotoka..

Kama niko sahihi, miaka nyuma club bingwa ilishirikisha timu zile tu ambazo ni washindi katika ligi zao na washindi wa pili walioshirika katika kombe la shirikisho yaani kombo la CUF.

Najua utaratibu huu haupo Afrika tu lakini hauondoi uhalali wa kuhoji jambo hili.

Kanuni nyingine inayotoa unfair competition ni hii inaypsema kinara wa kundi kuanzia ugenini na kumalizi mechi yake ya mwisho nyumbani.

Huu utaratibu ni wazi una advantage kwa kinara wa kundi halafu mwisho wa siku timu hizi zote mnaziweka katika kapu moja kutafuta yupi ni bora kuliko mwingine.

Kinara wa kundi anaweza kuwa rewarded kwa namna nyingine lakini sio hii ya kumpa favour ya moja kwa moja kuanzia nyumbani wakati bado maahindano yanaendelea.

Kituko kingine ni hiki kinachojulikana kama best looser kupewa nafasi nyingine mfano kutoka ligi ya mabingwa na kushiriki katika kombe la shirikisho.

Bila shaka kutakuwa na sababu zilizopelekea uwepo wa hizi Kanuni ambazo zinatumiks hata sehemu nyingine duniani, lakini linapikuja swala la ushindani, favour ya aina yoyote kwa washiriki, inaondoa maana halisi ya ushindani na tathimini nzima ya kutafuta ubora wa mshiriki mmoja mmoja katika vipengeleble mbalimbali.

Baadhi ya watu kuwa na mamlaka ya kuamua mambo mbalimbali yanayotuhusu, kusituindolee uhalali wetu wa kuhoji maamuzi yao hata kama wana mamlaka ya kuamua kwa niaba yetu.

Tukumbuke ni watu hawa hawa wanaotunga hizi kanuni na baada ya muda hugundua zina mapungufu na kuzibadili lakini wakati huo zinakuwa teyari zimeshaaathiri timu mbalimbali na hata mechazaji mmoja mmoja.

Tuendelee kuhoji panapostahili.
 
Mbali na Kanuni mbalimbali zilizopo, kilichonisukuma zaidi kuandika huu uzi ni baada ya leo kuelezwa kuwa timu ambazo ni mabingwa katika ligi za nchi zaa, hupangwa kundi moja.

Naomba nifafanulie hili hapa ndio kwanza nasikia kwako hili jambo.
 
Naomba nifafanulie hili hapa ndio kwanza nasikia kwako hili jambo.
Ni kanuni za hovyo kabisa. Kama wameona washindi wa pili kwenye ligi za nyumbani wanafaa, kwanini wasiwachanganye na mabingwa wa ligi kwenye makundi?
 
hii id ni ya zamani sana nikajua basi hata mmiliki atakua ni mtu mwenye uelewa kiasi,......

aiseee so far naona imekua kinyume, na nadhani sababu ni 2,
EITHER huyu mtu alijiunga JF akiwa shule ya msingi OR ni shabiki kindakindaki wa timu za kariakoo......

hujui hata draw zinavopangwa? hujui
 
Kanuni za CAF zinaItumika katika michezo mbalimbali inayosimamiwa na CAF, huwa naziina haziko fair na hivyo zinaondia uhalali wa kuziweka timu katika mizani moja.

Mbali na Kanuni mbalimbali zilizopo, kilichonisukuma zaidi kuandika huu uzi ni baada ya leo kuelezwa kuwa timu ambazo ni mabingwa katika ligi za nchi zaa, hupangwa kundi moja.

Kama ni kweli, unawezeje kuweka timu ambazo ni mabingwa katika kundi moja halafu baada ya mechi za makundi kwisha, timu zote unaziweka katika kapu moja kuzipambanisha ubora wao katika hatua ya makundi.?

Kingine ambacho huwa kinanishangaza na hii ligi kuitwa ligi ya mabingwa wakati baadhi ya timu sio mabingwa katika ligi wanazotoka..

Kama niko sahihi, miaka nyuma club bingwa ilishirikisha timu zile tu ambazo ni washindi katika ligi zao na washindi wa pili walioshirika katika kombe la shirikisho yaani kombo la CUF.

Najua utaratibu huu haupo Afrika tu lakini hauondoi uhalali wa kuhoji jambo hili.

Kanuni nyingine inayotoa unfair competition ni hii inaypsema kinara wa kundi kuanzia ugenini na kumalizi mechi yake ya mwisho nyumbani.

Huu utaratibu ni wazi una advantage kwa kinara wa kundi halafu mwisho wa siku timu hizi zote mnaziweka katika kapu moja kutafuta yupi ni bora kuliko mwingine.

Kinara wa kundi anaweza kuwa rewarded kwa namna nyingine lakini sio hii ya kumpa favour ya moja kwa moja kuanzia nyumbani wakati bado maahindano yanaendelea.

Kituko kingine ni hiki kinachojulikana kama best looser kupewa nafasi nyingine mfano kutoka ligi ya mabingwa na kushiriki katika kombe la shirikisho.

Bila shaka kutakuwa na sababu zilizopelekea uwepo wa hizi Kanuni ambazo zinatumiks hata sehemu nyingine duniani, lakini linapikuja swala la ushindani, favour ya aina yoyote kwa washiriki, inaondoa maana halisi ya ushindani na tathimini nzima ya kutafuta ubora wa mshiriki mmoja mmoja katika vipengeleble mbalimbali.

Baadhi ya watu kuwa na mamlaka ya kuamua mambo mbalimbali yanayotuhusu, kusituindolee uhalali wetu wa kuhoji maamuzi yao hata kama wana mamlaka ya kuamua kwa niaba yetu.

Tukumbuke ni watu hawa hawa wanaotunga hizi kanuni na baada ya muda hugundua zina mapungufu na kuzibadili lakini wakati huo zinakuwa teyari zimeshaaathiri timu mbalimbali na hata mechazaji mmoja mmoja.

Tuendelee kuhoji panapostahili.
Mimi natkujibu kwa Sentensi moja, ambayo ina majibu yako yoooteee!


"Ukitaka kuwa Bingwa lazima Upambane na Mabingwa"
 
hii id ni ya zamani sana nikajua basi hata mmiliki atakua ni mtu mwenye uelewa kiasi,......

aiseee so far naona imekua kinyume, na nadhani sababu ni 2,
EITHER huyu mtu alijiunga JF akiwa shule ya msingi OR ni shabiki kindakindaki wa timu za kariakoo......

hujui hata draw zinavopangwa? hujui
Acha kukurupka. Draw huwa zinafabyika live ila huongozwa na Kanuni. Mfano, ni mshindi wa kundi A kukutanishwa na mshindi wa pili katika makundi mengine. Hapo cha kwanza ni Kanuni then droo ndio inachezwa kwa kuzingqtia hizo Kanuni.

Leo nilihoji ilikwaje kuna la Yanga likawa na mabingwa watupu? Mdau mmoja akajibu ni kutokana na Kanuni zilivyo nikabaki nashangaa na hapa ndio nimeuliza kuhusu hilo kwasbabu sina uhakika na alichosema.

Halafu wewe katika mada nzima uneona hoja ni hiyo tu.
 
Hapa upo sawa. SIMBA hatakiwi kuwa CAFCL.
Sema kwenye upangaji wa makundi hauna taarifa sahihi.
Nafahamu mengi kuanzia hatua ya mtoano mpaka kuingia kwenye makundi. Tena umenikumbusha kitu kingine ambacho ni kutoa favour kwa timu iliyoko katika rank fulani kutoanza hatua za awali kisa tu rekoddi za ubora.
 
CAF hawapangi mabigwa kundi moja kama ulivyoelezwa bali wanapanga makundi kwa pot ambapo mapoti yako manne ili timu iwe pot flani kinachoangaliwa na alama timu ilizokusanya kwa kushiriki michuano inayoandaliwa na CAE kilichotoke kwa yanga ni kwamba AL ahaly yuko pot 1 (A) Belouzdad pot 2 (B) Yanga pot 3 (C) na Medeama pot 4 (D) hvyo drow ilipochezeshwa ndo timu zilizochaguliwa kuunda kundi lao angeweza chaguliwa yeyote kwa kadri ya hizo pot na huu utaratibu unafanyika duniani kote angalia draw za UEFA
Note: inafanyika hvyo kulinda ubora wa michuano fikiria makundi zikawekawa timu zenye daraja sawa zikitoka maana ake utaenda kupata fainal ya timu zisizo na ubora ambazo hazita aksi ubora wa team shiriki na michuano kwa ujumla
 
hii ligi kuitwa ligi ya mabingwa wakati baadhi ya timu sio mabingwa katika ligi wanazotoka..
Wenye mpira wao wanasemaje???

The UEFA Champions League is UEFA's elite club competition with top clubs across the continent playing for the right to be crowned European champions.



Hawa ni CAF:


The Confederation of African Football shall organise a yearly competition called «The CAFChampions League», open to champion clubs of the National League of AffiliatedAssociations. The winner of CAF Champions League must take part in the next edition.



The 12 countries obtaining the best results in the clubs competitions during the previous fiveyears will be allowed to register a second team, namely the runner-up of the national league.According to the conditions defined in the present regulations.


Kuliko kukosoa ni bora ungetoa ushauri nini kifanyike, mimi naona kila siku wanapiga hatua kwa kuwaangalia wenye mpira wao huko duniani wanafanyaje!
Kituko kingine ni hiki kinachojulikana kama best looser kupewa nafasi nyingine mfano kutoka ligi ya mabingwa na kushiriki katika kombe la shirikisho.
Msimu huu ulikiona hiki kitu???
 
CAF hawapangi mabigwa kundi moja kama ulivyoelezwa bali wanapanga makundi kwa pot ambapo mapoti yako manne ili timu iwe pot flani kinachoangaliwa na alama timu ilizokusanya kwa kushiriki michuano inayoandaliwa na CAE kilichotoke kwa yanga ni kwamba AL ahaly yuko pot 1 (A) Belouzdad pot 2 (B) Yanga pot 3 (C) na Medeama pot 4 (D) hvyo drow ilipochezeshwa ndo timu zilizochaguliwa kuunda kundi lao angeweza chaguliwa yeyote kwa kadri ya hizo pot na huu utaratibu unafanyika duniani kote angalia draw za UEFA
Note: inafanyika hvyo kulinda ubora wa michuano fikiria makundi zikawekawa timu zenye daraja sawa zikitoka maana ake utaenda kupata fainal ya timu zisizo na ubora ambazo hazita aksi ubora wa team shiriki na michuano kwa ujumla
CAF hawapangi mabigwa kundi moja kama ulivyoelezwa bali wanapanga makundi kwa pot ambapo mapoti yako manne ili timu iwe pot flani kinachoangaliwa na alama timu ilizokusanya kwa kushiriki michuano inayoandaliwa na CAE kilichotoke kwa yanga ni kwamba AL ahaly yuko pot 1 (A) Belouzdad pot 2 (B) Yanga pot 3 (C) na Medeama pot 4 (D) hvyo drow ilipochezeshwa ndo timu zilizochaguliwa kuunda kundi lao angeweza chaguliwa yeyote kwa kadri ya hizo pot na huu utaratibu unafanyika duniani kote angalia draw za UEFA
Note: inafanyika hvyo kulinda ubora wa michuano fikiria makundi zikawekawa timu zenye daraja sawa zikitoka maana ake utaenda kupata fainal ya timu zisizo na ubora ambazo hazita aksi ubora wa team shiriki na michuano kwa ujumla
Uko sahihi kabisa na hizi droo huwa zinafanyika live na mimi nimewahi shuhudia.

Leo ofisini kuna shabiki wa Simba kanieleze kundi la Yanga lilipangwa hivyo kwa mabingwa kukiutainshwa nikashangaa na ndio maana nilitumia maneno "kama ni kweli," kwasbabu nilikuwa na mashaka ila kwasbabu sikufuatilia, sikutaka kumbishia.
 
Nafahamu mengi kuanzia hatua ya mtoano mpaka kuingia kwenye makundi. Tena umenikumbusha kitu kingine ambacho ni kutoa favour kwa timu iliyoko katika rank fulani kutoanza hatua za awali kisa tu rekoddi za ubora.
Hivi siyo kama UEFA CL tu?
 
Back
Top Bottom