Timu bora huanza kujichuja kuanzia hatua ya Robo Fainali

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,027
144,382
Huu ndio ukweli kwani humu katika makundi na kufuzu kuingia hatua ya makundi, huwa kuna timu dhaifu sana kutegemea na ligi yao na pia kwa kanuni za siku hiz,i wanaoshiriki sio wote ni mabingwa katika ligi zao bali ni utaratibu tu wa siku hizi unawabeba tofauti na zamani.

Hivyo, kuanzia hatua ya robo fainali, ndio timu bora hujichuja yaani makapi na mchele kila kimoja kinachukua uelekeo wake.

Kama umefuzu kutokana udhaifu wa timu ulizokutananazo, basi katika hatua ya robo fainali,. unaweza kula hata bao 5 usipokuwa makini.

Yanga na Simba hongereni kwa hatua hii, ila kipimo sahihi ni hatua inayofuata na ndio itafanya mmoja amuheshimu mwenzake

Nina imani zaidi na timu moja katika hatua inayofuata.
 
Huu ndio ukweli kwani humu katika makundi na kufuzu kuingia hatua ya makundi, huwa kuna timu dhaifu sana kutegemea na ligi yao na pia kwa kanuni za siku hiz,i wanaoshiriki sio wote ni mabingwa katika ligi zao bali ni utaratibu tu wa siku hizi unawabeba tofauti na zamani.

Hivyo, kuanzia hatua ya Robo fainali, ndio timu bora hujichuja yaani makapi na mchele kila kimoja kinachukua uelekeo wake.

Kama umefuzu kutokana udhaifu wa timu ulizokutananazo, basi katika hatua ya robo fainali,. unaweza kula hata bao 5 usipokuwa makini.

Yanga na Simba hongereni kwa hatua hii, ila kipimo sahihi ni hatua inayofuata na ndio itafanya mmoja amuheshimu mwenzake

Nina imani zaidi na timu moja katika hatua inayofuata.
Umechambua vizuri umemaliza kishabiki
 
Huu ndio ukweli kwani humu katika makundi na kufuzu kuingia hatua ya makundi, huwa kuna timu dhaifu sana kutegemea na ligi yao na pia kwa kanuni za siku hiz,i wanaoshiriki sio wote ni mabingwa katika ligi zao bali ni utaratibu tu wa siku hizi unawabeba tofauti na zamani.

Hivyo, kuanzia hatua ya robo fainali, ndio timu bora hujichuja yaani makapi na mchele kila kimoja kinachukua uelekeo wake.

Kama umefuzu kutokana udhaifu wa timu ulizokutananazo, basi katika hatua ya robo fainali,. unaweza kula hata bao 5 usipokuwa makini.

Yanga na Simba hongereni kwa hatua hii, ila kipimo sahihi ni hatua inayofuata na ndio itafanya mmoja amuheshimu mwenzake

Nina imani zaidi na timu moja katika hatua inayofuata.

We utopolo Simba ilishacheza fainali 93, iliwahi kucheza nusu fainali 74 achilia mbali hizi robo fainali za karibuni.

Ulishawahi kuipa heshima zaidi ya kuibeza? Kwa taarifa yako hata Yanga akienda nusu fainali bado hana cha kujipiga kifua mbele ya Simba.

Kisa mmeingia robo basi mnataka kujiona mnalingana na Simba.
 
We utopolo Simba ilishacheza fainali 93, iliwahi kucheza nusu fainali 74 achilia mbali hizi robo fainali za karibuni.

Ulishawahi kuipa heshima zaidi ya kuibeza? Kwa taarifa yako hata Yanga akienda nusu fainali bado hana cha kujipiga kifua mbele ya Simba.

Kisa mmeingia robo basi mnataka kujiona mnalingana na Simba.
Hiyo ya 93 ilikuwa ni club bingwa? Pole sana.
 
Mkuu rudi jukwaa lako pambana na waizi wa sukari huku kwingine iko mweupe kichwani
 
Timu usiyoipenda ikifika nusu fainali bado utakuja hapa jukwaani na kanga yako moko iliyolowa maji ukisema huu ujinga wako tena
 
We utopolo Simba ilishacheza fainali 93, iliwahi kucheza nusu fainali 74 achilia mbali hizi robo fainali za karibuni.

Ulishawahi kuipa heshima zaidi ya kuibeza? Kwa taarifa yako hata Yanga akienda nusu fainali bado hana cha kujipiga kifua mbele ya Simba.

Kisa mmeingia robo basi mnataka kujiona mnalingana na Simba.
mbona unaogopa mapema hivi Yanga fc kuingia nusu fainali?
 
Back
Top Bottom