Kanuni ya mfungaji bora wa ligi kuu NBC inasemaje? Tuwekeeni vifungu

Kiuhalisia wote wana deserve kupata zawadi sawa ya top scorer
Ukisema baada ya kulingana magoli ndipo uangalie magoli ya penalty Je ingelikua Mayele hajafunga goli leo si angesalia na magoli 16 akiwa nyuma ya Ntibazonkiza kwa goli moja.. naam hiyo tofauti ingemfanya antibiotic kuwa kinara lakin ndani yake magoli hayo hayo ya penalty yangekua yamempa favour

TFF/ Bodi ya ligi hapa wasigeuze watu hawana akili
 
Kiuhalisia wote wana deserve kupata zawadi sawa ya top scorer
Ukisema baada ya kulingana magoli ndipo uangalie magoli ya penalty Je ingelikua Mayele hajafunga goli leo si angesalia na magoli 16 akiwa nyuma ya Ntibazonkiza kwa goli moja.. naam hiyo tofauti ingemfanya antibiotic kuwa kinara lakin ndani yake magoli hayo hayo ya penalty yangekua yamempa favour

TFF/ Bodi ya ligi hapa wasigeuze watu hawana akili
Kama kuna kipengele cha magoli ya penalty ni dhaifu basi safari ni ndefu sana.
Maelezo yako yanaprove kuwa ubongo wako uko very smart. Kongole mkuu.
 
Mayele anatia huruma ili aweze ku share kiatu mfalme wa Bujumbura
Mayele hata 2022 TFF ilimuonea kwa Marefa kumnyima magoli mengi tu kwa kigezo cha offsides za michongo ilihali yalikuwa magoli halali kabisa ya kumpatia tuzo ya mfungaji bora.

2023 watamuonea aibu au la sivyo wakaze mafuvu tu maana hata tuzo ya mchezaji bora naamini inamuhusu Mayele.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kama kuna kipengele cha magoli ya penalty ni dhaifu basi safari ni ndefu sana.
Maelezo yako yanaprove kuwa ubongo wako uko very smart. Kongole mkuu.

Kupunguza migogoro na mijadala isiyo na mantiki kila mmoja apewe zawadi yake
Kama magoli ya penalty sio magoli basi yasiwe yanahesabika katika kuonyesha idadi nani anaongoza katika ufungaji
 
Hivi kwanini Bongo tunaishi kama gari bovu. Ada za usajili za wachezaji haziwekwi wazi, hata malipo viwanjani nayo magumashi kibao.

Haya tuwekeeni hapa kifungu cha kanuni ya bodi ya ligi kuhusu mfungaji bora.

Ahsanteni.
Soma Hiyo,
Screenshot_20230609-214511.jpg
 
Kabla ya kila msimu board ya Liki hutoa Kanuni zitakazotumika msimu huo wa ligi. Zisipobadilika it's okay, ila swali langu ni je, kanuni za msimu huu zinasemaje?
Wamesema kamati ya TFF na bodi ya league wataenda kukaa kuamua nani anastahili kiatu hicho.
 
Kiuhalisia wote wana deserve kupata zawadi sawa ya top scorer
Ukisema baada ya kulingana magoli ndipo uangalie magoli ya penalty Je ingelikua Mayele hajafunga goli leo si angesalia na magoli 16 akiwa nyuma ya Ntibazonkiza kwa goli moja.. naam hiyo tofauti ingemfanya antibiotic kuwa kinara lakin ndani yake magoli hayo hayo ya penalty yangekua yamempa favour

TFF/ Bodi ya ligi hapa wasigeuze watu hawana akili
Huyo mayele kuna penalty alipewaa alikosa, kwan kila penalty inakua goal, si ufundi waa mpigaji lol
 
Mayele hata 2022 TFF ilimuonea kwa Marefa kumnyima magoli mengi tu kwa kigezo cha offsides za michongo ilihali yalikuwa magoli halali kabisa ya kumpatia tuzo ya mfungaji bora.

2023 watamuonea aibu au la sivyo wakaze mafuvu tu maana hata tuzo ya mchezaji bora naamini inamuhusu Mayele.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na mie nilicho kiona kat ya Saidoo na mayele watagawana tuzo, m1 atachukua uchezaji bora, mwingne mfungaji bora.
 
Wamesema kamati ya TFF na bodi ya league wataenda kukaa kuamua nani anastahili kiatu hicho.
Dah!! Nilidhani wanakwenda kupitia ksnuni, kumbe wanaenda kuamua anayestahili?
Leo nimelazimika kupitia kanuni zote za ligi kwa msimu wa 2022/2023, sijaona popote wamezungumzia kuhusu Mfungaji bora. Hayo maamuzi ya kuamua mshindi ni lazima wakarushe shilingi huko😃
 
Back
Top Bottom