Kanisa lamuandalia tuzo Lowassa

Kanisa lamuandalia tuzo Lowassa

.
Kuna kanisa moja tu Katoliki la mitume.
Kuna neno limemisi, "Kanisa ni Moja Tuu, Takatifu Katoliki La Mitume!'.

Alianza TB Joshua, sasa yanafuatia makanisa haya madogo madogo, itafuatia misikiti, the by 2014 lifuatia Anglican, Mid 2015 Lutheran, October, 2015 ndipo itakuwa zamu ya lile Kanisa ni Moja Tuu, Takatifu Katoliki La Mitume!.
Japo yeye ni sauti tuu ya mtu aliye nyikani, Mungu Baba ataudhihirisha utukufu wake kupitia kwayo, kwa "jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na litatimie lile neno "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu nitalijenga taifa langu!".
Kwa wale ambao ni wabishi kuliko Tomaso wakidhani kuna mambo ambayo hayawezekani!, nawahakikishia "nothing is impossible under the sun!" na "lisilowezekana kwa binadamu, kwa Mungu, linawezekana!".
Pasco.
 
Kuna kanisa moja tu Katoliki la mitume.Ukiniuliza kwanini tembelea kanuni ya imani ambayo madhehebu yote yakikristu hukiri.Kwa maana nyingine hao wanaprotest agaist the church(Catholic) though kwenye kanunu zao za imani wanasadiki kwa kanisa Katoliko(Catholic)kwa maneno.

Mkuu,

Hiyo teolojia ya wapi. Kanisa ni Christo Yesu, wamwaminio wote uwa kiungo kimoja-hawa wanaweza tokea madhebu yote.

Mod naheshimu utaratibu wenu wa ki-forum, lakini kwakuwa mmeruhusu mijadara ya kidini hapa-imenipasa.f
 
.
Kuna neno limemisi, "Kanisa ni Moja Tuu, Takatifu Katoliki La Mitume!'.

Alianza TB Joshua, sasa yanafuatia makanisa haya madogo madogo, itafuatia misikiti, the by 2014 lifuatia Anglican, Mid 2015 Lutheran, October, 2015 ndipo itakuwa zamu ya lile Kanisa ni Moja Tuu, Takatifu Katoliki La Mitume!.
Japo yeye ni sauti tuu ya mtu aliye nyikani, Mungu Baba ataudhihirisha utukufu wake kupitia kwayo, kwa "jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na litatimie lile neno "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu nitalijenga taifa langu!".
Kwa wale ambao ni wabishi kuliko Tomaso wakidhani kuna mambo ambayo hayawezekani!, nawahakikishia "nothing is impossible under the sun!" na "lisilowezekana kwa binadamu, kwa Mungu, linawezekana!".
Pasco.

Mkuu Pasco, kwa hali tuliyonayo sasa hivi tunahitaji mtu kama huyu, hilo wala halina ubishi.
 
Usichokijua nini? nilitaka kuvunja mkataba ukanikataza ! ukasema unasubiri ushauri wa makatibu wakuu,hawa watoto wadogo wananitukana zaidi ya miezi 7 wanazunguka nchi nzima,sasa ndio mumegundua kufwata sheria na kanuni?MKAPA akatikisakichwa(kukubali).chezea Lowasa wewe.
 
KANISA la Overcomers lililopo mkoani Iringa, limeandaa tuzo maalumu kwa ajili ya kumtunuku Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, kutokana na mchango wake alioutoa katika jamii.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Askofu Mkuu wa kanisa hilo, Dk. Boaz Sollo, alisema jamii ya wakazi wa Mkoa wa Iringa inatambua mchango wa Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli.

Dk. Sollo alisema kuwa tuzo hiyo itampa moyo wa kuendelea kushiriki zaidi katika shughuli mbalimbali za kijamii sambamba na kuiendeleza injili kama ambavyo amekuwa akifanya.

"Hii tuzo itamuongezea ujasiri wa kujituma katika kuisaidia jamii, sambamba na kuchangia ujenzi wa makanisa katika mikoa mbalimbali bila kujali wanaomkatisha tamaa ili kumrudisha nyuma.

"Tumeandaa tuzo maalumu kwa ajili ya kiongozi huyu ambaye haipiti wiki moja anasikika akifanya kazi za kijamii, habagui, hachagui na wala hana upendeleo," alisema Dk. Sollo.

Aliongeza kuwa tangu alipojiuzulu uwaziri mkuu, hajawahi kuutembelea mkoa huo jambo linalowafanya wakazi wa mkoa huo kuwa na hamu ya kumuona kutokana na jitihada zake za kujihusisha katika masuala ya kijamii.

Alisema tuzo hiyo itatolewa mwezi ujao wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa hilo na kituo cha redio ya dini ya Overcomers, ambayo ni maarufu kwa mikoa ya kusini.

Wakizungumza na MTANZANIA kuhusu tuzo hiyo, baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Iringa wamelipongeza kanisa hilo kwa kuandaa tuzo maalumu kwa ajili ya kutambua mchango wa kiongozi huyo.

CHANZO: Mtanzania
...Tafadhali tupe ufafanuzi wa mkanganyiko huo kwenye red.
By the way nasikia tumeshaanza kuwalipa bilioni zao za DOWANS/RICHMOND.- Nadhani accounti yake itakuwa imetulia kwa sasa, kwa hiyo misikiti na makanisa ya waroho mkae mkao wa kula.
 
Usichokijua nini? nilitaka kuvunja mkataba ukanikataza ! ukasema unasubiri ushauri wa makatibu wakuu,hawa watoto wadogo wananitukana zaidi ya miezi 7 wanazunguka nchi nzima,sasa ndio mumegundua kufwata sheria na kanuni?MKAPA akatikisakichwa(kukubali).chezea Lowasa wewe.
alikaa kimya na leo tunawalipa mabilioni ambayo bila shaka ndiyo anayotamba nayo makanisani na misikitini. Angekuwa na mapenzi na watanzania angeelezea umma dili zima la RICHMOND na wahusika wake ili umma uwaadhibu.
 
Kwa nchi kama Tanzania kila kitu kinawezekana! Tusubiri kanisa moja litajitokeza na kumtangaza Lowassa ni Mtakatifu!
 
KANISA la Overcomers lililopo mkoani Iringa, limeandaa tuzo maalumu kwa ajili ya kumtunuku Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, kutokana na mchango wake alioutoa katika jamii.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Askofu Mkuu wa kanisa hilo, Dk. Boaz Sollo, alisema jamii ya wakazi wa Mkoa wa Iringa inatambua mchango wa Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli.

Dk. Sollo alisema kuwa tuzo hiyo itampa moyo wa kuendelea kushiriki zaidi katika shughuli mbalimbali za kijamii sambamba na kuiendeleza injili kama ambavyo amekuwa akifanya.

“Hii tuzo itamuongezea ujasiri wa kujituma katika kuisaidia jamii, sambamba na kuchangia ujenzi wa makanisa katika mikoa mbalimbali bila kujali wanaomkatisha tamaa ili kumrudisha nyuma.

“Tumeandaa tuzo maalumu kwa ajili ya kiongozi huyu ambaye haipiti wiki moja anasikika akifanya kazi za kijamii, habagui, hachagui na wala hana upendeleo,” alisema Dk. Sollo.

Aliongeza kuwa tangu alipojiuzulu uwaziri mkuu, hajawahi kuutembelea mkoa huo jambo linalowafanya wakazi wa mkoa huo kuwa na hamu ya kumuona kutokana na jitihada zake za kujihusisha katika masuala ya kijamii.

Alisema tuzo hiyo itatolewa mwezi ujao wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa hilo na kituo cha redio ya dini ya Overcomers, ambayo ni maarufu kwa mikoa ya kusini.

Wakizungumza na MTANZANIA kuhusu tuzo hiyo, baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Iringa wamelipongeza kanisa hilo kwa kuandaa tuzo maalumu kwa ajili ya kutambua mchango wa kiongozi huyo.

CHANZO: Mtanzania

Kumbe chanzo Mtanzania.
 
Hahaha Chadema wananiacha hoi, Lowasa huyu huyu ndiye aliyekuwa kwenye list of shame ya Dr Slaa jana nasoma kwamba Chadema wamkubali Lowasa!! Sijui upinzani wa kweli utakuja lini Tz.
 
kuna tofauti gani kati ya kanisa na dhehebu???


:yo:Kibiblia, kanisa ni mkusanyiko wa watu wenye imani moja, yaani, inayomkiri Yesu Kristo na ambao wameokoka na wanakwenda mbinguni. Dhehebu nii sub-set ya kanisa. Hao wanaompa tuzo siyo kanisa bali ni hilo dhehebu husika. Kama amewafurahisha, acha wamtuze. :yo:
 
Ni Bora tuwe na Rais mwenye maamuzi magumu Rowassa hata kama ni fisadi kuliko kuwa na Raisi kilaza muoga asie na maamuzi na fisadi yeye na ukoo wote wanaitumia Ikulu kujinufaisha na kutaka kuwaachia Uraisi ndugu zake na ukoo wake.Lowassa is a greater kumbuka City water,mifugo na maji na shule za kata,njaa maeneo ya same/mwanga kunamkurugenzi alitema kazi kwa kuchelewesha chakula cha msaada.Lowassa for president 2015.
 
El hamia misikitini sasa kwa kuchangisha fedha kwa ajili ya hospital ya kisasa ya waislam!ili upate kura kila upande
 
Baadhi ya viongozi wa makanisa njaa inawatesa. Vile vujisenti EL anavyochangia huwashawishi sana. Epukeni laana!!
 
Before I say whats on my mind, let me note something first: Im not affiliated with any religion though I do believe in a Supreme Being ie God, Allah, whatever name you wanna call him.

With that stated, let me condemn this news and wish everybody joins me in this respect.

Imagine an Imam awarding a respected muslim figure of the government, what would the reactions be?

Lets not be hypocrites people, this is bad news and further prolonging the religious division in the country.

everyone needs to learn about the separation of power( govt) and the religious institutions.

Lowassa should not accept this award. Its not beneficial to him and the country in general, and the church needs to be warned about giving stupid awards..

the above statement applies to every religious institution.
 
Njaa za makanisa zinawafanya watapetape sana. Tuendako watatufanya tuone mambo ya kiimani ni usanii mtupu. Twendeni tu.
 
Asante. Yaani Yesu nadhani anajishangaa huko alipo manake sasa kanisa limekuwa kitu tofauti kabisa na kazi aliyotumwaga yeye duniani. Kanisa imekuwa biashara na mahala pa kuganga njaa. Im feel so ashamed! Nilifurahi sana bishop dr malasusa hakumualika lowassa wala maselebriti wengine kwenye kuchangia marekebisho ya kanisa lililochomwa mbagala.
Pamoja shem king'asi.
 
Back
Top Bottom