Kanisa lamuandalia tuzo Lowassa

Kanisa lamuandalia tuzo Lowassa

Badala ya kutumia

KANISA LAMUANDALIA TUZO LOWASSA

ungetumia

DHEHEBU LA OVERCOMES LAMUANDLIA TUZO LOWASSA

ili kuondoa utata kwamba tuzo hiyo ni ya kanisa kwa maana ya wakristo wote.

hajakosea, wee ndo ulitakiwa kuifuatilia habari hiyo content yake! sasa kama unataka uchangie mawazo yako bila kuisoma hilo ni tatizo mkuu!
 
Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa
eti nini? kastaafu? labda alistaafu uwaziri mkuu wa KUZIMU sisi tunacho fahamu ni FISADI na KAJIUZULU uwaziri mkuu Tanzania. vinginevyo yeyote anayemwita lowasa mstaafu atakuwa anatumika na mafisadi na yeye pia atakuwa fisadi tu!!
 
mwaka 2015 patachimbika lowasa(lutheran),slaa(katoliki)..lipumba(islam) sasa ivi kila mtanzania achague mtu wa dini na dhehebu lake tuone nani atakuwa mshindi

Ofikapo 2015 ni watoto wa mama mkubwa vs watoto wa mama mdogo, full stop!
 
Hili kanisa ni la nani manake siku hizi makanisa mengine ni biashara
 
mwaka 2015 patachimbika lowasa(lutheran),slaa(katoliki)..lipumba(islam) sasa ivi kila mtanzania achague mtu wa dini na dhehebu lake tuone nani atakuwa mshindi

Je kwa wasabato ambao huwa awana makuu na mtu na wala huwa awajihusishi na mambo ya siasa ?
 
Back
Top Bottom