Kanisa lamuandalia tuzo Lowassa

Kanisa lamuandalia tuzo Lowassa

Huu ujasiriamali wa kiroho huu.
ujinga mtupu si na wewe uufanye, msiwe mnabeza mambo mazuri kisa upo CHADEMA. BABA BABA BABA MZAZI E.L endelea na kasi kusanya tuza gawa mapesa mzee wangu, wapige noti mpaka roho zao zaitakasike. halafu we ben saatisa to mawazo yako mgando na mawazo yako ya kimaskini.
 
Pengo andaa tuzo kwa Wilbroad Slaa na Chadema kwa ujumla,malasusa andaa tuzo kama hizo kwa hao makamanda na matuzo mengimengi wapewe wanasiasa wakikristo ili tupumue maana kila akikaa wa dini fulani hivi malalamiko kuanzia kwa rais mpaka kumbi za kelele haziishi...Ni democrasia tu ila kidini zaidi maana mmetutuma hatukutaka na hatukuwahi kuupenda lakini kwa yanayotokea kwa kukalia kiti dini fulani tumejua ni hatari kwa taifa na ni jambo la kujilaumu sana kuchagua hawa jamaa

Mkuu ni dhahili hauifahamu vizuri Roman catholic na haujui inavyofanya kazi zake; Kwa kukusaidia kasome historia ya Roman catholic ndo urejee kwenye mjadala.
 
Kabla ya kupata maamuzi ni nani mafisadi wanamsimamisha katika kiti cha Urais tutakuwa tumesikia na kuona mengi nawaambia!

ETI WAMEMWANDALIA TUZO!
 
Huu ujasiriamali wa kiroho huu.

Hakuna cha ujasiliamali wa kiroho. ni ujasiriamali wa wachungaji wa mishahara harambe zote wanazo zifanya hazina baraka kwa MNGU.kutoa kwa kujitangaza ilikuwa tabia ya MAFARISAYO
 
Hilo lazima ni KANISA LINALOONGOZWA NA PEPO/SHETANI; Lowasa tuzo? Au mwingine sio ninaemjua mimi MWIZI, FISADI, MZANDIKI, MWENYE VISASA NA ASIWE PENDA WENZAKE WAISHI HAPA DUNIANI...
 
Tina

ningekuwa nakufahamu ningeleta mahari, potelea mbali hata kama ungenitosa. siamini kuwa wewe tina ndo ulioandika ukweli na kuwa consistence kuanzia mwanzo hadi hapa tulipo. Again thanks tina for this. najua wakisoma hapa wataona aibu na siajabu hamna hata mtu mmoja atakaequote katika kuchangia kwa sababu umehit kwenye core.
 
Last edited by a moderator:
Misikiti iandae tuzo kwa Hamin Mulungu a.k.a Philipo Mulugo.

mkuu najua umesukumwa na jina la hamimu, huyo pia ni mkiristo mwenzako. soma kuna habari humu JF kuwa philipo ni jina la ubatizo. au ulikuwa na maana gani? unaruhusiwa kuspin na kufanya u-turn.
 
Fimbo kali kwa viongozi wa dini ambao ni wanafiki Mungu kaishikilia......kwani hamjui ya kwamba kuna masikini anetoa sadaka ndogo ya Tsh50 lakini ndio ina thawabu kwa Mungu kuliko mamilioni Yasio ya halali? Hata mtu atoae 50 nae apewe tuzo.....msiharubu vifungu vya maandiko matakatifu kwasababu sisi tutageuka mafuvu ya Oldupai Gorge lakini maandiko Hayatapita kamwe!
 
Ahsante sana Mkuu Tina...usijichimbie kupita kiasi michango yako iliyojaa hekima na busara inahitajika hapa jamvini.

Tutakimbilia Burundi, Rwanda, Uganda na Kenya kutafuta hifadhi, maana wao wameshaonja joto ya uvunjifu wa amani kutokana na uroho wa madaraka wa watu kama Lowassa ambaye kwake URAISI ni kwa gharama yoyote ile na saa hizi watu wameshapofuka macho na kusahau kila kitu hata wale waliokua humu JF wakimshambulia kwa maneno makali, ambayo sasa wanaona hata aibu kuyatamka maana wanaona watakumbushia f_s_di mkuu na watapoteza ulaji.

Kwa sasa nyumba za ibada peleka tu minoti hakuna atayehoji ulipataje. Sasa hivi nyaraka za viongozi wa dini za 2010 zilizokua zinazungumzia ufisadi hazipo tena na badala yake zinaibuka kauli na matamko kusema mambo ya jumla jumla na yanayotokana na mikakati mipya inayotengenezwa kutusahaulisha ufisadi waliokua wanauimba. Mwenye macho haambiwi tizama.
 
Asante. Yaani Yesu nadhani anajishangaa huko alipo manake sasa kanisa limekuwa kitu tofauti kabisa na kazi aliyotumwaga yeye duniani. Kanisa imekuwa biashara na mahala pa kuganga njaa. Im feel so ashamed! Nilifurahi sana bishop dr malasusa hakumualika lowassa wala maselebriti wengine kwenye kuchangia marekebisho ya kanisa lililochomwa mbagala.
Badala ya kutumia

KANISA LAMUANDALIA TUZO LOWASSA

ungetumia

DHEHEBU LA OVERCOMES LAMUANDLIA TUZO LOWASSA

ili kuondoa utata kwamba tuzo hiyo ni ya kanisa kwa maana ya wakristo wote.
 
Huu ujasiriamali wa kiroho huu.
wewe mwenyewe "mjasiriamali" ... haiwezekani chama chako "makini" kinavyo piga kelele kujiuzulu kwa viongozi wakubwa serikalini kwa makosa madogo lakini wewe na mauza uza yako ndani ya CDM hujajiuzulu wala "kutimuliwa"
 
Kuna kanisa moja tu Katoliki la mitume.Ukiniuliza kwanini tembelea kanuni ya imani ambayo madhehebu yote yakikristu hukiri.Kwa maana nyingine hao wanaprotest agaist the church(Catholic) though kwenye kanunu zao za imani wanasadiki kwa kanisa Katoliko(Catholic)kwa maneno.

Labda ungeanzisha mada hii kwenye jukwaa la dini tungeijadili vyema. Kimsingi kanisa pale linapofuata misingi inayomkiri Kristo, taratibu za ibada na maadili yake. Taratibu nyingine nyingi ni za kibinadamu zilizopelekea kuibuka kwa madhehebu tofauti.

Catholicism is a broad term for describing specific traditions in the Christian churches in theology and doctrine, liturgy, ethics and spirituality.


For many (Ukiwemo wewe) the term usually refers to Christians and churches, western and eastern, in full communion with the Holy See, usually known as the Catholic Church or the Roman Catholic Church
 
Siyo wakazi wa jamii ya iringa sema Boaz ZOLLO amuandalia tuzo edward lowasa
 
Badala ya kutumia

KANISA LAMUANDALIA TUZO LOWASSA

ungetumia

DHEHEBU LA OVERCOMES LAMUANDLIA TUZO LOWASSA

ili kuondoa utata kwamba tuzo hiyo ni ya kanisa kwa maana ya wakristo wote.

Sio kosa langu kwani hiyo ndio heading kwenye gazeti lenyewe.
 
Back
Top Bottom