ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,438
- 11,331
Narudia tena sio jukumu la kiongozi wa dini kumpangia kiongozi wa kisiasaRoho zinaishi kwenye miili.
Sasa mbona wanahitaji mambo ya mwili kama zaka na sadaka kama lengo ni kiroho?
aendesheje siasa zake.
Nashangaa viongozi wa dini wanapata wapi muda wa kurumbana na wana siasa hali ya kuwa waumini wao wanafanya mambo ya hovyo mitaani.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app