Bigjahman
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 911
- 523
Kanisa katoliki jimbo kuu la Moshi pamoja na shule yake ya sekondari Marangu bila aibu wala hofu ya Mungu wamuhubiriaye maana hi ni taasisi ya kidini wamemnyang'anya mjane shamba aliloachiwa na marehemu doctor Geovan Balletto.
Shamba hilo ambalo lina liz lipo jirani kabisa na shule ya Marangu inayomilikiwa na kanisa Katoliki, limekuwa likikaliwa na marehemu na familia yake na baada ya kifo chake mnamo 1972 alimuacha hapo mjane na mtoto wao.
Ndani ya shamba hilo kulikuwa na hospitali ambapo doctor huyo aliyekuwa mzungu raia wa Italy alikuwa akiwatibu na kuwasaidia sana wanakijiji wa Marangu na vijiji vya karibu akisaidiana na mjane huyu ambaye alikuwa nesi.
Pia kulikuwa na mazao pamoja na miti mingi na nyumba kubwa ya kuishi ambayo mpaka leo familia inaishi hapo,bila haya kanisa na taasisi yake bila ruhusa ya mjane huyo waliingiingia kwa nguvu kwenye shamba hilo na kukata miti mingi tuu na kujenga kisima.
Waliharibu mazao na kutandaza mabomba ya kupeleka maji shuleni kwao,kana kwamba hiyo haitoshi kanisa lilijitwalia eneo la ekari tatu hivi na kuanza ujenzi,mjane huyo alipouliza aliwekwa ndani kituo cha polisi HIMO.
Imekuwa kawaida kila hila na uonevu dhidi ya mama huyu mjane kutumika kwa polisi wa himo{RUSHWA KANISANI?}.
Hivi sasa kanisa linatumia nguvu kubwa ya fedha {sadaka} na hila ili wataifishe shamba hili ambalo lina liz na uhalali wote uliochwa na marehemu kwa familia yake,kanisa linafanya haya kupitia mawakala wake wakuu askofu mkuu Moshi pamoja na mwalimu mkuu Marangu sekondari ambaye kila kikicha anamtishia mama huyu maisha.
Je ni lini kanisa katoliki litaacha kuonea walalahoi na kwa kutumia sadaka zetu wenyewe?
Kupitia hapa tunaamini mama huyu atapata msaada kutoka kwa serikali,wanasheria,wanaharakati na watu mbalimbali hii ikiwa ni pamoja na ushahuri.
Shamba hilo ambalo lina liz lipo jirani kabisa na shule ya Marangu inayomilikiwa na kanisa Katoliki, limekuwa likikaliwa na marehemu na familia yake na baada ya kifo chake mnamo 1972 alimuacha hapo mjane na mtoto wao.
Ndani ya shamba hilo kulikuwa na hospitali ambapo doctor huyo aliyekuwa mzungu raia wa Italy alikuwa akiwatibu na kuwasaidia sana wanakijiji wa Marangu na vijiji vya karibu akisaidiana na mjane huyu ambaye alikuwa nesi.
Pia kulikuwa na mazao pamoja na miti mingi na nyumba kubwa ya kuishi ambayo mpaka leo familia inaishi hapo,bila haya kanisa na taasisi yake bila ruhusa ya mjane huyo waliingiingia kwa nguvu kwenye shamba hilo na kukata miti mingi tuu na kujenga kisima.
Waliharibu mazao na kutandaza mabomba ya kupeleka maji shuleni kwao,kana kwamba hiyo haitoshi kanisa lilijitwalia eneo la ekari tatu hivi na kuanza ujenzi,mjane huyo alipouliza aliwekwa ndani kituo cha polisi HIMO.
Imekuwa kawaida kila hila na uonevu dhidi ya mama huyu mjane kutumika kwa polisi wa himo{RUSHWA KANISANI?}.
Hivi sasa kanisa linatumia nguvu kubwa ya fedha {sadaka} na hila ili wataifishe shamba hili ambalo lina liz na uhalali wote uliochwa na marehemu kwa familia yake,kanisa linafanya haya kupitia mawakala wake wakuu askofu mkuu Moshi pamoja na mwalimu mkuu Marangu sekondari ambaye kila kikicha anamtishia mama huyu maisha.
Je ni lini kanisa katoliki litaacha kuonea walalahoi na kwa kutumia sadaka zetu wenyewe?
Kupitia hapa tunaamini mama huyu atapata msaada kutoka kwa serikali,wanasheria,wanaharakati na watu mbalimbali hii ikiwa ni pamoja na ushahuri.