Kanisa katoliki wamwibia mjane

Kanisa katoliki wamwibia mjane

ngaiwoye anaeleweka vizuri kanisa linatumia nguvu kubwa
 
Last edited by a moderator:
Usituhadae mkuu, this is second registration ya wewe mleta mada huwezi jiunga jf leo kwa ajli ya suala la huyo mjana jana 26.08.2014 please lete lease kwanza ndo tukuamini tumeenda shule cc na c bla blah u. Jipange ksha urudi kivingine mkuu




daaa mungu ashukuriwe kama hii habari imefika hapa, hii habari naifahamu vizuri kwani mimi ni mzaliwa wa pale rauya jirani kabisa na shule pamoja na huyu mjane hua anaitwa mama john. Huyu mama ameliaga sana jamani, ni kweli kanusa na shule vimemtesa haswa. Siongei hivi kulichafua kanisa sababu hapa rauya wanakijiji asilimia 99 ni wakatoliki nikiwemo na mimi hata na huyo mjane, hapa tunasimamia ukweli kanisa limezidi uonevu hadi kwa waumini wake halijal, huyu mama ana lease halali na tulishamshauri aende kanisan kwa baba askofu lkn pia hawakumsaidia, kanisa katoliki tunakwenda wapi? Yule mzungu alikuepo hapa kabla hata shule haijajengwa na alikua na hospitali yake binafsi hapa na lile jengo la hosp bado lipo pale na pia alikua na nyumba aliyoishi na mkewe na hadi sasa yule mjane anaishi kwenye nyumba hiyo. Shule ya marangu mwanzoni haikua ikimilikiwa na kanisa ila baadae kanisa lilikabidhiwa shule ile na baada ya kanisa kuingia pale ndo matatizo yalianza wakawa wanalitaka lile eneo wampe pesa mama john awauzie, mama john hakuafiki hilo sababu alisema hiyo ni kumbukumbu ya mumewe na urithi wa mtoto wao john. Vitimbi vikaanza kwa nguvu shule iliingia pale karibu kabisa na nyumba wanayoishi likajenga kisima ambacho hadi leo kipo na waligombana sana na yule mjane mpaka mjane aliwekwa polisi himo, huwa wanakijiji tunahis kanisa na shule havikujua kua mama ana lease, baadae kanisa lilidai kua marehemu aliacha usia kua shamba ligawanywe nusu kwa nusu na mjakaz wao na marehem sababu ambayo haina mashiko kabisa cz haiwezekan mjakaz apewe sawa na familia, na wakadai mjakaz aliwauzia sehemu yake iliyopakan na shule, wanakijiji wenye upeo tunajiuliza je kwakua shule na kanisa ni wasomi kwanini walinunua shamba bila nyaraka? Inawezekanaje shamba ambalo lina lease liuzwe nusu yake, na baada ya kugundua kua lease ya yule mama ni valid tena ya miaka 99 walijaribu kumpa tena pesa je kama walikua na haki walikua wanampa pesa ya nini mjne, kwa nini kanisa linafanya nambo kienyeji? Hapa kanisa halichafuliwi bali tunajiuliza barua zote za kuhusiana na sakata hili zinasainiwaga na askofu mkuu wa moshi which means kanisa lipo busy kuchkua kipande hichi cha ardhi, nakiita kipande maana hili kanisa ni kubwa na linajitia aibu lenyewe na sisi waumin wake kwa jambo hili linalofanya. Mwalimu mkuu wa zamani ndg kisamo alimsumbuaga sana huyu mama kila mara polisi na vituko vingi lkn ilishindikana sababu ya hati ya shamba akamuacha, sasa huvu kuna mwalimu mkuh mpya ambaye ndo amelianzisha sakata upya, kwa mabavu aliingia na kuanza kujenga ukuta ktk hiyo sehemu ya nusu ya shamba, je huyu mwalimu ambaye ni mpya lazma atakua anapata maelekezo kutoka kwa mwajiri wake ambaye ni kanisa, na kama kanisa linadai kuuziwa huo upande ni kwa nini lilienda kujenga kisima kule karbu na nyunba ya mama john kama si uonevu? Mwl mkuu anamtishia mama jihn kua watamwamisha pale kabisa anapata wapi hii nguvu?? Kanisa acheni uonevu yule mama ana haki kabisa na wanakijiji wengi wanalitambua hilo
 
Kesho nitakuja na ushahidi mzima, nimelihusisha kanisa lote maana haya malalamiko kanisa katoliki Tanzania bara wanayo,hii kesi aridhi kilimanjaro na polisi wanaizungushwa sana danadana nyingi hiyo ni dalili tosha ya mazingira ya rushwa

kwakuwa huwa sipendi kukurupuka, basi mi nasubiri huo ushahidi. na kwa ninavyojua sheria inayozungumzia masuala ya ardhi iliyopo wilayani ni The Village Land Act, Cap 114, R.E. 2002.

sasa nasubiri huo ushahidi wako utakuwa ni wa aina gani.
 
Daaa Mungu ashukuriwe kama hii habari imefika hapa, hii habari naifahamu vizuri kwani mimi ni mzaliwa wa pale rauya jirani kabisa na shule pamoja na huyu mjane hua anaitwa mama John. Huyu mama ameliaga sana jamani, ni kweli kanusa na shule vimemtesa haswa. Siongei hivi kulichafua kanisa sababu hapa rauya wanakijiji asilimia 99 ni wakatoliki nikiwemo na mimi hata na huyo mjane, hapa tunasimamia ukweli kanisa limezidi uonevu hadi kwa waumini wake halijal, huyu mama ana lease halali na tulishamshauri aende kanisan kwa baba askofu lkn pia hawakumsaidia, kanisa katoliki tunakwenda wapi? Yule mzungu alikuepo hapa kabla hata shule haijajengwa na alikua na hospitali yake binafsi hapa na lile jengo la hosp bado lipo pale na pia alikua na nyumba aliyoishi na mkewe na hadi sasa yule mjane anaishi kwenye nyumba hiyo. Shule ya marangu mwanzoni haikua ikimilikiwa na kanisa ila baadae kanisa lilikabidhiwa shule ile na baada ya kanisa kuingia pale ndo matatizo yalianza wakawa wanalitaka lile eneo wampe pesa mama john awauzie, mama john hakuafiki hilo sababu alisema hiyo ni kumbukumbu ya mumewe na urithi wa mtoto wao john. Vitimbi vikaanza kwa nguvu shule iliingia pale karibu kabisa na nyumba wanayoishi likajenga kisima ambacho hadi leo kipo na waligombana sana na yule mjane mpaka mjane aliwekwa polisi himo, huwa wanakijiji tunahis kanisa na shule havikujua kua mama ana lease, baadae kanisa lilidai kua marehemu aliacha usia kua shamba ligawanywe nusu kwa nusu na mjakaz wao na marehem sababu ambayo haina mashiko kabisa cz haiwezekan mjakaz apewe sawa na familia, na wakadai mjakaz aliwauzia sehemu yake iliyopakan na shule, wanakijiji wenye upeo tunajiuliza je kwakua shule na kanisa ni wasomi kwanini walinunua shamba bila nyaraka? Inawezekanaje shamba ambalo lina lease liuzwe nusu yake, na baada ya kugundua kua lease ya yule mama ni valid tena ya miaka 99 walijaribu kumpa tena pesa je kama walikua na haki walikua wanampa pesa ya nini mjne, kwa nini kanisa linafanya nambo kienyeji? Hapa kanisa halichafuliwi bali tunajiuliza barua zote za kuhusiana na sakata hili zinasainiwaga na askofu mkuu wa moshi which means kanisa lipo busy kuchkua kipande hichi cha ardhi, nakiita kipande maana hili kanisa ni kubwa na linajitia aibu lenyewe na sisi waumin wake kwa jambo hili linalofanya. Mwalimu mkuu wa zamani ndg kisamo alimsumbuaga sana huyu mama kila mara polisi na vituko vingi lkn ilishindikana sababu ya hati ya shamba akamuacha, sasa huvu kuna mwalimu mkuh mpya ambaye ndo amelianzisha sakata upya, kwa mabavu aliingia na kuanza kujenga ukuta ktk hiyo sehemu ya nusu ya shamba, je huyu mwalimu ambaye ni mpya lazma atakua anapata maelekezo kutoka kwa mwajiri wake ambaye ni kanisa, na kama kanisa linadai kuuziwa huo upande ni kwa nini lilienda kujenga kisima kule karbu na nyunba ya mama john kama si uonevu? Mwl mkuu anamtishia mama jihn kua watamwamisha pale kabisa anapata wapi hii nguvu?? Kanisa acheni uonevu yule mama ana haki kabisa na wanakijiji wengi wanalitambua hilo

sawa, umesema "ana lease" halali, lakini je unajua maana ya LEASE na je unaijua kazi yake?.
 
Hii Taasisi mwisho umefika, kila siku matatzo tele Mapadre kulawiti, Padri lwambano kafumaniwa, macsta malaya balaa!
 
Teh teh teh teh!! Mbavu zangu jamani weye
Naona ungeeleweka zaidi kama ungetuambia huyo mjane na Huyo dokta walinunua ilo eneo au walikua wakiishi baada ya kupewa!!?na je nani aliwapa??je huoni kama dokta RAIA Wa Italy alipewa hifadhi tu na kanisa ili aweze kuhudumia wanamarangu???yaan unaleta bandiko LA kichonganishi hivi hapa..ivi mzima wewe???kama kipedo kimekubana vua na uvae Della pambavu kbisa.
 
unajua maana ya kutaifisha au umejisikia kuandika tu?

Hivi sasa kanisa linatumia nguvu kubwa ya fedha {sadaka} na hila ili wataifishe shamba hili ambalo lina liz na uhalali wote uliochwa na marehemu kwa familia yake,kanisa linafanya haya kupitia mawakala wake wakuu askofu mkuu Moshi pamoja na mwalimu mkuu Marangu sekondari ambaye kila kikicha anamtishia mama huyu maisha.

 
Ndugu NATTA WITO kama kweli wewe ni msomi utakubaliana na mimi kua hakuna jambo lisilokua na mwanzo, hata ULIMWENGU yani dunia ilikua na mwanzo, kwa hiyo nami baada ya kujiunga jamiiforum mwanzo wangu umekua hivi, nilipendezwa na hii mada sababu shule na mjane ni majiran zangu na nimeeleza nachokijua, utaendelea kuniona kwenye uchangiaji wa mada nyingine zitakazonivutia. Nina imani hata wewe ulikua na mwanzo fulan
 
Chagga king, mimi si mwanasheria ila kwa upeo wangu mdg naamin kwamba ile lease itamsaidia yule mama nikirefer cases nyingi ambazo ni similar na hii hapa, juzi tu niliona kwenye vyombo vya habari mkuu mmoja wa kanisa alipojaribu kuchkua ardhi ya mjane, hati(lease) ilimsaidia yule mama na serkali ilivunja zile nyumba if am not mistaking hii issue ilitokea mbezi daresalam, ama labda unisaidie maana ya lease ni nini labda na nini kazi yake
 
I see.....



Mkuu hii story ya kina Balleto naijua...huyu mama alikuaga mtawa na huyu mzungu alikua anafanya kazi kwenye hiyo hospital ya kanisa.....huyu mama kipindi hicho alikua hapo kwenye hospitali ya kanisa kama nesi na mtawa...lakini aliasi utawa akatembea na huyo mzungu akapata ujauzito akazaa mtoto. anayeitwa John Barreto..jamaa mmoja alikuaga machachari sana kipindi cha nyumba kwa kutembea na mabinti wa Arusha. Ukienda Arusha huyu jamaa anajulikana sana. Kwa kifupi hilo shamba na hospitali ilikua mali ya kanisa na huyo mama alikuaga hapo kama mtawa muhudumu akaja akaasi akatembea na huyo mzungu.
 
Hebu tuwekane sawa kwanza wanajamvi na kama kuna mwanasheria atuweke sawa juu ya TOFAUTI ILIYOPO KATI YA LEASE NA TITLE DEED???
Maaana mi kwa uwelewa wangu natambua ya kuwa hivyo vitu viwili ni tofauti(kwa maana ya kwamba vina makusudi tofauti),tena hasa kwa case husika baina ya mama mjane na kanisa.

Hivyo naomba wanasheria jitokezeni mtusahihishe hapa,na kuepusha watu kujichumia dhambi za burebure pasipo kujua.
 
Ushabiki wa kidini unawapeleka vibaya sana humu. Yaani mnaambiwa huyo mama ana lease halali ya serikali juu ya umiliki wa eneo hilo bado mnasema eti aliapewa na kanisa akae kwa muda tu? Kanisa lilikuwa wapi wakati huyo mama na huyo mumewe mtaliano wakati wanapewa hiyo hati ya umiliki wa ardhi hiyo?

Maneno ya kuambiwa changanya na yako!!we io lease umeiona???wajane wengine feki!!!huyo muitaliano c alienda kwao sasa kawaje mjane Huyo mama!!!?
 
Mkuu ni kweli c sahihi title deed ndio hati milki ila lease ni makubaliano ya kisheria kuhsu kutumia propery lke land or building yaweza kuwa operational au finance ambayo unatransfer both risk & reward to lessee na anaweza inunua mwisho wa mkataba akipenda maana huwa ni kama imeisha muda wake kabisa wa hyo property
hebu tuwekane sawa kwanza wanajamvi na kama kuna mwanasheria atuweke sawa juu ya tofauti iliyopo kati ya lease na title deed???
Maaana mi kwa uwelewa wangu natambua ya kuwa hivyo vitu viwili ni tofauti(kwa maana ya kwamba vina makusudi tofauti),tena hasa kwa case husika baina ya mama mjane na kanisa.

Hivyo naomba wanasheria jitokezeni mtusahihishe hapa,na kuepusha watu kujichumia dhambi za burebure pasipo kujua.
 
Kesho nitakuja na ushahidi mzima, nimelihusisha kanisa lote maana haya malalamiko kanisa katoliki Tanzania bara wanayo,hii kesi aridhi kilimanjaro na polisi wanaizungushwa sana danadana nyingi hiyo ni dalili tosha ya mazingira ya rushwa

huo ushahidi mzima uko wapi? au kesho haijafika? au na wewe in mjane wa huyo muitaliano?
 
sawa, umesema "ana lease" halali, lakini je unajua maana ya LEASE na je unaijua kazi yake?.
'
Nashangaa kila mmoja anangangania lease lease! Lease kwa maana gani, kwamba ana hati ya kumiliki (right of occupancy?) alipewa chini ya sheria ipi miaka hiyo ya 1970?
.
Huyu Dr Balleto sio yule aliyekuwa na dispensari pale Maua Parish pia? Alikuwa akishirikiana sana na Kanisa. Namkumbuka huyu maana aliniaibisha sana aliponipima enzi za shuleni pale akapiga kelele UNA MINYOO VEEEEVE. Nilipata aibu sana enzi hizo.

Inawezekana huyo Mama hafahamu umilikaji wa eneo alilokuwa anaishi umekaa vipi! Inawezekana sana ni eneo la kanisa alilopewa Dr Balleto ili asaidie kanisa, kama ilivyokuwa kule Maua Parokiani
 
Msifikiri Kanisa Katoliki ni kama yale makanisa yanayomilikiwa na watu hadi akaunti za benki ni majina yao .......Ukisema Kanisa Katoliki kuiba unamaanisha nani? Askofu,Mapadre , walei au nani? wafanye dhuluma ili wafaidike na nini while hawamiliki hata kijiko cha Kanisa?

Kanisa kwa muunganiko wake kama unaufahamu na tena mnasema 99% ya wanakijiji ni wakatoliki sasa nani alaumiwe? Unafikiri Askofu ndio Kanisa? waamini wote na viongozi wote wa Kanisa wanamuonea huyo mjane? Sidhani na ni nadra sana kusikia Kanisa Katoliki ktk migogoro kama hii ..............
 
Back
Top Bottom