Kanisa katoliki wamwibia mjane

Kanisa katoliki wamwibia mjane

Kesho nitakuja na ushahidi mzima, nimelihusisha kanisa lote maana haya malalamiko kanisa katoliki Tanzania bara wanayo,hii kesi aridhi kilimanjaro na polisi wanaizungushwa sana danadana nyingi hiyo ni dalili tosha ya mazingira ya rushwa

Sasa kwa nini usingengoja hiyo kesho ukaja na kila kitu? Unatuhumu na ushahidi unauacha nyuma ili iweje? Hivi kweli kanisa katoliki ni taasisi dhaifu kiasi hicho? Watake kumdhulumu au kumnyanganya mjane tena eti kwa kuhonga polisi! Basi hiyo itakuwa sio kwa ajili ya kanisa/shule, labda hapo useme ni mtu binafsi anatumia kivuli cha kanisa. Na bado hii stori ikipatikana kutoka upande mwingine naamini haitakuwa na hii picha uliyoileta. Wewe pia wapaswa kuwa na hofu ya Mungu na uwe mkweli.
 
mbona watu wanakuwa hawana busara,acheni ushabiki usiyo wa msingi.mi mwenyewe ninajua habari hii kw undani.hakuna mzungu aliekaribishwa pale bwana.yule jamaa alikua mmiliki halali wa eneo lile ambalo lilikuwa la familia baada ya kuwa na mtoto na yule mama ambae ni kweli alikuwa nesi pale.ndo akajenga nyumba ya familia pale.angekaribishwa angejenga nyumba.na kama ilkuwa mali ya kanisa alipojenga kanisa lilikuwa wapi?na mbona kanisa limesubiri miaka yote hiyo.ivi kuna watu walosoma kwene hili kanisa kweli.kwa nini hamjapaga mkataba wa kukaa miaka yote.Tatizo wenye ukweli wengi wamekufaga.walioko ni walaku tu na wenye wivu.Kanisa Catholic achen kumuoea yule mjane.kuweni na hofu ya Mungu.Baba askofu unaacha wapi neno linalosema kuwa dini safi ni ile inayotazama wajane na kujilinda na ubaya usitende dhambi.utasimamiaje dhambi kubwa namna hii,utalishaje kondoo ndani ya dhambi.kanisa mna maeneo mengi,la mjane litawafaa nini.acheni dhuluma yule mama pale ni kwake.Dunia na vyote viijazo ni mali ya bwana.MUNGU HADHIAKIWI.MSISALI HUKU MNAMWIBIA MJANE.just magine case kama hii ina ingia rushwa,kanisa catholic mnapata wapi fedha za rushwa.SADAKA!!!Nimeigia mtiu kule marangu anitonya kuwa kuna mianya ya rushwa sana.na rushwa inaendeshwa na kanisa catholic.

huyo mzungu alilipataje hilo eneo? embu tuanzie hapa....na kama hujui, je unajua sheria zikoje kuhusu wageni (foreigners) kumiliki ardhi?, naamini kama unayafahamu hayo yote, basi naamini usingeandika hayo maelezo hapo juu.

na kama huna majibu ya maswali hapo juu, huo uhakika wa huyo mzungu kumiliki ardhi umeutoa wapi?, je kwa sababu wewe ni mkazi wa hayo maeneo?, au kwa sababu ulikuwepo wakati huyo mzungu ananunua hilo eneo?,

na zaidi ya yote, je kuna vielelezo vyovyote vya kuthibitisha uhalali wa huyo mzungu kumiliki ardhi?. kama upo basi wekeni vivuli vyake hapa
 
mbona watu wanakuwa hawana busara,acheni ushabiki usiyo wa msingi.mi mwenyewe ninajua habari hii kw undani.hakuna mzungu aliekaribishwa pale bwana.yule jamaa alikua mmiliki halali wa eneo lile ambalo lilikuwa la familia baada ya kuwa na mtoto na yule mama ambae ni kweli alikuwa nesi pale.ndo akajenga nyumba ya familia pale.angekaribishwa angejenga nyumba.na kama ilkuwa mali ya kanisa alipojenga kanisa lilikuwa wapi?na mbona kanisa limesubiri miaka yote hiyo.ivi kuna watu walosoma kwene hili kanisa kweli.kwa nini hamjapaga mkataba wa kukaa miaka yote.Tatizo wenye ukweli wengi wamekufaga.walioko ni walaku tu na wenye wivu.Kanisa Catholic achen kumuoea yule mjane.kuweni na hofu ya Mungu.Baba askofu unaacha wapi neno linalosema kuwa dini safi ni ile inayotazama wajane na kujilinda na ubaya usitende dhambi.utasimamiaje dhambi kubwa namna hii,utalishaje kondoo ndani ya dhambi.kanisa mna maeneo mengi,la mjane litawafaa nini.acheni dhuluma yule mama pale ni kwake.Dunia na vyote viijazo ni mali ya bwana.MUNGU HADHIAKIWI.MSISALI HUKU MNAMWIBIA MJANE.just magine case kama hii ina ingia rushwa,kanisa catholic mnapata wapi fedha za rushwa.SADAKA!!!Nimeigia mtiu kule marangu anitonya kuwa kuna mianya ya rushwa sana.na rushwa inaendeshwa na kanisa catholic.

Wew kinachokukereketa hapa ni ujane tu Wa Huyo mama na ndo umepigwa upofu hapo wala hutaki kypapasa kwingine ukajua kunanini!!we adi unahoji kama kanisa katoriki kuna aliesoma!!ivi mzima wewe???Huyo mleta umbea mwenyew alisema ataleta ushahidi kesho ila adi Leo kapotea.jaribu kuchangamsha akili yako sawasaw na uspende kuhukumu mambo kwa kuegemea upande mmoja
 
Ndg wanajamvi nasikitika sikuweza kuwa hapa kwa muda kdg haswa ukizingatia kama mtoa mada nilitakiwa niyajibu maswali yenj na pia kufafanua baadhi ya mambo. Nilikua namuuguza mama yangu mpendwa. Baada ya kusoma jinsi wengi wenu mliochangia ni kwamba kuna mnaodai lile eneo ni la kanisa, la hasha si la kanisa, lile eneo alimilikishwa Dr Balletto tena kisheria na hata ukienda pale ardhi wilayani ukaomba ramani utaona tu, na jirani yake ndo lilikua eneo la shule ya marangu. Ieleweke kwamba shule ile haikua mali ya kanisa katoliki hadi miaka ya 80 ilipokabidhiwa kwa jimbo katoliki la moshi, kwahiyo kanisa lilikua halina ardhi yyte pale, na baada ya kukabidhiwa shule kanisa ndo lilianza kufatilia ardhi ya jirani yani kwa mjane kama nilivyoeleza kwenye mada. Nimesoma alivyoandika mdau ngaiwoye anaesema kua ni jirani yake anavyoeleza ni sawa, nimesoma alivyoandika mdau chaga king ni kweli huyo dr Baleto kuna wkt alikua kule maua, na huskii familia yake ikiongelea maswala ya maua sababu ilibaki chini ya maua sem, mmeongelea juu ya lease na tittledeed nazan kuna waliofafanua hapo, ila napenda ieleweke document alizo nazo yule mama zinatambulika ofisi ya ardhi wilaya na ktk ramani hilo ya wilaya ilioyopo ofisi za ardhi shamba hilo lipo na linaonekana kwa jina la marehem na si kanisa wala shule. Kuna wengine wamedai kufahamu hiyo shamba na historia yake kua lilikua ni la kanisa, nawasihi waache uzushi na kubuni, ni lini kanisa lilimiliki pale wakati shule yenyewe ilikua si yao?? Kuna wengine wamemkashif mama mjane wakati hawamjui wala hawajui historia ila wameamua tu kutetea kanisa, mi mwenyewe ni mkatoliki toka kuzaliwa hadi uzee huu, sina sababu ya kulisingizia kanisa ila kwa hili kanisa ama watendaji wake hawako sawa. Kuna waliohoji uraiya wa mama mjane nazani ni ndg msingida, mama huyu ni raiya wa tanzania mzaliwa wa marangu na mwanae pia ni mtanzania maana alizaliwa hapa. Kuna mwingine alihoji kwanini raiya wa nje anamiliki shamba hapa, kuna watanzania kibao wana nyumba ughaibuni pia wana mashamba nchi za watu sioni tatizo kwa marehem kwani mkewe alikua mtanzania kabisa. Nawalongeza wale wote walioonyesha moyo wa huruma kwa mjane, MUNGU awabariki sana. Hivi sasa taarifa ambazo nimezipata ni kua mama mjane na mwanae wamefata mkondo wa sheria na hivi sasa wameshafungua shauri katika mahakama ya ardhi moshi na tayari kanisa na shule wameshapewa zuio la kuendeleza ujenzi pale huku kesi ikiendelea katika mahakama hiyo ingawa matisho ya mwalimu mkuu kwa mjane yanaendelea. Kwa maana hiyo basi nitashindwa kuweka ushahidi hapa kama nilivyoahidi kwa kua nitakua naingilia kazi za mahakama na uhuru wake. Wale wanaosema wanakaa pale ama wanapajua pale mfano benteke, ngaiwoye na wengine watakua sasa wameona barua za zuio zilivyobandikwa pale. Wasalaam mimi Bigjahman mpenda haki na muumini halali wa kanisa katoliki la roma
 
...sasa mbona ulilileta huku kabla ya baraza la ardhi kufanya haki yake, ila ujue ukiona shule imerudishwa mikononi mwa kanisa ama taass nyingine, ujue mwanzo ilikuwa chini ya taasisi hiyo then ikataifishwa. Anyways, nitatafuta namna ya kulipata hilo shauri.
 
Ndg wanajamvi nasikitika sikuweza kuwa hapa kwa muda kdg haswa ukizingatia kama mtoa mada nilitakiwa niyajibu maswali yenj na pia kufafanua baadhi ya mambo. Nilikua namuuguza mama yangu mpendwa. Baada ya kusoma jinsi wengi wenu mliochangia ni kwamba kuna mnaodai lile eneo ni la kanisa, la hasha si la kanisa, lile eneo alimilikishwa Dr Balletto tena kisheria na hata ukienda pale ardhi wilayani ukaomba ramani utaona tu, na jirani yake ndo lilikua eneo la shule ya marangu. Ieleweke kwamba shule ile haikua mali ya kanisa katoliki hadi miaka ya 80 ilipokabidhiwa kwa jimbo katoliki la moshi, kwahiyo kanisa lilikua halina ardhi yyte pale, na baada ya kukabidhiwa shule kanisa ndo lilianza kufatilia ardhi ya jirani yani kwa mjane kama nilivyoeleza kwenye mada. Nimesoma alivyoandika mdau ngaiwoye anaesema kua ni jirani yake anavyoeleza ni sawa, nimesoma alivyoandika mdau chaga king ni kweli huyo dr Baleto kuna wkt alikua kule maua, na huskii familia yake ikiongelea maswala ya maua sababu ilibaki chini ya maua sem, mmeongelea juu ya lease na tittledeed nazan kuna waliofafanua hapo, ila napenda ieleweke document alizo nazo yule mama zinatambulika ofisi ya ardhi wilaya na ktk ramani hilo ya wilaya ilioyopo ofisi za ardhi shamba hilo lipo na linaonekana kwa jina la marehem na si kanisa wala shule. Kuna wengine wamedai kufahamu hiyo shamba na historia yake kua lilikua ni la kanisa, nawasihi waache uzushi na kubuni, ni lini kanisa lilimiliki pale wakati shule yenyewe ilikua si yao?? Kuna wengine wamemkashif mama mjane wakati hawamjui wala hawajui historia ila wameamua tu kutetea kanisa, mi mwenyewe ni mkatoliki toka kuzaliwa hadi uzee huu, sina sababu ya kulisingizia kanisa ila kwa hili kanisa ama watendaji wake hawako sawa. Kuna waliohoji uraiya wa mama mjane nazani ni ndg msingida, mama huyu ni raiya wa tanzania mzaliwa wa marangu na mwanae pia ni mtanzania maana alizaliwa hapa. Kuna mwingine alihoji kwanini raiya wa nje anamiliki shamba hapa, kuna watanzania kibao wana nyumba ughaibuni pia wana mashamba nchi za watu sioni tatizo kwa marehem kwani mkewe alikua mtanzania kabisa. Nawalongeza wale wote walioonyesha moyo wa huruma kwa mjane, MUNGU awabariki sana. Hivi sasa taarifa ambazo nimezipata ni kua mama mjane na mwanae wamefata mkondo wa sheria na hivi sasa wameshafungua shauri katika mahakama ya ardhi moshi na tayari kanisa na shule wameshapewa zuio la kuendeleza ujenzi pale huku kesi ikiendelea katika mahakama hiyo ingawa matisho ya mwalimu mkuu kwa mjane yanaendelea. Kwa maana hiyo basi nitashindwa kuweka ushahidi hapa kama nilivyoahidi kwa kua nitakua naingilia kazi za mahakama na uhuru wake. Wale wanaosema wanakaa pale ama wanapajua pale mfano benteke, ngaiwoye na wengine watakua sasa wameona barua za zuio zilivyobandikwa pale. Wasalaam mimi Bigjahman mpenda haki na muumini halali wa kanisa katoliki la roma

Ivi unajua maana ya kumilikishwa adhi??na he kwa sheria ya MWAKA gani inayoruhusu RAIA Wa kigeni kumilikishwa ardhi!???ebu tupunguzie umbea wako na ichonganishi,,kaendelee kumuuguza mama sio utuletee stress zako hapa.kumbe kazi unayo ya kumuuguza mama bado unataka kazi ingine ya umbea na ichpnganishi!!
 
Mleta thread kakurupuka sana, heading yako ni ya kuchonganisha kanisa na waumini na kulifanya kanisa kuwa kichaka cha uwizi.Nadhani una chuki binafsi na kanisa.Akili yako haina akili.Ebu tuondolee upuuzi wako hapa
 
WagoWago mbona huyu kajieleza vizuri tu.kinahokuuma kwene maelezo yake ni nini?Ebu ni saidie na mimi hapa sheria ya mwaka gani ilianza kuzuia raia wa nje kumiliki ardhi mpaka kufikia mwaka 1993?na je?kama raia mgeni alishakuwa na ardhi kabla ya hiyo sheria, huwa inakuwaje kisheria?Chaga King umeoyesha busara sana.nadhani huyu mtu asitupiwe maneno yasiyofaa tena.kuna walioshauri kuwa huyo Mjane aende baraza la ardhi,kafanya ivo.wanaotaka kumsaidia wafanye ivo.
 
Kanisa katoliki jimbo kuu la Moshi pamoja na shule yake ya sekondari Marangu bila aibu wala hofu ya Mungu wamuhubiriaye maana hi ni taasisi ya kidini wamemnyang'anya mjane shamba aliloachiwa na marehemu doctor Geovan Balletto.

Shamba hilo ambalo lina liz lipo jirani kabisa na shule ya Marangu inayomilikiwa na kanisa Katoliki, limekuwa likikaliwa na marehemu na familia yake na baada ya kifo chake mnamo 1972 alimuacha hapo mjane na mtoto wao.

Ndani ya shamba hilo kulikuwa na hospitali ambapo doctor huyo aliyekuwa mzungu raia wa Italy alikuwa akiwatibu na kuwasaidia sana wanakijiji wa Marangu na vijiji vya karibu akisaidiana na mjane huyu ambaye alikuwa nesi.


Pia kulikuwa na mazao pamoja na miti mingi na nyumba kubwa ya kuishi ambayo mpaka leo familia inaishi hapo,bila haya kanisa na taasisi yake bila ruhusa ya mjane huyo waliingiingia kwa nguvu kwenye shamba hilo na kukata miti mingi tuu na kujenga kisima.

Waliharibu mazao na kutandaza mabomba ya kupeleka maji shuleni kwao,kana kwamba hiyo haitoshi kanisa lilijitwalia eneo la ekari tatu hivi na kuanza ujenzi,mjane huyo alipouliza aliwekwa ndani kituo cha polisi HIMO.

Imekuwa kawaida kila hila na uonevu dhidi ya mama huyu mjane kutumika kwa polisi wa himo{RUSHWA KANISANI?}.

Hivi sasa kanisa linatumia nguvu kubwa ya fedha {sadaka} na hila ili wataifishe shamba hili ambalo lina liz na uhalali wote uliochwa na marehemu kwa familia yake,kanisa linafanya haya kupitia mawakala wake wakuu askofu mkuu Moshi pamoja na mwalimu mkuu Marangu sekondari ambaye kila kikicha anamtishia mama huyu maisha.

Je ni lini kanisa katoliki litaacha kuonea walalahoi na kwa kutumia sadaka zetu wenyewe?

Kupitia hapa tunaamini mama huyu atapata msaada kutoka kwa serikali,wanasheria,wanaharakati na watu mbalimbali hii ikiwa ni pamoja na ushahuri.
Hahaha
 
Umenikumbusha wizi wa ardhi kanisa katoliki walichofanya pale ubungo emaus. Wakafanya mpango wa kuback date tarehe ili wahalalishe kumbomolea mtu nyumba yake kisa tu alikataa kuwauzia.
 
Back
Top Bottom